Fahamu zaidi unapotaka kujenga nyumba bati zisizoonekana (Contemporary houses za Kitanzania)

CONTEMPOARY HOUSES nini?
– Contemporary maana yake ni MODERN. Hivyo hizi ni nyumba za kisasa zaidi (zinazo-trend)
– Zinasifa za kuwa simple, smart, minimalistic, clear. Zina sura bapa(planes), box style, nyuzi pembe nne, straightness, rangi chache zaidi nyeupe na gray, open space, less privacy as freedom, madirisha na milango mikubwa
– Zinatabia ya kutumia vifaa aina ya: zege, metal zaidi, vioo zaidi. Zimekuja katika zama hizi za matumizi makubwa ya viwanda na computer!
– Maghorofa mengi yanayojengwa siku hizi posta yana tabia hizi maana ni za kisasa
– Google picha: CONTEMPORARY HOUSES –> utapata jibu
– Watu wengi wanazipenda sana haswa. Nje ya nchi wanazijenga sana ila Tanzania watu bado hawana mwongozo zaidi

Tumekuandalia contempoary houses ambazo unaweza kujenga Tanzania huku tukiwa tumeangalia UCHUMI, TAMADUNI, HALI, UFUNDI… ambao upo katika mazingira yetu TANZANIA lakini pia bila kuharibu ladha, utamu, ubora… wa contemporary ili Mtanzania uweze uweze kupata maximum satsfaction na kutimiza hamu yako
– Tumeziweka zitumie bati la kawaida tuu ili kuepuka gharama za zege na nondo
– Bati limefichwa vizuri lisionekane ili lisiharibu ladha za muonekano
– Bati linakusanya maji na kumwaga ktk pembe zake nje bila kuvuja (kama nyumba za kawaida) [ila bati limefichwa vyema halionekani]
– Kutokana na kuziba bati lisionekane basi idadi ya tofali, cement imeongezeka kidogo. Hivyo gharama ipo kikawaida tuu
– Actually ni nyumba ya kawaida hivyo fundi wako anaweza kujenga vyema bila shida yoyote [cha msingi tu ajenge kulingana na ramani inavyosema]
– Watanzania tunajenga kwa awamu kidogo-kidogo, hata hizi waweza jenga kidogo-kidogo kwa awamu
– Mpangilio wa nyumba na layout ya vyumba umekaa katika tamaduni ya Kitanzania kwa welfare ya familia
– Ukubwa wa nyumba na vyumba ni wa kawaida katika kutosha katika viwanja vyetu

Kuziona zaidi nyumba hizi basi bofya hapa na uone nyumba kibao zenye makisio ya gharama na vifaa.

6 responses

  1. I will be glad to receive design of a contemporary house of three bedroomsi.e one master bedroom bigger than the rest of rooms, two normal bedrooms, kitchen, dining room, public toilet, and a sitting room.

  2. Nimejenga nyumba ya vyoma vitatu ipo kwenye upauaji naomba jinsi ya kupaua na kuezeka

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

ID-17009
3
155 sqm
107 Pcs
15 m
2,775 Pcs
13 m
1,380 Pcs
ID-16975
2
113 sqm
46 Pcs
13 m
2,713 Pcs
12 m
1,006 Pcs
ID-19465
4
270 sqm
139 Pcs
17 m
4,833 Pcs
13 m
2,569 Pcs
ID-16490
3
154 sqm
105 Pcs
14 m
2,686 Pcs
14 m
1,336 Pcs
ID-27889
4
288 sqm
179 Pcs
18 m
7,643 Pcs
14 m
2,734 Pcs
ID-18301
4
227 sqm
176 Pcs
17 m
3,839 Pcs
16 m
2,155 Pcs
ID-19464
5
291 sqm
231 Pcs
21 m
5,209 Pcs
18 m
2,590 Pcs
ID-29203
2
123 sqm
85 Pcs
15 m
2,210 Pcs
8 m
1,099 Pcs
ID-9223
4
429 sqm
36 Pcs
18 m
7,866 Pcs
15 m
1,322 Pcs
ID-18060
3
144 sqm
99 Pcs
13 m
2,578 Pcs
13 m
1,282 Pcs
ID-22610
2
208 sqm
0 Pcs
14 m
6,406 Pcs
12 m
1,630 Pcs
ID-16635
4
275 sqm
189 Pcs
17 m
4,923 Pcs
19 m
2,448 Pcs
Makazi Icon Blue

Join Membership

Join Membership to See Clear Floor Plans Before You Buy the Full Plan; See How Much MONEY is Needed to INVEST in Your Business In order to Get the Profit to Finance Construction of This House. What MORTGAGE to Borrow and Return Monthly to Your Bank. Also, See How Much it COSTS to Build the Foundation, Walling, Roofing, Ceiling, Painting, Doors, Windows… in All of Our Houses on This Platform so That You Can CHOOSE, COMPARE, PLAN & STRATEGIES on How to Approach Your Construction Rightly!