Fahamu zaidi unapotaka kujenga nyumba bati zisizoonekana (Contemporary houses za Kitanzania)

CONTEMPOARY HOUSES nini?
– Contemporary maana yake ni MODERN. Hivyo hizi ni nyumba za kisasa zaidi (zinazo-trend)
– Zinasifa za kuwa simple, smart, minimalistic, clear. Zina sura bapa(planes), box style, nyuzi pembe nne, straightness, rangi chache zaidi nyeupe na gray, open space, less privacy as freedom, madirisha na milango mikubwa
– Zinatabia ya kutumia vifaa aina ya: zege, metal zaidi, vioo zaidi. Zimekuja katika zama hizi za matumizi makubwa ya viwanda na computer!
– Maghorofa mengi yanayojengwa siku hizi posta yana tabia hizi maana ni za kisasa
– Google picha: CONTEMPORARY HOUSES –> utapata jibu
– Watu wengi wanazipenda sana haswa. Nje ya nchi wanazijenga sana ila Tanzania watu bado hawana mwongozo zaidi

Tumekuandalia contempoary houses ambazo unaweza kujenga Tanzania huku tukiwa tumeangalia UCHUMI, TAMADUNI, HALI, UFUNDI… ambao upo katika mazingira yetu TANZANIA lakini pia bila kuharibu ladha, utamu, ubora… wa contemporary ili Mtanzania uweze uweze kupata maximum satsfaction na kutimiza hamu yako
– Tumeziweka zitumie bati la kawaida tuu ili kuepuka gharama za zege na nondo
– Bati limefichwa vizuri lisionekane ili lisiharibu ladha za muonekano
– Bati linakusanya maji na kumwaga ktk pembe zake nje bila kuvuja (kama nyumba za kawaida) [ila bati limefichwa vyema halionekani]
– Kutokana na kuziba bati lisionekane basi idadi ya tofali, cement imeongezeka kidogo. Hivyo gharama ipo kikawaida tuu
– Actually ni nyumba ya kawaida hivyo fundi wako anaweza kujenga vyema bila shida yoyote [cha msingi tu ajenge kulingana na ramani inavyosema]
– Watanzania tunajenga kwa awamu kidogo-kidogo, hata hizi waweza jenga kidogo-kidogo kwa awamu
– Mpangilio wa nyumba na layout ya vyumba umekaa katika tamaduni ya Kitanzania kwa welfare ya familia
– Ukubwa wa nyumba na vyumba ni wa kawaida katika kutosha katika viwanja vyetu

Kuziona zaidi nyumba hizi basi bofya hapa na uone nyumba kibao zenye makisio ya gharama na vifaa.

6 responses

  1. I will be glad to receive design of a contemporary house of three bedroomsi.e one master bedroom bigger than the rest of rooms, two normal bedrooms, kitchen, dining room, public toilet, and a sitting room.

  2. Nimejenga nyumba ya vyoma vitatu ipo kwenye upauaji naomba jinsi ya kupaua na kuezeka

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

ID-22570
4
213 sqm
146 Pcs
21 m
3,804 Pcs
12 m
1,891 Pcs
ID-17725
3
145 sqm
100 Pcs
16 m
2,596 Pcs
12 m
1,291 Pcs
ID-15091
3
194 sqm
100 Pcs
17 m
3,900 Pcs
15 m
1,900 Pcs
ID-17151
4
191 sqm
78 Pcs
16 m
4,584 Pcs
14 m
1,700 Pcs
ID-18165
3
263 sqm
48 Pcs
14 m
8,038 Pcs
14 m
2,227 Pcs
ID-33355
5
167 sqm
0 Pcs
14 m
0 Pcs
16 m
0 Pcs
ID-17746
2
85 sqm
58 Pcs
11 m
1,522 Pcs
9 m
757 Pcs
ID-13098
3
91 sqm
76 Pcs
12 m
1,796 Pcs
9 m
726 Pcs
ID-14905
4
424 sqm
105 Pcs
20 m
8,645 Pcs
18 m
2,270 Pcs
ID-27979
3
156 sqm
107 Pcs
16 m
2,793 Pcs
12 m
1,389 Pcs
ID-19281
2
269 sqm
110 Pcs
31 m
6,446 Pcs
9 m
2,390 Pcs
ID-19330
3
228 sqm
157 Pcs
17 m
4,081 Pcs
16 m
2,029 Pcs
Makazi Icon Blue

Join Membership

Join Membership to See Clear Floor Plans Before You Buy the Full Plan; See How Much MONEY is Needed to INVEST in Your Business In order to Get the Profit to Finance Construction of This House. What MORTGAGE to Borrow and Return Monthly to Your Bank. Also, See How Much it COSTS to Build the Foundation, Walling, Roofing, Ceiling, Painting, Doors, Windows… in All of Our Houses on This Platform so That You Can CHOOSE, COMPARE, PLAN & STRATEGIES on How to Approach Your Construction Rightly!