Hire Builders

TZ
From TZS 30,000/day
Amani
15 years
Mimi ni fundi ninaye yanya upauaji wa nyumba kwa kutumia bati ainazote na nina uzoefu wa zaidi ya miaka 14 katika ufanyaji wa kazi hii na nimefanya kazi nyingi mkoa wa Dar es slaam na mkoani Morogoro na baei zetu ni poa kabisa
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 50,000/day
Nyamagana
4 years
Mtaalamu wa kuchora ramani za nyumba za kisasa, kujenga na kuzisimamia.
Building Designing Cost Estimation
TZ
From TZS 30,000/day
Gongola...
13 years
3 months
Nina jihusisha na uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa pia kazi zangu zina zingatia vipimo na zina mvuto mzuri na nina uzoefu wa muda mrefu kwani nime fanya kazi na watu wengi tofauti tofauti pia namfikia mteja wangu popote pale Tanzania.
Tiling Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
10 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la upakaji wa rangi, uwekaji wa gypsum board na urembo (decoration) nime fanya kazi nyingi na sehemu tofauti tofauti hivyo nina ubunifu wa kila aina kwenye kazi hizi na ninaifanya nyumba yako iweze kuwa na mvuto wa kisasa zaidi
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la uezekaji wa Mapaa ya aina mbalimbali natoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
10 years
Mtaalamu mzoefu katika ujenzi nyumba, haswa ktk ufundi uashi na ujenzi matofali, aliyehitimu kutoka Chuo cha Ufundi Arusha. Tangu utotoni, alifundishwa na familia yake, ambao pia wanahusika katika ujenzi wa makazi. Akiwa Ubungo, Tanzania, Charles anafanikiwa katika ujenzi wa makazi kwa ujumla, akitoa ubora na uimara katika kila mradi. Ujuzi wake unajumuisha uwekaji wa matofali, kazi za zege, uwekaji wa sakafu, upakaji wa plasta, mabomba, paa, na zaidi, kuhakikisha utoaji wa huduma kamili. Charles anaunganisha uzoefu wa vitendo na mafunzo rasmi, akiwa na dhamira ya kutoa ubora katika ujenzi wa makazi kote Tanzania.
Flooring Tiling Plumbing Bricklaying Masonry Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
9 years
Nina toa huduma ya kutengeneza mabanda ya kuku ,Bata ,kanga, sungura, ng’ombe,mbuzi na mifugo ya aina yeyote ile kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi pia gharama zangu ni nafuu kabisa pia mteja wangu ataweza kupata kile anacho stahili kukiona kwenye banda lake.
Building Designing
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
7 years
Nina jenga mabanda ya kuku kwa kuzingatia ubora wa hali ya juu pia nina uzoefu wakutosha katika swala zima la ujenzi wa mabanda na kuhakikisha mteja wangu ana ridhika na kazi yangu pia nina tumia vipimo ambavyo vina niwezesha katika ujenzi wa banda.
Building Designing
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
24 years
Mtaalamu wa kujenga na kurekebisha mapaa ya nyumba mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 23, anayepatikana Tanzania. Anajulikana kwa ustadi wake katika ujenzi wa mapaa ya nyumba, kupiga dari, pamoja na uwekaji kuta na mapambo ya gypsum. Ally amekuwa akitoa huduma kwa uaminifu mkubwa na amepata mafunzo maalum katika kuweka vigae vya Decra, hivyo kuhakikisha ubora katika kazi zake.
Brandering Ceiling Gypsum Decoration Sheet Roofing Gutter Installation Shingle Roofing Tile Roofing Timber Trussing
TZ
From TZS 15,000/day
Goba
5 months
Imani kilumule ni fundi mwenye uzoefu wa mda mrefu katika ujenzi na ustadi katika kupiga nyumba rangi Kwa kutumia stadi na uzoefu wa muda mrefu
Tiling Painting
TZ
From TZS 60,000/day
Mwanza ...
20 years
Ni fundi ninayetengeneza nyumba kuanzia mwanzo mpaka mwisho painting plastering ruffin zote nafanya kwa bei nafuu na kwa kuzingatia ubora unaotakiwa na uzoefu wasaidia miaka ishirini katika kazi hii
Painting Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
9 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha na ujuzi wa kisasa nina tumia ubunifu ambao inanisaidia kumpatia mteja kile anacho kihitaji pia nina tumia vifaa vyangu ambavyo vina nisaidia kwenye swala la ukataji wa tiles.
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
7 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala zima la upakaji wa rangi Nina uzoefu mkubwa nikiwa na fanya kazi hii nina tumia vifaa Bora na rangi zinazo pendeza kulingana na mteja anavyo taka na nina badilika kulingana na mazingira
Painting
TZ
From TZS 75,000/day
Ubungo
10 years
An accomplished designer, Quantity Surveyor, and builder based in Dar es Salaam, Tanzania, specializing in residential construction. With a background in designing and quantity surveying, he brings a wealth of expertise to crafting bespoke homes that seamlessly blend functionality with aesthetic appeal. His commitment to quality craftsmanship and innovative design solutions has earned him recognition in the industry. From modern villas to traditional residences, he excels in delivering projects that exceed client expectations and elevate living spaces
architectural construction_manager fencing foundation_repair framing guttering project_manager quantity_surveyor repairs roofing Welding
TZ
From TZS 20,000/day
Ubungo
7 years
Mimi ni mtaalam wa kutengeneza picha mbao kali na zenye mvuto kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi natengeneza size zote A4,A3,A2 pamoja na A1 na nina fanya deliver kwa wateja wangu wote waliopo dar es salaam na mikoani pia mteja kwangu ni mfalume hivyo anasikilizwa kwa umakini ili apate kile kilicho bora na usalama wa kazi ni wakutosha kabisa
Wood Work
TZ
From TZS 40,000/day
Monduli
23 years
Mimi ni mtaalam wa kuweka tiles majumbani Kwa ubora wa kisasa na kwakuzingatia vipimo vilivyo nyooka pia nina toa ushauri bure Kwa mteja wangu na kumfanya aweze kuridhika na kazi zangu.
Tiling
TZ
From TZS 20,000/day
Njombe mji
7 years
Mimi ni fundi welding mwenye uzoefu wa miaka saba katika kazi ya welding, na miaka minne maalum katika PVC na alumini. Nimebobea katika ufungaji, matengenezo, na ukarabati wa vifaa vya PVC na alumini kwa uangalifu wa hali ya juu. Uzoefu wangu unaniwezesha kutoa suluhisho za ubora, kuhakikisha usalama wa kazi, na kutatua matatizo kwa ufanisi. Nina dhamira ya kutoa huduma bora na kuhakikisha kuridhika kwa wateja kwa matokeo yenye nguvu na ya kudumu.
Welding Window Installation
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la utengenezaji wa gypsum board na uwekaji wa urembo kwenye gypsum board nyumbani na mahotelini Kwa kutumia mbao na gypsum,nina tengeneza sehemu kama vile sebuleni(sitting room), jikoni(kitchen),chumbani,TV show cases pia na fika mikoa yote kutoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa na toa ushauri bure kabisa.
Gypsum Decoration Structural Designing
TZ
From TZS 10,000/day
Town
15 years
Tunahakikisha nyumba Yako haito vuja Kwa upauaji Bora kutoka kwetu tuna paua mabati ya aina tofauti tofauti Kwa nyumba zote na maghorofa
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
11 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye utengenezaji wa fremu na milango Kwa kutumia mbao ngumu kama vile mninga na mkongo kwa njia ya kisasa na Kwa gharama na fuu sana
Wood Work
TZ
From TZS 100,000/day
Temeke
18 years
Naitwa Linus Malekela ni fundi wa kuezeka mapaa aina zote na nyumba aina zote ghorofa, nyumba za kawaida, godown, makanisa NK: pia ninautaalamu wa kuezeka kwa kutumia materials aina zote Mbao, chuma, bati za Msouth migongo mipana, migongo midogo na bati za vigae
Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Kahama
6 years
Naweka tiles katika nyumba kwa njia ya kisasa kabisa na kufanya nyumba ipendeze kwa maua mbalimbali.
Tiling
TZ
From TZS 10,000/day
Ubungo
15 years
Mtaalamu wa Samani na mapambo ndani ya nyumba yako mwenye uzoefu madhubuti Kwa utoaji wa Samani Bora na mapambo ya gypsum Kwa ubora katika Kazi yake
Gypsum Decoration Furniture Designing Door Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Morogor...
7 years
Mimi ni fundi ninayefanya plastering skimming na uwekaji wa urembo kwenye nyumba yako kwakutumia mchanga na simenti pia nafanya painting kwenye nyumba yako na nina uzoefu wa zaidi ya miaka minane katika kazi na nimefanya kazi ndani na nje ya mkoa wa Morogoro
Paving Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala CBD
10 years
Mtaalam wa ufungaji wa taa za umeme wa jua majumbani na kwenye uzio wa nyumba(fence) pia nina funga taa kwenye bustani ambazo Zina tumika kama mapambo pia tuna kuuzia vifaa ambavyo ni imara kabisa na vinavyo dumu Kwa muda mrefu
Welding Wiring Waterproofing
TZ
From TZS 50,000/day
Mvomero
4 years
Mimi ni fundi ninaye husika na ujenzi wa nyumba katika nynja ya kupandisha matofali na kufunga lenta na pia nafanya gypsum designing na kupaua nyumba yako kwa mabati aina zote na nafanya kazi hizi kwa uaminifu na ubora mkubwa kabisa na kwa bei ambayo ni nafuu kabisa
Gypsum Decoration Sheet Roofing Shingle Roofing House Building
TZ
From TZS 25,000/day
Nyamagana
6 years
Fundi wa kuweka mapambo katika nyumba
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
15 years
3 months
Mimi ni fundi ninaye jishunghulisha na swala zima la upauaji wa Mapaa ya nyumba kwa kutumia mabati ya aina mbali mbali kama vile Msouth migongo mipana na midogo pia tuna ezeka Mapaa ya kuchimbia (hidden roof) kwa njia ya kisasa na ubora wa hali ya juu.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 10,000/day
kariakoo
10 years
mimi ni fundi wa kufanya wiring katika nyumba yako kabla ya tanesco kuja kufunga umeme nyumbani kwa ufungaji mzuri wa umeme na kwa kutumia vifaa vya kisasa kabisa na vya bei nafuu kutoka kwa maduka ya kuaminika na vyenye ubora na uzoefu wa muda mrefu
Wiring
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
18 years
FAABI electrical device provider ltd tuna jihusisha na uwekaji wa mifumo ya umeme Kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa na kuhakikisha nyumba ina kuwa na mifumo bora ya umeme pia tuna zingatia mabadiliko ya ki technologia kwani tuna mafundi mahiri ambao wana badilika kulingana na mazingira ya kitechnologia.
Gate Installation Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 20,000/day
Kigamboni
7 years
Bustani nzuri ya maua inapendezesha nyumba kuwa na muonekano mzuri na wa kuvutia kwa maua mbalimbali
Gardening
TZ
From TZS 40,000/day
Chunya
23 years
Mimi ni fundi ujenzi mwenye uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya kazi hizi nina badilika kulingana na mazingira ya kazi pia nina tumia ubunifu na njia za kisasa ili kuhakikisha kazi ina fanyika Kwa ubora wa hali ya juu na Kwa aajili ya huduma hii naweza kukufikia popote pale Tanzania na nchi jirani za Africa
Flooring Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
8 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha na nime bobea kwenye uezekaji wa mapaa Kwa kutumia ubunifu na kuzingatia njia za kisasa na kuliacha paa lako liki pendeza kabisa.
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Kibaha
15 years
3 months
Mimi ni fundi niliye bobea katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia vipimo na ubora wa kisasa zaidi nina fanya kazi zenye viwango pia nabadilika kulingana na mitindo ya ujenzi inavyo badilika, pia nina uzoefu usio pungua miaka 13 nikiwa nafanya finishing za uwekaji wa tiles hivyo nina muhakikishia mteja wangu hawezi kujutia kufanya kazi na mimi ,pia nina fika popote pale tanzania na nchi jiranina africa.
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
3 years
Fundi wa kupanga na kutengeneza maua kwa kutumia paving blocks
Paving
TZ
From TZS 50,000/day
Ilala
15 years
Mimi ni fundi niliye na ujuzi kwenye swala zima la finishing ya tiles na marble, Nina zingatia ubora na viwango vya kisasa zaidi ili kuhakikisha nyumba ina pendeza na pia huduma hii inapatikana popote pale Tanzania na nchi jirani.
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Mafinga...
8 years
Mimi ni fundi ninayofanya tailing kwenye nyumba yako naweka tyles chuoni kwenye kuta kwenye sakafu kwa kuzingatia ubora za kuweka namna nzuri ya kuweka urembo na uzoefu zaidi ya imekaa saba
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
10 years
1 month
Mimi ni muuzaji wa vifaa vya majumbani pamoja na kuvifunga nina toa huduma ya kufunga geti linalo tumia remote(automatic sliding gate motor), pia nina weka kengele za milangoni zenye camera na kufunga uzio wa umeme kwenye nyumba na sehemu yeyote Ile inayo hitaji ulinzi,Kwa huduma hii tunafika mikoa yote hapa Tanzania na nchi jirani za Africa
Door Installation Gate Installation Security Systems
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
Nina paka rangi kwa kuzingatia ubora wa kisasa na kwa kuzingatia ubunifu wa hali ya juu, pia nina uzoefu wa kufanya brandering, gypsum setting board, skiming na kupaka rangi pamoja na kutumia rangi za drewa na conmix na kuifanya nyumba ipendeze zaidi.
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 40,000/day
Ilemela
15 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakuweka mabomba Kwa ubora wa kisasa na Kwa kutumia vipimo, pia nina mafundi ambao wana ujuzi wa kuweka mapomba na wamesha fanya kazi sehemu nyingi hapa Tanzania.
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
14 years
A skilled mason with extensive experience in both mechanical engineering and masonry. He began his training at Msimbazi Garage, later transitioning to masonry, where his competence and dedication quickly earned him the trust of his superiors. Over the years, Hildman has worked on significant projects, including building government structures like the Ubungo Communication Building and collaborating with JKT trainees. As an independent mason, he specializes in tile construction and general house building, consistently delivering high-quality results. His expertise and dedication have also enabled him to train many individuals who have gone on to become successful independent masons.
Masonry Tiling
TZ
From TZS 20,000/day
Goba
5 months
Mini ni fundi wakupiga finishing Kwa nyumba zote Kwa kutumia ujuzi na uzoefu mkubwa kutoka kwetu
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 50,000/day
Temeke
15 years
Mtaalamu wa kudili na fangasi za kuta pamoja na kufanya water proof ndani na nje ya Tanzania. Jafari ana uzoefu wa zaidi ya miaka 14 katika tasnia hii na amekuwa akitoa huduma bora kwa wateja wetu. Kwa huduma bora na ya kuaminika, Jafari ndiye chaguo sahihi kwako! Ana utaalamu katika waterproofing kwenye concrete slabs, steel tanks, gutters, swimming pools, hidden roofs, expansion joints, na pia kushughulikia epoxy floors na matibabu ya fangasi kwenye kuta. #JafariHamisi #FundiBora #Waterproofing #Tanzania
Flooring
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
30 years
Mimi ni fundi wa kuweka painting na gypsum design skimming painting s kwenye nyumba kubwa huu ubora wa hali ya juu na kukuzingatia nguvu vinavyohitajika na kwa bei nafu u
Gypsum Decoration Painting Plastering Wallpaper Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
8 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala Zima la ufungaji wa umeme wa jua ,nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya Kazi hii na nina toa ushauri bure kabisa Kwa wateja wangu
Solar Electricity
TZ
From TZS 20,000/day
Dar es ...
8 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa miaka nane katika uwekaji na fanyaji wa plumbing katika nyumba maofisi na makampuni kazi ya kuzingatia viwango na kwa ustadi mkubwa kwa bei nafuu kabisa
Tiling Plumbing Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
15 years
1 month
Mimi ni fundi tiles mwenye uzoefu katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia ubora wa kisasa na nina weka tiles zenye ubora na kuacha nyumba yako iwe na mvuto wa kisasa zaidi.
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
16 years
Natengeneza madirisha na milango ya aluminium pamoja na vioo kwa gharama nafuu katika nyumba na maofisi
Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
ubungo
10 years
Fundi wa kutengeneza madirisha na milango ya aluminium, pia tunabuni na kutengeneza vyumba kutumia aluminium ndani ya nyumba
Door Installation Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha
14 years
Mimi ni fundi wa kupaua nyumbani yaani kufanya roofingi kwa kutumia mabati aina zote kama msauzi na mabati ya kawaida kwenye nyumba aina zote
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
12 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye utengenezaji wa mageti,milango ya chuma, madirisha na aluminium pamoja na kumuwekea mteja kwenye nyumba yake Nina uzoefu wa kutosha kwenye kazi hii.
Steel Fixing Door Installation Gate Installation Metal Work Welding Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
10 years
Fundi wa kuweka tiles katika nyumba kwa maua yote, pamoja na kujenga nyumba kwa matofali.
Tiling Masonry
TZ
From TZS 40,000/day
mwanza
7 years
Mimi ni fundi wa kufanya plumbing kwenye nyumba yako kwa kuzingatia matumizi mazuri ya vifaa ambavyo viatakuhakikishia ubora na kudumu kwa muda mrefu nina uzoefu wa zaidi ya miaka 7 na nimefanya kazi nyingi mwanaza na nje ya mkoa wa mwanza na pia katika taasisi za serekeli kwenye majumb na maofisini na kazi zilikuwa ora kabisa kwa beipoa kabisa
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
11 years
3 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kuezeka Mapaa Kwa kutumia mabati ya aina mbali mbali kama vile Msouth migongo mipana na migongo midogo,Simba dumu pamoja na mabati ya vigae(versatile),pia mimi nifundi ambaye nabadilika kulingana na mazingira ya ufundi yanavyo badilika kama viile mitindo mipya ya uezekaji , hivyo nina muhakikishia mteja kuwa nina uwezo waku mjengea kile kilicho bora na hato weza kujutia kufanya kazi na mimi.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Irugus
5 years
Mimi ni fundi wa kuweka tilis katika nyumba yako kwa kuzingztia ubora wa kweli na kwa uzoefu na uaminifu mkubwa na kwa kuzingatia ubora na uzoefu wa zaidi ya miaka mitano
Tiling
TZ
From TZS 35,000/day
Njombe ...
8 years
Civil Engineer 👷 Building design & Drawing Construction services | consultancy | Exterior | Interior designing.
architectural Bricklaying building_inspector cabinetry Carpentry civil_engineer closet_design concrete_work construction_manager cost_estimator exterior_painting fencing Flooring inspection_services interior_designer interior_painting Landscaping Masonry Painting Plastering Plumbing project_manager repairs roofing woodworking
TZ
From TZS 15,000/day
dar
5 years
mimi ni fundi mwenye uzoefu katika uwekaji wa njia za maji taka pamoja na njia za maji safi kwa ajili ya jikoni au majia kwaajili ya kuflashi chooni nina uzoezo wa miaka zaidi ya mitano
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Mpwapwa
23 years
Mimi ni mtaalam wa kupaka rangi majumbani kwa kuzingatia ubora wa kisasa na kwa kuzingatia umakini wa hali ya juu pia nina ambatana na mafundi wenye uzoefu na walio bobea kwenye swala zima la upakaji wa rangi na kuhakikisha mteja ana ridhishwa na kazi zetu pia tuna zingatia muda wa kuanza na kukabidhi kazi kama tulivyo kubaliana na mteja wetu.
Painting
TZ
From TZS 40,000/day
Mwanza
9 years
Mimi nina uzoefu wa zaidi ya miaka 9 katika ufanyaji wa plumbingi katika nyumba na kwa ustadi wa hali ya juu kabisa na kuzingatia ubora nimefanya kazi nyingi mkoa wa mwanz na dar es salaam
Plumbing
TZ
From TZS 50,000/day
Goba
6 years
Mimi ni fundi ninaye husika na finishing ya nyumba yako kwanzia kwenye plastering simmimg painting na urembo kwenye nyumbba yako kwa bei nafuu na kwa ubora na uzoefu mkubwa kabisa katika kazi hii ninauzoefu za miaka 6 katika kazi hizi pia nimefanya kazi nyingi na watu na watu wamezikubali kazi zangu
Painting Plastering
TZ
From TZS 100,000/day
Ilala
7 years
Abdallah Idd Wachaka, born and educated in Dar es Salaam, specializes in designing and constructing houses. With a keen eye for detail and a commitment to quality, he has established a reputation for creating innovative and durable residential structures that meet the needs of modern living.
Concrete Curing Concrete Mixing Concrete Work Building Setting Out Blocklaying Bricklaying Masonry Plastering Stonework Septic Installation House Building
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
16 years
Mimi nifundi mwenye uzoefu wa kutosha kwenye kazi hiizi za utengenezaji wa madirisha,milango ya aluminium pamoja na magrili Kwa ubora na umakini wa hali ya juu nina fika mikoa yote hapa Tanzania na nchi jirani za Africa
Door Installation Welding Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
kigamboni
4 years
Fundi wa kuweka paving blocks katika nyumba mbalimbali nchini Tanzania na nje ya nchi kwa gharama nzuri.
Paving
TZ
From TZS 40,000/day
Mafinga
11 years
Mimi ni fundi ninayehusikana nimekufanya ujenzi wa nyumba yako kuanzia kwenye msingi mpaka mwisho wa kupauwa kufanya skiming kwa ubora kabisa
Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
10 years
Nina ujuzi wa kutengeneza milango na madirisha ya aluminium pamoja na kuweka majumbani kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa hali ya juu pia nina tumia vipimo na vifaa ambavyo ni imara ambavyo vina uwezo wa kufanya nyumba yako iweze kupendeza na kuwa na mvuto wa kisasa zaidi.
Building Designing
TZ
From TZS 30,000/day
Chemba
11 years
Nina toa huduma ya ujenzi wa mabanda ya kuku wa kienyeji na kuku wa kisasa kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa na kufanya banda lako livutie pia nina uzoefu wa kutosha kwani nimesha tengeneza mabanda ya aina nyingi sehemu nyingi na kwa kuzingatia ubora na mabanda yana dumu kwa muda mrefu.
Building Designing
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
15 years
Mimi ni mtaalam niliye bobea kwenye swala Zima la ufungaji wa solar majumbani na maofisini Kwa kutumia vifaa vilivyo imara na ubunifu wa kisasa zaidi pia nina ambatana na mafundi wenzangu ambao nao wame bobea kwenye kazi hii lengo ni kumtengenezea mteja wetu kile kilicho bora kabisa
Solar Electricity
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
9 years
Mimi ni msambazaji wa mbao za aina zote za ujenzi zenye dawa Kwa bei nafuu Sana kutoka mafinga na Njombe pamoja na mkoa wa Dar es salaam,Tabora, kahama, mkoa wa pwani unafikishiwa Hadi ulipo
Wood Work
TZ
From TZS 20,000/day
Town
1 Years
No Skill Listed
TZ
From TZS 100,000/day
Ubungo
10 years
A skilled Registered Graduate Civil Engineer with a B.Sc. in Civil Engineering from the University of Dar es Salaam. His practical building trades include site supervision, material testing, construction safety management, quantity surveying, cost estimation, and structural analysis. With extensive experience in project management and technical report writing, Yona is committed to delivering reliable and high-quality outputs.
Concrete Curing Concrete Mixing Concrete Work Formworking Steel Fixing Project Management Project Planning Carpentry Welding Wiring Flooring Tiling Building Setting Out Foundation Installation Building Inspection Demolition Maintenance Planning Workplace Safety Painting Plumbing Rain Harvesting Steel Trussing Steelwork security-system-installation smart-home-installation Blocklaying Bricklaying Drywall Installation Masonry Plastering Stonework Septic Installation Glass Tinting Glazing Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Mbeya CBD
14 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala zima la ujenzi Nina uzoefu wa kutosha,na fanya setting ya ramani kwenye majengo aina zote,pia naezeka Mapaa ,natoa huduma bora na ushauri ni bure kabisa kwa wateja wangu na nina piga mahesabu ya gharama zitakazo tumika kwenye ujenzi.
Building Designing Building Setting Out Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
dar
11 years
mim ni fundi wa ufungaji wa mabomba maofisini majumbani na hata kwenye makampuni mbalimbali kwa kuzingatia ubora ulio na uaminifu mkubwa kama ilivyo kauli mbiu yetu
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mimi ni mtaalam wa kuweka tiles majumbani Kwa kuzingatia ubora wa kisasa na niko na uzoefu wa kutosha katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani na maofisini pia nina msikiliza mteja Kwa kile anacho kihitaji na nina hakikisha kazi inakuwa ya viwango vya hali ya juu.
Tiling
TZ
From TZS 25,000/day
Dar es ...
5 months
Mimi ni Mkami fundi wa kutengeneza biodigester ambao ni mbadala wa septic tank ambazo hutumia pesa kidogo na hudumu Kwa mda mrefu bila yakujaa
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
11 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala Zima la uwekaji wa mabomba majumbani na maofisini Kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi, pia nipo na mafundi wenzangu ambao Wana ujuzi wakutosha hivyo kazi yako ina kuwa kwenye viwango vizuri kabisa na tuna zingatia vipimo wakati wa kuweka mabomba.
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
7 years
Mimi ni fundi ujenzi niliye bobea katika swala zima la uwekaji wa urembo kwenye nyumba kwa kutumia mchanganyiko wa mchanga na cement, Nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya hii kazi na Nina tengeneza urembo wowote ule kulingana na mteja wangu anavyo taka.
Building Designing Plastering