Hire Builders

TZ
From TZS 100,000/day
Kinondoni
10 years
Mtaalamu wa mambo ya ujenzi wa makazi aliyesomea na mwenye uzoefu wa muda mrefu, kutoka kwenye kusanifu ramani za nyumba, usanifu wa nadharia ya nje ya nyumba na bustani, pamoja na mambo ya makisio na mahesabu ya gharama za ujenzi. Lengo letu ni kukuwezesha kutimiza nyumba ya ndoto yako sasa, bila kujalisha kama ni ya gharama nafuu au mjengo wa heshima.
3D Rendering Building Designing Cost Estimation Landscape Designing Project Management Project Planning Technical Drafting
TZ
From TZS 40,000/day
Bukoba
9 years
Ninaweka tiles katika nyumba mbalimbali, ghorofa, ukuta, vyoo, pamoja na makaburi kwa gharama nzuri.
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
8 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala Zima la ufungaji wa umeme wa jua ,nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya Kazi hii na nina toa ushauri bure kabisa Kwa wateja wangu
Solar Electricity
TZ
From TZS 25,000/day
Dar es ...
5 months
Mimi ni Mkami fundi wa kutengeneza biodigester ambao ni mbadala wa septic tank ambazo hutumia pesa kidogo na hudumu Kwa mda mrefu bila yakujaa
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
16 years
Mimi nifundi mwenye uzoefu wa kutosha kwenye kazi hiizi za utengenezaji wa madirisha,milango ya aluminium pamoja na magrili Kwa ubora na umakini wa hali ya juu nina fika mikoa yote hapa Tanzania na nchi jirani za Africa
Door Installation Welding Window Installation
TZ
From TZS 20,000/day
Dar
14 years
Fundi mwenye uzoefu wa kufanya plumbing katika nyumba zote, ghorofa, na nyumba za kawaida. Nina uzoefu wa miaka mingi katika kazi hii ya uwekaji wa mabomba. Niko Dar es Salaam naweza kuweka mabomba ndani na nje kwa matumizi ya maji safi na maji machafu, pamoja na mashimo ya maji taka.
Heating Installation Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
14 years
4 months
Mimi ni mtaalam wa kutengeneza vyoo vya kisasa usisumbuke na karo la Maji Taka kamwe! Tuna mfumo bora wa kisasa wa choo usiojaa (BIODIGESTERS) ambao ni mfumo badala wa Mashimo ya kawaida ya choo! (septics and soakpits) Mfumo huu wa kisasa una sifa zifuatazo :- 1. haujai kamwe 2. hakivutwi – hakiitaji kunyonywa na motokaa (boza) 3. hakina harufu 4. Kinatumia eneo ndogo (small space) 4. Vina guarantee na vinafanywa na wataalam 5. Vinafanya vyema hata kwenye chemi chemi 6. Vina muonekano mzuri (vinapendeza kweli) 7. Unafanya vyema hata kwa manyumba makubwa yenye idadi kubwa ya watu. Tunatoa huduma kwa kila mtanzania kokote uliko tunakufikia.
Biogas Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala CBD
10 years
Mtaalam wa ufungaji wa taa za umeme wa jua majumbani na kwenye uzio wa nyumba(fence) pia nina funga taa kwenye bustani ambazo Zina tumika kama mapambo pia tuna kuuzia vifaa ambavyo ni imara kabisa na vinavyo dumu Kwa muda mrefu
Welding Wiring Waterproofing
TZ
From TZS 40,000/day
Morogor...
7 years
Mimi ni fundi ninayefanya plastering skimming na uwekaji wa urembo kwenye nyumba yako kwakutumia mchanga na simenti pia nafanya painting kwenye nyumba yako na nina uzoefu wa zaidi ya miaka minane katika kazi na nimefanya kazi ndani na nje ya mkoa wa Morogoro
Paving Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mimi ni mtaalam wa kuweka tiles majumbani Kwa kuzingatia ubora wa kisasa na niko na uzoefu wa kutosha katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani na maofisini pia nina msikiliza mteja Kwa kile anacho kihitaji na nina hakikisha kazi inakuwa ya viwango vya hali ya juu.
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
9 years
Fundi wa kupaua nyumba mabati ya msauzi pamoja na kufanya brandering
Brandering Sheet Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Morogor...
12 years
Nina husika na ujenzi kuhakikisha unajengewa nyumba mpaka hatua ya kuhamia pia natengeneza milango ya mbao pamoja na kuchomelea mageti na madirisha ya kisasa (all metal work).
Carpentry Metal Work Welding Tiling House Building
TZ
From TZS 30,000/day
Nyakato
9 years
Fundi wa bomba za maji safi na maji taka katika nyumba aina zote.
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
8 years
3 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha katika swala zima la uchomeleaji wa mageti,magrili, madirisha na vitanda nina uzoefu wa kutosha na nina tumia vifaa vilivyo Bora na vinavyo niwezesha kufanya kazi Kwa ufanisi, pia kwa huduma hii naweza kuku fikia popote pale Tanzania na tuna hakikisha mteja wetu anapata kile kilicho bora na kufurahia kazi zetu.
Steel Fixing Door Installation Gate Installation Welding Window Installation
TZ
From TZS 20,000/day
Kigamboni
7 years
Bustani nzuri ya maua inapendezesha nyumba kuwa na muonekano mzuri na wa kuvutia kwa maua mbalimbali
Gardening
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
9 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa muda mrefu Nina ujuzi wa kuweka tiles na urembo Kwa kutumia tiles kwenye nyumba yako, Nimesha fanya kazi sehemu nyingi hapa Tanzania na zote zimekuwa katika ubora wa hali ya juu pia gharama ni nafuu kabisa Kwa wanao hitaji huduma hii
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
11 years
3 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kuezeka Mapaa Kwa kutumia mabati ya aina mbali mbali kama vile Msouth migongo mipana na migongo midogo,Simba dumu pamoja na mabati ya vigae(versatile),pia mimi nifundi ambaye nabadilika kulingana na mazingira ya ufundi yanavyo badilika kama viile mitindo mipya ya uezekaji , hivyo nina muhakikishia mteja kuwa nina uwezo waku mjengea kile kilicho bora na hato weza kujutia kufanya kazi na mimi.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
24 years
Mtaalamu wa kujenga na kurekebisha mapaa ya nyumba mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 23, anayepatikana Tanzania. Anajulikana kwa ustadi wake katika ujenzi wa mapaa ya nyumba, kupiga dari, pamoja na uwekaji kuta na mapambo ya gypsum. Ally amekuwa akitoa huduma kwa uaminifu mkubwa na amepata mafunzo maalum katika kuweka vigae vya Decra, hivyo kuhakikisha ubora katika kazi zake.
Brandering Ceiling Gypsum Decoration Sheet Roofing Gutter Installation Shingle Roofing Tile Roofing Timber Trussing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
14 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha Nina ujuzi wa kuezeka Mapaa kwenye nyumba Kwa kutumia mabati ya aina tofauti tofauti na kuacha paa lako likiwa na mvuto mzuri.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 35,000/day
Ubungo
7 years
Naezeka mapaa ya msauzi katika dizaini tofauti kulingana na maelekezo ya mteja mikoa yote Tanzania
Sheet Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Mafinga
11 years
Mimi ni fundi ninayehusikana nimekufanya ujenzi wa nyumba yako kuanzia kwenye msingi mpaka mwisho wa kupauwa kufanya skiming kwa ubora kabisa
Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 15,000/day
songea ...
10 years
mimi Egno tembo ni fundi umeme mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka sita katika ufungaji wa maswala ya umeme napatikana songea mjini ila mikoani nako nafika
Wiring
TZ
From TZS 50,000/day
Goba
4 years
Fundi joseph mfanyakazi decoration kwenye nyumba yako nje na ndani kwenye kuta kwa kutumia sementi na mchanga painting kwenye nyumba ya kuweka tailis kuhusu zaidi ya miaka minne
Tiling Painting Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
18 years
3 months
Mimi ni fundi ninaye jihusisha na swala zima la uchimbaji wa mashimo ya maji taka yasiyo jaa maji Kwa njia ya kisasa na Kwa kutumia eneo dogo, na mashimo Yana jegwa Kwa ubora hayatoi harufu, pia tuna weza kujenga sehemu zote za chemchem na miamba bila tatizo na technologia yetu imedhibitishwa kitaalamu na inafaa Kwa matumizi ya jamii pia tuna toa huduma hii mikoa yote ya Tanzania.
Soil Excavation Bricklaying
TZ
From TZS 50,000/day
Mvomero
5 years
Mimi ni fundi ninaye husika na ujenzi wa nyumba katika nynja ya kupandisha matofali na kufunga lenta na pia nafanya gypsum designing na kupaua nyumba yako kwa mabati aina zote na nafanya kazi hizi kwa uaminifu na ubora mkubwa kabisa na kwa bei ambayo ni nafuu kabisa
Gypsum Decoration Sheet Roofing Shingle Roofing House Building
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
18 years
FAABI electrical device provider ltd tuna jihusisha na uwekaji wa mifumo ya umeme Kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa na kuhakikisha nyumba ina kuwa na mifumo bora ya umeme pia tuna zingatia mabadiliko ya ki technologia kwani tuna mafundi mahiri ambao wana badilika kulingana na mazingira ya kitechnologia.
Gate Installation Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
15 years
Mimi ni mtaalam niliye bobea kwenye swala Zima la ufungaji wa solar majumbani na maofisini Kwa kutumia vifaa vilivyo imara na ubunifu wa kisasa zaidi pia nina ambatana na mafundi wenzangu ambao nao wame bobea kwenye kazi hii lengo ni kumtengenezea mteja wetu kile kilicho bora kabisa
Solar Electricity
TZ
From TZS 30,000/day
Morogoro
15 years
Fundi mwenye uzoefu katika ujenzi pia nime pitia mafunzo ya veta na kupata ujuzi wa hali ya juu na kwa kupitia elimu hii nimeweza kuwa na ubunifu wa hali ya juu katika swala zima la ujenzi na pia kwa kazi hizi naweza kukifikia popote pale nchini.
Gypsum Decoration Building Designing
TZ
From TZS 40,000/day
Karatu
7 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala Zima la ufungaji wa mabomba ya nyumbani Kwa kuzingatia ubora na umakini wa hali ya juu, pia niko na mafundi wenzangu walio bobea kwenye kazi hii hivyo kazi ina fanyika Kwa ubora zaidi
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
16 years
Natengeneza madirisha na milango ya aluminium pamoja na vioo kwa gharama nafuu katika nyumba na maofisi
Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Mafinga
11 years
Mimi ni fundi ninayehusikana nimekufanya ujenzi wa nyumba yako kuanzia kwenye msingi mpaka mwisho wa kupauwa kufanya skiming kwa ubora kabisa
Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 30,000/day
Amani
15 years
Mimi ni fundi ninaye yanya upauaji wa nyumba kwa kutumia bati ainazote na nina uzoefu wa zaidi ya miaka 14 katika ufanyaji wa kazi hii na nimefanya kazi nyingi mkoa wa Dar es slaam na mkoani Morogoro na baei zetu ni poa kabisa
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 75,000/day
Ubungo
10 years
An accomplished designer, Quantity Surveyor, and builder based in Dar es Salaam, Tanzania, specializing in residential construction. With a background in designing and quantity surveying, he brings a wealth of expertise to crafting bespoke homes that seamlessly blend functionality with aesthetic appeal. His commitment to quality craftsmanship and innovative design solutions has earned him recognition in the industry. From modern villas to traditional residences, he excels in delivering projects that exceed client expectations and elevate living spaces
architectural construction_manager fencing foundation_repair framing guttering project_manager quantity_surveyor repairs roofing Welding
TZ
From TZS 40,000/day
Irugus
5 years
Mimi ni fundi wa kuweka tilis katika nyumba yako kwa kuzingztia ubora wa kweli na kwa uzoefu na uaminifu mkubwa na kwa kuzingatia ubora na uzoefu wa zaidi ya miaka mitano
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Kogwa
6 years
Nina toa huduma ya kupaua mapaa Kwa kutumia mabati ya kisasa na kuzingatia ubora zaidi, pia nina zingatia vipimo na tuna hakikisha mteja ana pata kile kilicho bora pia ushauri Kwa wateja wetu ni bure kabisa
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
mwanza
7 years
Mimi ni fundi wa kufanya plumbing kwenye nyumba yako kwa kuzingatia matumizi mazuri ya vifaa ambavyo viatakuhakikishia ubora na kudumu kwa muda mrefu nina uzoefu wa zaidi ya miaka 7 na nimefanya kazi nyingi mwanaza na nje ya mkoa wa mwanza na pia katika taasisi za serekeli kwenye majumb na maofisini na kazi zilikuwa ora kabisa kwa beipoa kabisa
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Kwimba
6 years
Mimi ni fundi urembo pamoja na kupaka rangi kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa pia nina fika mikoa yote pamoja na nchi jirani za Afrika pia nina msikiliza mteja wangu kwa kile ana cho kihitaji na ushauri ni bure kabisa kwa wateja wangu
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 40,000/day
Kwimba
6 years
Mimi ni fundi mwenye ujuzi wa kisasa na niliye bobea katika swala zima la kufunga mifumo ya umeme majumbani na maofisini, pia nina funga mifumo ya ulinzi kama vile cctv camera pamoja na fensi ya umeme pia mteja wangu anapatiwa ushauri kwa kile kilicho bora.
Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
8 years
Naweka tiles katika nyumba aina zote kwa kutengeneza maua tofauti tofauti kulingana na mteja apendavyo
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Mwanza
9 years
Mimi nina uzoefu wa zaidi ya miaka 9 katika ufanyaji wa plumbingi katika nyumba na kwa ustadi wa hali ya juu kabisa na kuzingatia ubora nimefanya kazi nyingi mkoa wa mwanz na dar es salaam
Plumbing
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
10 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye uwekaji wa tiles pamoja na urembo Kwa kutumia tiles, Nina uzoefu wa kutosha pia nina tumia vipimo ili kuhakikisha nyumba ina kuwa na muonekano mzuri na ushauri ni bure kabisa Kwa wateja wangu kuhusiana na aina ya tiles mteja anayotaka kutumia
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Chemba
11 years
Nina toa huduma ya ujenzi wa mabanda ya kuku wa kienyeji na kuku wa kisasa kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa na kufanya banda lako livutie pia nina uzoefu wa kutosha kwani nimesha tengeneza mabanda ya aina nyingi sehemu nyingi na kwa kuzingatia ubora na mabanda yana dumu kwa muda mrefu.
Building Designing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
3 months
Nina toa huduma za ununuzi, ujenzi Kwa kutumia tangastone na burning bricks na ubunifu wa nyumba(House design) ndani ya nchi na nchi jirani za Africa, tumesha fanya kazi sehemu nyingi na tuna uzoefu wa kutosha usio pungua Miaka sita pia tuna fanya kazi zenye viwango na kuhakikisha mteja ana ridhika na kazi zetu na kwa wale wateja wanao hitaji ushauri tunatoa ushauri bure kabisa kabla ya mteja kuchukua hatua yakujenga ili kuhakikisha kazi ina kuwa yenye viwango na mvuto mzuri.
Building Designing Bricklaying Stonework
TZ
From TZS 100,000/day
Ubungo
10 years
A skilled Registered Graduate Civil Engineer with a B.Sc. in Civil Engineering from the University of Dar es Salaam. His practical building trades include site supervision, material testing, construction safety management, quantity surveying, cost estimation, and structural analysis. With extensive experience in project management and technical report writing, Yona is committed to delivering reliable and high-quality outputs.
Concrete Curing Concrete Mixing Concrete Work Formworking Steel Fixing Project Management Project Planning Carpentry Welding Wiring Flooring Tiling Building Setting Out Foundation Installation Building Inspection Demolition Maintenance Planning Workplace Safety Painting Plumbing Rain Harvesting Steel Trussing Steelwork security-system-installation smart-home-installation Blocklaying Bricklaying Drywall Installation Masonry Plastering Stonework Septic Installation Glass Tinting Glazing Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
9 years
Fundi wa kutengeneza milango na vifaa vyote vya samani.
Carpentry
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
8 years
Mimi ni fundi umeme wa majumbani na maofisini katika kufanya wiring, kurekebisha penye tatizo na kufunga taa za aina zote
Electrical Troubleshooting Electricity Safety Wiring
TZ
From TZS 40,000/day
Mbezi m...
7 years
2 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la upauaji wa Mapaa Kwa kutumia vifaa vyangu bora na vya kisasa na Nina hakikisha mteja wangu ana ridhika Kwa uaminifu alio nipatia
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 50,000/day
Ukonga
20 years
Fundi hamisi fundi wa dizaini kwenye nyumba yako finishing ya kibabe finishing aina yote ya gypsum painting ya rangi kwa nje wall decoration
Gypsum Decoration Drywall Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
5 years
Ninajenga vyoo vya kisasa visivyojaa wala kunyonywa kwa muda mrefu katika nyumba zote nchini Tanzania.
Masonry
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
9 years
Nina toa huduma ya kutengeneza mabanda ya kuku ,Bata ,kanga, sungura, ng’ombe,mbuzi na mifugo ya aina yeyote ile kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi pia gharama zangu ni nafuu kabisa pia mteja wangu ataweza kupata kile anacho stahili kukiona kwenye banda lake.
Building Designing
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
16 years
Nime bobea kwenye swala zima la upakaji wa rangi pamoja na kuweka epoxy floor zenye ubora na zenye mapambo ya aina mbalimbali pia nina uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi hizi
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 20,000/day
Goba
8 years
4 months
Mini ni fundi wakutengeneza nyumba Kwakuzingatia ujuzi na ubunifu wa kisasa pia nina uzoefu wakutosha katika shughuli zangu za ujenzi na nina hakikisha nyumba ina kuwa yenye ubora wa hali ya juu na nina mpatia mteja wangu kile anacho kihitaji, pia nina ambatana na mafundi ambao wame bobea katika shuguli za ujenzi wa nyumba na kuhakikisha kazi ina kuwa ya viwango na yenye kuzingatia vipimo.
Foundation Installation Masonry
TZ
From TZS 100,000/day
Ilala
7 years
Abdallah Idd Wachaka, born and educated in Dar es Salaam, specializes in designing and constructing houses. With a keen eye for detail and a commitment to quality, he has established a reputation for creating innovative and durable residential structures that meet the needs of modern living.
Concrete Curing Concrete Mixing Concrete Work Building Setting Out Blocklaying Bricklaying Masonry Plastering Stonework Septic Installation House Building
TZ
From TZS 15,000/day
Goba
6 months
Imani kilumule ni fundi mwenye uzoefu wa mda mrefu katika ujenzi na ustadi katika kupiga nyumba rangi Kwa kutumia stadi na uzoefu wa muda mrefu
Tiling Painting
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
10 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la upakaji wa rangi, uwekaji wa gypsum board na urembo (decoration) nime fanya kazi nyingi na sehemu tofauti tofauti hivyo nina ubunifu wa kila aina kwenye kazi hizi na ninaifanya nyumba yako iweze kuwa na mvuto wa kisasa zaidi
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
9 years
Mimi nifundi ninaye jihusisha na swala zima la uwekaji urembo kwenye nyumba Kwa kutumia mchanganyiko wa cement na mchanga Kwa ubunifu wa hali ya juu na nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya kazi hii.
Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
8 years
Natengeneza vyungu vya maua, pamoja nakutengeneza bustani katika nyumba, ofisi, hotel na maeneo mbalimbali.
Gardening
TZ
From TZS 20,000/day
Ubungo
7 years
Mimi ni mtaalam wa kutengeneza picha mbao kali na zenye mvuto kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi natengeneza size zote A4,A3,A2 pamoja na A1 na nina fanya deliver kwa wateja wangu wote waliopo dar es salaam na mikoani pia mteja kwangu ni mfalume hivyo anasikilizwa kwa umakini ili apate kile kilicho bora na usalama wa kazi ni wakutosha kabisa
Wood Work
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
11 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kufanya finishing za majumbani Kwa kuweka fance za umeme, kufunga geti, kufunga video door phone pamoja na alarm za majumbani Kwa umakini na ubora wa hali yajuu,pia tuna zingatia ubora wa kazi na mabadiliko ya ki technologia.
Gate Installation Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 40,000/day
Monduli
23 years
Mimi ni mtaalam wa kuweka tiles majumbani Kwa ubora wa kisasa na kwakuzingatia vipimo vilivyo nyooka pia nina toa ushauri bure Kwa mteja wangu na kumfanya aweze kuridhika na kazi zangu.
Tiling
TZ
From TZS 50,000/day
Mkuranga
18 years
Mimi ni fundi ninaye ji shughulisha na uwekaji wa Mapaa ya kisasa Kwa kutumia mabati ya aina zote kama vile Msouth na vigae kwa ubora wa hali ya juu na Nina uzoefu mkubwa kwani nimefanya kazi nyingi na zote niza viwango na kisasa zaidi hapa nchini na nchi jirani za Africa
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la utengenezaji wa gypsum board na uwekaji wa urembo kwenye gypsum board nyumbani na mahotelini Kwa kutumia mbao na gypsum,nina tengeneza sehemu kama vile sebuleni(sitting room), jikoni(kitchen),chumbani,TV show cases pia na fika mikoa yote kutoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa na toa ushauri bure kabisa.
Gypsum Decoration Structural Designing
TZ
From TZS 40,000/day
Nyamagana
16 years
Mimi ni fundi wa kuweka rangi za aina mbali mbali kwenye nyumba na kuacha ikiwa na mvuto mzuri wa kuvutia nina tumia rangi aina ya drewa, decor,Niko tekx pia na paka rangi za kawaida kwenye nyumba na kuacha nyumba ikipendeza
Color Mixing Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
12 years
3 months
Fundi wa gypsum natengeneza maua ya aina zote kupendezesha nyumba
Gypsum Decoration Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
15 years
2 months
Mimi ni fundi tiles mwenye uzoefu katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia ubora wa kisasa na nina weka tiles zenye ubora na kuacha nyumba yako iwe na mvuto wa kisasa zaidi.
Tiling
TZ
From TZS 20,000/day
Makambako
4 years
Mimi ni fundi umeme mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka minne, nikiwa na utaalamu katika ufungaji, matengenezo, na ukarabati wa mifumo ya umeme. Nimebobea katika kuunda miundombinu salama na yenye ufanisi kwa nyumba na majengo ya kibiashara. Elimu yangu na uzoefu wangu unaniwezesha kutatua matatizo ya umeme kwa usahihi, kuzingatia viwango vya usalama, na kutoa huduma bora kwa wateja. Ninasimamia miradi kwa umakini, nikihakikisha kuwa kila kitu kinafanywa kwa ubora wa juu na ndani ya muda uliopangwa.
Wiring
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
10 years
Fundi wa kuweka tiles katika nyumba kwa maua yote, pamoja na kujenga nyumba kwa matofali.
Tiling Masonry
TZ
From TZS 20,000/day
Dar es ...
8 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa miaka nane katika uwekaji na fanyaji wa plumbing katika nyumba maofisi na makampuni kazi ya kuzingatia viwango na kwa ustadi mkubwa kwa bei nafuu kabisa
Tiling Plumbing Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
dar
11 years
mim ni fundi wa ufungaji wa mabomba maofisini majumbani na hata kwenye makampuni mbalimbali kwa kuzingatia ubora ulio na uaminifu mkubwa kama ilivyo kauli mbiu yetu
Plumbing
TZ
From TZS 10,000/day
Town
15 years
Kwa uzoefu wa zaidi ya miaka 7 Kwa uwekaji gypsum kwenye nyumba pamoja na urembo kwajili ya sehemu ya kiweka tv jikoni na kwenye vyumba vya kulala
Gypsum Decoration Drywall Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Gairo
6 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa miaka saba katika ufanyaji wa roofing kwenye nyumba. Nimebobea katika ufungaji, matengenezo, na ukarabati wa paa, nikitumia mbinu za kisasa na vifaa vya ubora. Uzoefu wangu unahakikisha kazi bora na kudumu, huku nikizingatia usalama na viwango vya hali ya juu. Nina ujuzi mzuri wa kuboresha ufanisi wa paa na kuridhisha wateja kwa matokeo ya kuaminika na ya muda mrefu.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
5 years
Fundi wa kupanga na kutengeneza maua kwa kutumia paving blocks
Paving
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
Nina paka rangi kwa kuzingatia ubora wa kisasa na kwa kuzingatia ubunifu wa hali ya juu, pia nina uzoefu wa kufanya brandering, gypsum setting board, skiming na kupaka rangi pamoja na kutumia rangi za drewa na conmix na kuifanya nyumba ipendeze zaidi.
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 20,000/day
Goba
6 months
Mini ni fundi wakupiga finishing Kwa nyumba zote Kwa kutumia ujuzi na uzoefu mkubwa kutoka kwetu
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
11 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye utengenezaji wa fremu na milango Kwa kutumia mbao ngumu kama vile mninga na mkongo kwa njia ya kisasa na Kwa gharama na fuu sana
Wood Work
TZ
From TZS 40,000/day
Mbeya CBD
14 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala zima la ujenzi Nina uzoefu wa kutosha,na fanya setting ya ramani kwenye majengo aina zote,pia naezeka Mapaa ,natoa huduma bora na ushauri ni bure kabisa kwa wateja wangu na nina piga mahesabu ya gharama zitakazo tumika kwenye ujenzi.
Building Designing