Hire Builders

TZ
From TZS 40,000/day
Kibaha
15 years
4 months
Mimi ni fundi niliye bobea katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia vipimo na ubora wa kisasa zaidi nina fanya kazi zenye viwango pia nabadilika kulingana na mitindo ya ujenzi inavyo badilika, pia nina uzoefu usio pungua miaka 13 nikiwa nafanya finishing za uwekaji wa tiles hivyo nina muhakikishia mteja wangu hawezi kujutia kufanya kazi na mimi ,pia nina fika popote pale tanzania na nchi jiranina africa.
Tiling
TZ
From TZS 20,000/day
Town
1 Years
No Skill Listed
TZ
From TZS 30,000/day
Gongola...
13 years
4 months
Nina jihusisha na uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa pia kazi zangu zina zingatia vipimo na zina mvuto mzuri na nina uzoefu wa muda mrefu kwani nime fanya kazi na watu wengi tofauti tofauti pia namfikia mteja wangu popote pale Tanzania.
Tiling Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Iringa ...
10 years
2 months
Sisi NaseTech Enterprises ni wataalamu wa mifumo ya umeme wa majumbani, viwandani na umeme wa jua(Solar) CCTV Cameras, Alarm systems,Networking, Electric fence. Huduma zetu zinakufikia popote pale ulipo Pia tuna kuuzia vifaa ambavyo ni imara kabisa na vinavyo dumu Kwa muda mrefu
Solar Electricity
TZ
From TZS 20,000/day
Goba
6 months
Mini ni fundi wakupiga finishing Kwa nyumba zote Kwa kutumia ujuzi na uzoefu mkubwa kutoka kwetu
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 50,000/day
Goba
4 years
Fundi joseph mfanyakazi decoration kwenye nyumba yako nje na ndani kwenye kuta kwa kutumia sementi na mchanga painting kwenye nyumba ya kuweka tailis kuhusu zaidi ya miaka minne
Tiling Painting Plastering
TZ
From TZS 35,000/day
Kigamboni
8 years
Nina tengeneza mabanda ya kuku ya kisasa na yanayo dumu kwa muda mrefu pia mabanda yangu yana uwezo wa kubeba kuku zaidi ya mia moja na nina tengeneza mabanda ya aina zote kama vile mabanda ya mbao na mabanda ya matofali na nina zingatia ubora na ubunifu wa kisasa
Building Designing
TZ
From TZS 40,000/day
Mbeya CBD
14 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala zima la ujenzi Nina uzoefu wa kutosha,na fanya setting ya ramani kwenye majengo aina zote,pia naezeka Mapaa ,natoa huduma bora na ushauri ni bure kabisa kwa wateja wangu na nina piga mahesabu ya gharama zitakazo tumika kwenye ujenzi.
Building Designing Building Setting Out Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha
14 years
Mimi ni mtaalamu wa mifumo ya umeme nina uzoefu wa kutosha nikiwa nafanya kazi hii na nina ambatana na mafundi walio bobea kuhakikisha kazi ina kuwa ya ubora na ya viwango vya hali ya juu pia nina toa hudu kama vile kuchimbia bomba za umeme, kufanya wiring pamoja na kuweka cctv camera
Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 50,000/day
Ilala
15 years
Mimi ni fundi niliye na ujuzi kwenye swala zima la finishing ya tiles na marble, Nina zingatia ubora na viwango vya kisasa zaidi ili kuhakikisha nyumba ina pendeza na pia huduma hii inapatikana popote pale Tanzania na nchi jirani.
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Mbezi m...
7 years
2 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la upauaji wa Mapaa Kwa kutumia vifaa vyangu bora na vya kisasa na Nina hakikisha mteja wangu ana ridhika Kwa uaminifu alio nipatia
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
3 years
Fundi wa kupanga na kutengeneza maua kwa kutumia paving blocks
Paving
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
30 years
Mimi ni fundi wa kuweka painting na gypsum design skimming painting s kwenye nyumba kubwa huu ubora wa hali ya juu na kukuzingatia nguvu vinavyohitajika na kwa bei nafu u
Gypsum Decoration Painting Plastering Wallpaper Installation
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
11 years
A skilled landscape designer and builder known for his exceptional work on residential projects. With a background in landscape architecture from Ardhi University, he brings the best touch and hands-on expertise to create stunning and sustainable outdoor spaces. Based in Dar es Salaam, Tanzania.
fencing fireplace_installation gazebo_construction landscape_architect Landscaping
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
10 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha na ujuzi wa kisasa nina tumia ubunifu ambao inanisaidia kumpatia mteja kile anacho kihitaji pia nina tumia vifaa vyangu ambavyo vina nisaidia kwenye swala la ukataji wa tiles.
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
5 years
Fundi wa kupanga na kutengeneza maua kwa kutumia paving blocks
Paving
TZ
From TZS 30,000/day
Mafinga...
9 years
Mimi ni fundi ninayofanya tailing kwenye nyumba yako naweka tyles chuoni kwenye kuta kwenye sakafu kwa kuzingatia ubora za kuweka namna nzuri ya kuweka urembo na uzoefu zaidi ya imekaa saba
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
11 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kufanya finishing za majumbani Kwa kuweka fance za umeme, kufunga geti, kufunga video door phone pamoja na alarm za majumbani Kwa umakini na ubora wa hali yajuu,pia tuna zingatia ubora wa kazi na mabadiliko ya ki technologia.
Gate Installation Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 60,000/day
Mwanza ...
21 years
Ni fundi ninayetengeneza nyumba kuanzia mwanzo mpaka mwisho painting plastering ruffin zote nafanya kwa bei nafuu na kwa kuzingatia ubora unaotakiwa na uzoefu wasaidia miaka ishirini katika kazi hii
Painting Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
16 years
Nime bobea kwenye swala zima la upakaji wa rangi pamoja na kuweka epoxy floor zenye ubora na zenye mapambo ya aina mbalimbali pia nina uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi hizi
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 35,000/day
Ubungo
7 years
Naezeka mapaa ya msauzi katika dizaini tofauti kulingana na maelekezo ya mteja mikoa yote Tanzania
Sheet Roofing
TZ
From TZS 50,000/day
Kinondoni
5 years
A developer with expertise in designing, developing, and installing smart home systems. He specializes in creating IoT solutions tailored to real-world challenges, ensuring practical and efficient operation. As the founder of Quantum Intelligence, Mgasa applies his skills to innovate in the smart home industry, delivering advanced and customized automation systems.
Wiring Smart Homes
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
10 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la upakaji wa rangi, uwekaji wa gypsum board na urembo (decoration) nime fanya kazi nyingi na sehemu tofauti tofauti hivyo nina ubunifu wa kila aina kwenye kazi hizi na ninaifanya nyumba yako iweze kuwa na mvuto wa kisasa zaidi
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
11 years
4 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kuezeka Mapaa Kwa kutumia mabati ya aina mbali mbali kama vile Msouth migongo mipana na migongo midogo,Simba dumu pamoja na mabati ya vigae(versatile),pia mimi nifundi ambaye nabadilika kulingana na mazingira ya ufundi yanavyo badilika kama viile mitindo mipya ya uezekaji , hivyo nina muhakikishia mteja kuwa nina uwezo waku mjengea kile kilicho bora na hato weza kujutia kufanya kazi na mimi.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
30 years
Mimi ni fundi ujenzi wa biogas natengeneza bio gesi kwa muda mrefu na uzoefu zaidi ya miaka thelathini katika kazi yangu kwa hiyo usisite kuja kutengeneza bayo gesi na mimi kwa uzoefu rafiki wa mazingira tunafika popote na bei ni nafuu kabisa
Biogas Installation
TZ
From TZS 100,000/day
Ilala
11 years
Experienced Building/ Bridge/ Structural Engineer with over 7 years in designing and supervising large-scale infrastructure projects. Expertise includes feasibility studies, detailed engineering designs, and technical audits for World Bank-funded projects. Adept at managing complex bridge and drainage structures across Tanzania, with a proven track record of delivering high-quality, cost-effective solutions.
Building Designing Cost Estimation Project Management Project Planning Structural Designing Technical Drafting
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
7 years
Naweka tiles katika nyumba kwa maua tofauti tofauti kupendezesha nyumba na kuimarisha uwanja wakati wa mvua.
Paving
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
8 years
Naweka tiles katika nyumba aina zote kwa kutengeneza maua tofauti tofauti kulingana na mteja apendavyo
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Kogwa
6 years
Nina toa huduma ya kupaua mapaa Kwa kutumia mabati ya kisasa na kuzingatia ubora zaidi, pia nina zingatia vipimo na tuna hakikisha mteja ana pata kile kilicho bora pia ushauri Kwa wateja wetu ni bure kabisa
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mimi ni fundi mkongwe ambaye nime bobea katika swala zima la uwekaji wa tiles pia nina toa huduma bora kabisa na kisasa Zaidi, mteja kwetu ni mfalume na nina hakikisha ana ridhika na kazi zangu
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
5 years
Ninajenga vyoo vya kisasa visivyojaa wala kunyonywa kwa muda mrefu katika nyumba zote nchini Tanzania.
Masonry
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
15 years
Mimi ni mtaalam wa ufungaji wa umeme wa jua na ufungaji wa mifumo mbalimbali ya security pamoja na CCTV camera Kwa kutumia ubunifu wa kisasa na wa hali ya juu na vifaa vya kisasa na niko na mafundi wenye uzoefu wa hali ya juu.
Solar Electricity
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
9 years
Mimi nifundi ninaye jihusisha na swala zima la uwekaji urembo kwenye nyumba Kwa kutumia mchanganyiko wa cement na mchanga Kwa ubunifu wa hali ya juu na nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya kazi hii.
Plastering
TZ
From TZS 15,000/day
Mufindi
8 years
Mimi ni fundi wa kufanya welding madirisha kwa ajili ya nyumba yako na uzoefu zaidi ya miaka tisa nafanya kazi hii kwa ubora kabisa na kwa kuzingatia vipimo
Welding
TZ
From TZS 75,000/day
Ubungo
10 years
An accomplished designer, Quantity Surveyor, and builder based in Dar es Salaam, Tanzania, specializing in residential construction. With a background in designing and quantity surveying, he brings a wealth of expertise to crafting bespoke homes that seamlessly blend functionality with aesthetic appeal. His commitment to quality craftsmanship and innovative design solutions has earned him recognition in the industry. From modern villas to traditional residences, he excels in delivering projects that exceed client expectations and elevate living spaces
architectural construction_manager fencing foundation_repair framing guttering project_manager quantity_surveyor repairs roofing Welding
TZ
From TZS 15,000/day
Goba
6 months
Imani kilumule ni fundi mwenye uzoefu wa mda mrefu katika ujenzi na ustadi katika kupiga nyumba rangi Kwa kutumia stadi na uzoefu wa muda mrefu
Tiling Painting
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
30 years
Mimi ni fundi wa kupauwa nyumba aina zote ana nyumba za kawaida mna uzoefu wa zaidi ya miaka kumi na tano nipo dar es salaam nimefanya kazi hii nyingi sana ya dar es salaam kasi nzuri na pia dar es salaam tunafika
Gypsum Decoration Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
19 years
FAABI electrical device provider ltd tuna jihusisha na uwekaji wa mifumo ya umeme Kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa na kuhakikisha nyumba ina kuwa na mifumo bora ya umeme pia tuna zingatia mabadiliko ya ki technologia kwani tuna mafundi mahiri ambao wana badilika kulingana na mazingira ya kitechnologia.
Gate Installation Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 40,000/day
Chunya
24 years
Mimi ni fundi ujenzi mwenye uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya kazi hizi nina badilika kulingana na mazingira ya kazi pia nina tumia ubunifu na njia za kisasa ili kuhakikisha kazi ina fanyika Kwa ubora wa hali ya juu na Kwa aajili ya huduma hii naweza kukufikia popote pale Tanzania na nchi jirani za Africa
Flooring Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
9 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la uwekaji wa mifumo ya umeme kwani nina uelewa wa kutosha kuhusu swala zima la ufungaji wa bomba za umeme na uwekaji wa box pamoja na kuweka wiring kwenye nyumba Kwa kutumia design za kisasa zaidi
Wiring
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
13 years
1 week
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye utengenezaji wa mageti,milango ya chuma, madirisha na aluminium pamoja na kumuwekea mteja kwenye nyumba yake Nina uzoefu wa kutosha kwenye kazi hii.
Steel Fixing Door Installation Gate Installation Metal Work Welding Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
10 years
Nina ujuzi wa kutengeneza milango na madirisha ya aluminium pamoja na kuweka majumbani kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa hali ya juu pia nina tumia vipimo na vifaa ambavyo ni imara ambavyo vina uwezo wa kufanya nyumba yako iweze kupendeza na kuwa na mvuto wa kisasa zaidi.
Building Designing
TZ
From TZS 30,000/day
Morogoro
15 years
Fundi mwenye uzoefu katika ujenzi pia nime pitia mafunzo ya veta na kupata ujuzi wa hali ya juu na kwa kupitia elimu hii nimeweza kuwa na ubunifu wa hali ya juu katika swala zima la ujenzi na pia kwa kazi hizi naweza kukifikia popote pale nchini.
Gypsum Decoration Building Designing
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
15 years
Mimi ni mtaalam niliye bobea kwenye swala Zima la ufungaji wa solar majumbani na maofisini Kwa kutumia vifaa vilivyo imara na ubunifu wa kisasa zaidi pia nina ambatana na mafundi wenzangu ambao nao wame bobea kwenye kazi hii lengo ni kumtengenezea mteja wetu kile kilicho bora kabisa
Solar Electricity
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
5 years
Natengeneza milango na madirisha ya aluminium kwa ajili ya nyumba na maofisi mbalimbali popote nchini
Window Installation
TZ
From TZS 10,000/day
kariakoo
10 years
mimi ni fundi wa kufanya wiring katika nyumba yako kabla ya tanesco kuja kufunga umeme nyumbani kwa ufungaji mzuri wa umeme na kwa kutumia vifaa vya kisasa kabisa na vya bei nafuu kutoka kwa maduka ya kuaminika na vyenye ubora na uzoefu wa muda mrefu
Wiring
TZ
From TZS 40,000/day
Morogor...
7 years
Mimi ni fundi ninayefanya plastering skimming na uwekaji wa urembo kwenye nyumba yako kwakutumia mchanga na simenti pia nafanya painting kwenye nyumba yako na nina uzoefu wa zaidi ya miaka minane katika kazi na nimefanya kazi ndani na nje ya mkoa wa Morogoro
Paving Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Ilemela
15 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakuweka mabomba Kwa ubora wa kisasa na Kwa kutumia vipimo, pia nina mafundi ambao wana ujuzi wa kuweka mapomba na wamesha fanya kazi sehemu nyingi hapa Tanzania.
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
30 years
Mimi ni fundi wa kuweka tiels na kufanya plastering kwenye nyumba yako nyumba ya aina zote magorofa nyumba za kawaida mashuleni kwenye makampuni na nyumba za nyumbani pamoja na kuweka urembo kwenye nyumba yako
Biogas Installation
TZ
From TZS 25,000/day
Nyamagana
6 years
Fundi wa kuweka mapambo katika nyumba
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
11 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kupiga plasta za nyumba na kuweka urembo Kwa kutumia cement na mchanga Kwa ubora wa hali ya juu na kisasa zaidi
Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Kwimba
6 years
Mimi ni fundi mwenye ujuzi wa kisasa na niliye bobea katika swala zima la kufunga mifumo ya umeme majumbani na maofisini, pia nina funga mifumo ya ulinzi kama vile cctv camera pamoja na fensi ya umeme pia mteja wangu anapatiwa ushauri kwa kile kilicho bora.
Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 40,000/day
Monduli
23 years
Mimi ni mtaalam wa kuweka tiles majumbani Kwa ubora wa kisasa na kwakuzingatia vipimo vilivyo nyooka pia nina toa ushauri bure Kwa mteja wangu na kumfanya aweze kuridhika na kazi zangu.
Tiling
TZ
From TZS 20,000/day
Kigamboni
7 years
Bustani nzuri ya maua inapendezesha nyumba kuwa na muonekano mzuri na wa kuvutia kwa maua mbalimbali
Gardening
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala CBD
10 years
Mimi ni mtaalam wa ufungaji wa taa za umeme wa jua majumbani na kwenye uzio wa nyumba(dance) pia nina funga taa kwenye bustani ambazo Zina tumika kama mapambo pia tuna kuuzia vifaa ambavyo ni imara kabisa na vinavyo dumu Kwa muda mrefu
Solar Electricity
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala CBD
10 years
Mtaalam wa ufungaji wa taa za umeme wa jua majumbani na kwenye uzio wa nyumba(fence) pia nina funga taa kwenye bustani ambazo Zina tumika kama mapambo pia tuna kuuzia vifaa ambavyo ni imara kabisa na vinavyo dumu Kwa muda mrefu
Welding Wiring Waterproofing
TZ
From TZS 40,000/day
mwanza
7 years
Mimi ni fundi wa kufanya plumbing kwenye nyumba yako kwa kuzingatia matumizi mazuri ya vifaa ambavyo viatakuhakikishia ubora na kudumu kwa muda mrefu nina uzoefu wa zaidi ya miaka 7 na nimefanya kazi nyingi mwanaza na nje ya mkoa wa mwanza na pia katika taasisi za serekeli kwenye majumb na maofisini na kazi zilikuwa ora kabisa kwa beipoa kabisa
Plumbing
TZ
From TZS 15,000/day
Mto wa mbu
6 months
Mini ni fundi wakutrmgeneza mashimo ya majitaka Kwa njia ya kisasa amabayo itamfanya mtumiaji asiingie garama Zaid baada ya kutengeneza Kwan Lina tengenezwa Kwa matofali ya kisasa na maalumu kwaajili ya mashimo hayo ya maji taka
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
8 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala zima la upakaji wa rangi Nina uzoefu mkubwa nikiwa na fanya kazi hii nina tumia vifaa Bora na rangi zinazo pendeza kulingana na mteja anavyo taka na nina badilika kulingana na mazingira
Painting
TZ
From TZS 30,000/day
dar
11 years
mim ni fundi wa ufungaji wa mabomba maofisini majumbani na hata kwenye makampuni mbalimbali kwa kuzingatia ubora ulio na uaminifu mkubwa kama ilivyo kauli mbiu yetu
Plumbing
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la uwekaji wa urembo wa nyumba na hotelini Kwa kutumia mbao na gypsum (gypsum decoration) Nina tengeneza sehemu kama vile sebuleni, jikoni,chumbani,TV show cases pia na fika mikoa yote kutoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa na toa ushauri bure kabisa.
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 40,000/day
Mkuranga
17 years
Mimi ni fundi ujenzi mwenye uzoefu na niliye bobea kwenye swala zima la kuchimba msingi wa nyumba na kujenga hadi kwenye linta pamoja na kupiga plaster Kwa kutumia vipimo na vifaa pia nina toa ushauri bure Kwa mteja wangu kulingana na aina ya nyumba anayo itaka Kwa kuzingatia ukubwa wa eneo lake
Building Setting Out Plastering
TZ
From TZS 75,000/day
Ubungo
13 years
2 months
As a professional quantity surveyor, I lead a team of designers and builders to construct modern, high-quality homes in Tanzania and across East Africa. We use the most suitable technology to ensure construction meets the required drawings with high quality and accuracy. Our goal is to provide safe and comfortable residences for our clients, completing projects on time and within budget.
Flooring Tiling Landscaping Painting Waterproofing Bricklaying Masonry Plastering Stonework
TZ
From TZS 30,000/day
Mpwapwa
7 years
Natengeneza gypsum board kwenye nyumba pamoja na urembo mbalimbali wa nyumba mahali popote Tanzania.
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
8 years
Natengeneza vyungu vya maua, pamoja nakutengeneza bustani katika nyumba, ofisi, hotel na maeneo mbalimbali.
Gardening
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mimi ni mtaalam wa kuweka tiles majumbani Kwa kuzingatia ubora wa kisasa na niko na uzoefu wa kutosha katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani na maofisini pia nina msikiliza mteja Kwa kile anacho kihitaji na nina hakikisha kazi inakuwa ya viwango vya hali ya juu.
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mtaalamu wa urembo wa nyumba na bustani anayeishi Temeke, Dar es Salaam. Ameanza kazi za decorations mwaka 2014 na anajishughulisha na plasta decorations, gypsum board design, ujenzi wa mabwawa ya kuogelea, chemchemi za maji, maporomoko ya maji, kuweka tiles, kupaka rangi, na kubuni bustani. Pia anatengeneza sanamu za wanyama, ndege, majabali, na magogo.
Gardening Landscaping
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
Nina paka rangi kwa kuzingatia ubora wa kisasa na kwa kuzingatia ubunifu wa hali ya juu, pia nina uzoefu wa kufanya brandering, gypsum setting board, skiming na kupaka rangi pamoja na kutumia rangi za drewa na conmix na kuifanya nyumba ipendeze zaidi.
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
20 years
4 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la kupaua Mapaa Kwani Nina uzoefu wa kutosha na nime fanya kazi nyingi hapa Tanzania na nchi jirani za Tanzania na gharama zangu ni nafuu kabisa na pia mteja anasikilizwa kwa kile anacho kihitaji na kuhakikisha anaridhika kabisa na upauaji wangu.
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
4 months
Nina toa huduma za ununuzi, ujenzi Kwa kutumia tangastone na burning bricks na ubunifu wa nyumba(House design) ndani ya nchi na nchi jirani za Africa, tumesha fanya kazi sehemu nyingi na tuna uzoefu wa kutosha usio pungua Miaka sita pia tuna fanya kazi zenye viwango na kuhakikisha mteja ana ridhika na kazi zetu na kwa wale wateja wanao hitaji ushauri tunatoa ushauri bure kabisa kabla ya mteja kuchukua hatua yakujenga ili kuhakikisha kazi ina kuwa yenye viwango na mvuto mzuri.
Building Designing Bricklaying Stonework
TZ
From TZS 15,000/day
songea ...
10 years
mimi Egno tembo ni fundi umeme mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka sita katika ufungaji wa maswala ya umeme napatikana songea mjini ila mikoani nako nafika
Wiring
TZ
From TZS 10,000/day
Town
15 years
Kwa uwekaji wa njia za maji kwenye nyumba Yako au Kwa ubora wa Hali juu Kwa kitumia vifaa inara na njia za kisasa kabisa
Plumbing
TZ
From TZS 50,000/day