Hire Builders

TZ
From TZS 40,000/day
Irugus
5 years
Mimi ni fundi wa kuweka tilis katika nyumba yako kwa kuzingztia ubora wa kweli na kwa uzoefu na uaminifu mkubwa na kwa kuzingatia ubora na uzoefu wa zaidi ya miaka mitano
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Kwimba
6 years
Mimi ni fundi urembo pamoja na kupaka rangi kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa pia nina fika mikoa yote pamoja na nchi jirani za Afrika pia nina msikiliza mteja wangu kwa kile ana cho kihitaji na ushauri ni bure kabisa kwa wateja wangu
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 10,000/day
Town
15 years
Kwa uzoefu wa zaidi ya miaka 7 Kwa uwekaji gypsum kwenye nyumba pamoja na urembo kwajili ya sehemu ya kiweka tv jikoni na kwenye vyumba vya kulala
Gypsum Decoration Drywall Installation
TZ
From TZS 20,000/day
Dar
14 years
Fundi mwenye uzoefu wa kufanya plumbing katika nyumba zote, ghorofa, na nyumba za kawaida. Nina uzoefu wa miaka mingi katika kazi hii ya uwekaji wa mabomba. Niko Dar es Salaam naweza kuweka mabomba ndani na nje kwa matumizi ya maji safi na maji machafu, pamoja na mashimo ya maji taka.
Heating Installation Plumbing
TZ
From TZS 15,000/day
songea ...
10 years
mimi Egno tembo ni fundi umeme mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka sita katika ufungaji wa maswala ya umeme napatikana songea mjini ila mikoani nako nafika
Wiring
TZ
From TZS 25,000/day
Nyamagana
6 years
Fundi wa kuweka mapambo katika nyumba
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala CBD
10 years
Mtaalam wa ufungaji wa taa za umeme wa jua majumbani na kwenye uzio wa nyumba(fence) pia nina funga taa kwenye bustani ambazo Zina tumika kama mapambo pia tuna kuuzia vifaa ambavyo ni imara kabisa na vinavyo dumu Kwa muda mrefu
Welding Wiring Waterproofing
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
11 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala Zima la uwekaji wa mabomba majumbani na maofisini Kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi, pia nipo na mafundi wenzangu ambao Wana ujuzi wakutosha hivyo kazi yako ina kuwa kwenye viwango vizuri kabisa na tuna zingatia vipimo wakati wa kuweka mabomba.
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
9 years
4 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha katika swala zima la uchomeleaji wa mageti,magrili, madirisha na vitanda nina uzoefu wa kutosha na nina tumia vifaa vilivyo Bora na vinavyo niwezesha kufanya kazi Kwa ufanisi, pia kwa huduma hii naweza kuku fikia popote pale Tanzania na tuna hakikisha mteja wetu anapata kile kilicho bora na kufurahia kazi zetu.
Steel Fixing Door Installation Gate Installation Welding Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha
14 years
Mimi ni mtaalamu wa mifumo ya umeme nina uzoefu wa kutosha nikiwa nafanya kazi hii na nina ambatana na mafundi walio bobea kuhakikisha kazi ina kuwa ya ubora na ya viwango vya hali ya juu pia nina toa hudu kama vile kuchimbia bomba za umeme, kufanya wiring pamoja na kuweka cctv camera
Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 20,000/day
Goba
9 years
4 months
Mini ni fundi wakutengeneza nyumba Kwakuzingatia ujuzi na ubunifu wa kisasa pia nina uzoefu wakutosha katika shughuli zangu za ujenzi na nina hakikisha nyumba ina kuwa yenye ubora wa hali ya juu na nina mpatia mteja wangu kile anacho kihitaji, pia nina ambatana na mafundi ambao wame bobea katika shuguli za ujenzi wa nyumba na kuhakikisha kazi ina kuwa ya viwango na yenye kuzingatia vipimo.
Foundation Installation Masonry
TZ
From TZS 40,000/day
Bukoba
9 years
Ninaweka tiles katika nyumba mbalimbali, ghorofa, ukuta, vyoo, pamoja na makaburi kwa gharama nzuri.
Tiling
TZ
From TZS 75,000/day
Ubungo
13 years
2 months
As a professional quantity surveyor, I lead a team of designers and builders to construct modern, high-quality homes in Tanzania and across East Africa. We use the most suitable technology to ensure construction meets the required drawings with high quality and accuracy. Our goal is to provide safe and comfortable residences for our clients, completing projects on time and within budget.
Flooring Tiling Landscaping Painting Waterproofing Bricklaying Masonry Plastering Stonework
TZ
From TZS 30,000/day
Mbarali
4 years
Mimi ni fundi ninaye husika na upigaji wa mabati katika nyumba yako ni kwa mabati aina zote kam vile mgongo mpana na vigae na tunafika popote ndan ya tanzania na bei zetu ni nafuu kabisa na uaminifu ndo kipaombele chetu tukiwa kazini
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
5 years
Fundi wa kupanga na kutengeneza maua kwa kutumia paving blocks
Paving
TZ
From TZS 50,000/day
Goba
6 years
Mimi ni fundi ninaye husika na finishing ya nyumba yako kwanzia kwenye plastering simmimg painting na urembo kwenye nyumbba yako kwa bei nafuu na kwa ubora na uzoefu mkubwa kabisa katika kazi hii ninauzoefu za miaka 6 katika kazi hizi pia nimefanya kazi nyingi na watu na watu wamezikubali kazi zangu
Painting Plastering
TZ
From TZS 20,000/day
Town
1 Years
No Skill Listed
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
10 years
Mtaalamu mzoefu katika ujenzi nyumba, haswa ktk ufundi uashi na ujenzi matofali, aliyehitimu kutoka Chuo cha Ufundi Arusha. Tangu utotoni, alifundishwa na familia yake, ambao pia wanahusika katika ujenzi wa makazi. Akiwa Ubungo, Tanzania, Charles anafanikiwa katika ujenzi wa makazi kwa ujumla, akitoa ubora na uimara katika kila mradi. Ujuzi wake unajumuisha uwekaji wa matofali, kazi za zege, uwekaji wa sakafu, upakaji wa plasta, mabomba, paa, na zaidi, kuhakikisha utoaji wa huduma kamili. Charles anaunganisha uzoefu wa vitendo na mafunzo rasmi, akiwa na dhamira ya kutoa ubora katika ujenzi wa makazi kote Tanzania.
Flooring Tiling Plumbing Bricklaying Masonry Plastering
TZ
From TZS 100,000/day
Kinondoni
10 years
Mtaalamu wa mambo ya ujenzi wa makazi aliyesomea na mwenye uzoefu wa muda mrefu, kutoka kwenye kusanifu ramani za nyumba, usanifu wa nadharia ya nje ya nyumba na bustani, pamoja na mambo ya makisio na mahesabu ya gharama za ujenzi. Lengo letu ni kukuwezesha kutimiza nyumba ya ndoto yako sasa, bila kujalisha kama ni ya gharama nafuu au mjengo wa heshima.
3D Rendering Building Designing Cost Estimation Landscape Designing Project Management Project Planning Technical Drafting
TZ
From TZS 40,000/day
mwanza
7 years
Mimi ni fundi wa kufanya plumbing kwenye nyumba yako kwa kuzingatia matumizi mazuri ya vifaa ambavyo viatakuhakikishia ubora na kudumu kwa muda mrefu nina uzoefu wa zaidi ya miaka 7 na nimefanya kazi nyingi mwanaza na nje ya mkoa wa mwanza na pia katika taasisi za serekeli kwenye majumb na maofisini na kazi zilikuwa ora kabisa kwa beipoa kabisa
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Mbeya CBD
14 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala zima la ujenzi Nina uzoefu wa kutosha,na fanya setting ya ramani kwenye majengo aina zote,pia naezeka Mapaa ,natoa huduma bora na ushauri ni bure kabisa kwa wateja wangu na nina piga mahesabu ya gharama zitakazo tumika kwenye ujenzi.
Building Designing Building Setting Out Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 10,000/day
Town
15 years
Ustadi na uzoefu wa Hali ya juu kuhakikisha nyumba Yako haito vuja Kwa upauaji Bora kutoka kwetu tuna paua mabayi ya Sina tofauti tofauti Kwa nyumba zote
Sheet Roofing Shingle Roofing Wood Work
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
11 years
4 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kuezeka Mapaa Kwa kutumia mabati ya aina mbali mbali kama vile Msouth migongo mipana na migongo midogo,Simba dumu pamoja na mabati ya vigae(versatile),pia mimi nifundi ambaye nabadilika kulingana na mazingira ya ufundi yanavyo badilika kama viile mitindo mipya ya uezekaji , hivyo nina muhakikishia mteja kuwa nina uwezo waku mjengea kile kilicho bora na hato weza kujutia kufanya kazi na mimi.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
15 years
4 months
Mimi ni fundi ninaye jishunghulisha na swala zima la upauaji wa Mapaa ya nyumba kwa kutumia mabati ya aina mbali mbali kama vile Msouth migongo mipana na midogo pia tuna ezeka Mapaa ya kuchimbia (hidden roof) kwa njia ya kisasa na ubora wa hali ya juu.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
9 years
Mimi ni fundi ni liye bobea kwenye nyanja tofauti tofauti katika swala zima la ujenzi nina fanya upauaji wa nyumba pamoja na kufanya finishing ya gypsum pia nina ambatana na mafundi waliyo bobea ili kuhakikisha kazi inakuwa nzuri kabisa na yenye mvuto
Gypsum Decoration Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
30 years
Mimi ni fundi ujenzi wa biogas natengeneza bio gesi kwa muda mrefu na uzoefu zaidi ya miaka thelathini katika kazi yangu kwa hiyo usisite kuja kutengeneza bayo gesi na mimi kwa uzoefu rafiki wa mazingira tunafika popote na bei ni nafuu kabisa
Biogas Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Mkuranga
17 years
Mimi ni fundi ujenzi mwenye uzoefu na niliye bobea kwenye swala zima la kuchimba msingi wa nyumba na kujenga hadi kwenye linta pamoja na kupiga plaster Kwa kutumia vipimo na vifaa pia nina toa ushauri bure Kwa mteja wangu kulingana na aina ya nyumba anayo itaka Kwa kuzingatia ukubwa wa eneo lake
Building Setting Out Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Mwanza
9 years
Mimi nina uzoefu wa zaidi ya miaka 9 katika ufanyaji wa plumbingi katika nyumba na kwa ustadi wa hali ya juu kabisa na kuzingatia ubora nimefanya kazi nyingi mkoa wa mwanz na dar es salaam
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
8 years
Naweka tiles katika nyumba aina zote kwa kutengeneza maua tofauti tofauti kulingana na mteja apendavyo
Tiling
TZ
From TZS 15,000/day
Goba
6 months
Imani kilumule ni fundi mwenye uzoefu wa mda mrefu katika ujenzi na ustadi katika kupiga nyumba rangi Kwa kutumia stadi na uzoefu wa muda mrefu
Tiling Painting
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
Nina paka rangi kwa kuzingatia ubora wa kisasa na kwa kuzingatia ubunifu wa hali ya juu, pia nina uzoefu wa kufanya brandering, gypsum setting board, skiming na kupaka rangi pamoja na kutumia rangi za drewa na conmix na kuifanya nyumba ipendeze zaidi.
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 40,000/day
Mafinga
11 years
Mimi ni fundi ninayehusikana nimekufanya ujenzi wa nyumba yako kuanzia kwenye msingi mpaka mwisho wa kupauwa kufanya skiming kwa ubora kabisa
Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
5 years
Ninajenga vyoo vya kisasa visivyojaa wala kunyonywa kwa muda mrefu katika nyumba zote nchini Tanzania.
Masonry
TZ
From TZS 30,000/day
ubungo
10 years
Fundi wa kutengeneza madirisha na milango ya aluminium, pia tunabuni na kutengeneza vyumba kutumia aluminium ndani ya nyumba
Door Installation Window Installation
TZ
From TZS 75,000/day
Ubungo
10 years
An accomplished designer, Quantity Surveyor, and builder based in Dar es Salaam, Tanzania, specializing in residential construction. With a background in designing and quantity surveying, he brings a wealth of expertise to crafting bespoke homes that seamlessly blend functionality with aesthetic appeal. His commitment to quality craftsmanship and innovative design solutions has earned him recognition in the industry. From modern villas to traditional residences, he excels in delivering projects that exceed client expectations and elevate living spaces
architectural construction_manager fencing foundation_repair framing guttering project_manager quantity_surveyor repairs roofing Welding
TZ
From TZS 35,000/day
Ubungo
7 years
Naezeka mapaa ya msauzi katika dizaini tofauti kulingana na maelekezo ya mteja mikoa yote Tanzania
Sheet Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Kwimba
6 years
Mimi ni fundi mwenye ujuzi wa kisasa na niliye bobea katika swala zima la kufunga mifumo ya umeme majumbani na maofisini, pia nina funga mifumo ya ulinzi kama vile cctv camera pamoja na fensi ya umeme pia mteja wangu anapatiwa ushauri kwa kile kilicho bora.
Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
11 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye utengenezaji wa fremu na milango Kwa kutumia mbao ngumu kama vile mninga na mkongo kwa njia ya kisasa na Kwa gharama na fuu sana
Wood Work
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
10 years
Fundi wa kuweka tiles katika nyumba kwa maua yote, pamoja na kujenga nyumba kwa matofali.
Tiling Masonry
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
15 years
4 months
Mimi ni mtaalam wa kutengeneza vyoo vya kisasa usisumbuke na karo la Maji Taka kamwe! Tuna mfumo bora wa kisasa wa choo usiojaa (BIODIGESTERS) ambao ni mfumo badala wa Mashimo ya kawaida ya choo! (septics and soakpits) Mfumo huu wa kisasa una sifa zifuatazo :- 1. haujai kamwe 2. hakivutwi – hakiitaji kunyonywa na motokaa (boza) 3. hakina harufu 4. Kinatumia eneo ndogo (small space) 4. Vina guarantee na vinafanywa na wataalam 5. Vinafanya vyema hata kwenye chemi chemi 6. Vina muonekano mzuri (vinapendeza kweli) 7. Unafanya vyema hata kwa manyumba makubwa yenye idadi kubwa ya watu. Tunatoa huduma kwa kila mtanzania kokote uliko tunakufikia.
Biogas Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
10 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha na ujuzi wa kisasa nina tumia ubunifu ambao inanisaidia kumpatia mteja kile anacho kihitaji pia nina tumia vifaa vyangu ambavyo vina nisaidia kwenye swala la ukataji wa tiles.
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Mafinga
11 years
Mimi ni fundi ninayehusikana nimekufanya ujenzi wa nyumba yako kuanzia kwenye msingi mpaka mwisho wa kupauwa kufanya skiming kwa ubora kabisa
Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
9 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la uwekaji wa mifumo ya umeme kwani nina uelewa wa kutosha kuhusu swala zima la ufungaji wa bomba za umeme na uwekaji wa box pamoja na kuweka wiring kwenye nyumba Kwa kutumia design za kisasa zaidi
Wiring
TZ
From TZS 50,000/day
Kinondoni
5 years
A developer with expertise in designing, developing, and installing smart home systems. He specializes in creating IoT solutions tailored to real-world challenges, ensuring practical and efficient operation. As the founder of Quantum Intelligence, Mgasa applies his skills to innovate in the smart home industry, delivering advanced and customized automation systems.
Wiring Smart Homes
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
10 years
Nina ujuzi wa kutengeneza milango na madirisha ya aluminium pamoja na kuweka majumbani kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa hali ya juu pia nina tumia vipimo na vifaa ambavyo ni imara ambavyo vina uwezo wa kufanya nyumba yako iweze kupendeza na kuwa na mvuto wa kisasa zaidi.
Building Designing
TZ
From TZS 15,000/day
Mto wa mbu
6 months
Mini ni fundi wakutrmgeneza mashimo ya majitaka Kwa njia ya kisasa amabayo itamfanya mtumiaji asiingie garama Zaid baada ya kutengeneza Kwan Lina tengenezwa Kwa matofali ya kisasa na maalumu kwaajili ya mashimo hayo ya maji taka
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
15 years
2 months
Mimi ni fundi tiles mwenye uzoefu katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia ubora wa kisasa na nina weka tiles zenye ubora na kuacha nyumba yako iwe na mvuto wa kisasa zaidi.
Tiling
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la uwekaji wa urembo wa nyumba na hotelini Kwa kutumia mbao na gypsum (gypsum decoration) Nina tengeneza sehemu kama vile sebuleni, jikoni,chumbani,TV show cases pia na fika mikoa yote kutoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa na toa ushauri bure kabisa.
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mtaalamu wa urembo wa nyumba na bustani anayeishi Temeke, Dar es Salaam. Ameanza kazi za decorations mwaka 2014 na anajishughulisha na plasta decorations, gypsum board design, ujenzi wa mabwawa ya kuogelea, chemchemi za maji, maporomoko ya maji, kuweka tiles, kupaka rangi, na kubuni bustani. Pia anatengeneza sanamu za wanyama, ndege, majabali, na magogo.
Gardening Landscaping
TZ
From TZS 30,000/day
Kahama
6 years
Naweka tiles katika nyumba kwa njia ya kisasa kabisa na kufanya nyumba ipendeze kwa maua mbalimbali.
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Mpwapwa
23 years
Mimi ni mtaalam wa kupaka rangi majumbani kwa kuzingatia ubora wa kisasa na kwa kuzingatia umakini wa hali ya juu pia nina ambatana na mafundi wenye uzoefu na walio bobea kwenye swala zima la upakaji wa rangi na kuhakikisha mteja ana ridhishwa na kazi zetu pia tuna zingatia muda wa kuanza na kukabidhi kazi kama tulivyo kubaliana na mteja wetu.
Painting
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
7 years
Nina jenga mabanda ya kuku kwa kuzingatia ubora wa hali ya juu pia nina uzoefu wakutosha katika swala zima la ujenzi wa mabanda na kuhakikisha mteja wangu ana ridhika na kazi yangu pia nina tumia vipimo ambavyo vina niwezesha katika ujenzi wa banda.
Building Designing
TZ
From TZS 20,000/day
Goba
6 months
Mini ni fundi wakupiga finishing Kwa nyumba zote Kwa kutumia ujuzi na uzoefu mkubwa kutoka kwetu
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 15,000/day
dar
5 years
mimi ni fundi mwenye uzoefu katika uwekaji wa njia za maji taka pamoja na njia za maji safi kwa ajili ya jikoni au majia kwaajili ya kuflashi chooni nina uzoezo wa miaka zaidi ya mitano
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
19 years
FAABI electrical device provider ltd tuna jihusisha na uwekaji wa mifumo ya umeme Kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa na kuhakikisha nyumba ina kuwa na mifumo bora ya umeme pia tuna zingatia mabadiliko ya ki technologia kwani tuna mafundi mahiri ambao wana badilika kulingana na mazingira ya kitechnologia.
Gate Installation Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 45,000/day
Ubungo
10 years
Fundi mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 9 katika ufundi bomba na uashi. Amepata mafunzo katika vyuo vya VETA na Arusha Technical College. Ana sifa kubwa kwa ubora wa kazi zake Dar es Salaam.
Plumbing Masonry Drainage Installation Septic Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
4 months
Nina toa huduma za ununuzi, ujenzi Kwa kutumia tangastone na burning bricks na ubunifu wa nyumba(House design) ndani ya nchi na nchi jirani za Africa, tumesha fanya kazi sehemu nyingi na tuna uzoefu wa kutosha usio pungua Miaka sita pia tuna fanya kazi zenye viwango na kuhakikisha mteja ana ridhika na kazi zetu na kwa wale wateja wanao hitaji ushauri tunatoa ushauri bure kabisa kabla ya mteja kuchukua hatua yakujenga ili kuhakikisha kazi ina kuwa yenye viwango na mvuto mzuri.
Building Designing Bricklaying Stonework
TZ
From TZS 20,000/day
Town
1 Years
No Skill Listed
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
16 years
Nime bobea kwenye swala zima la upakaji wa rangi pamoja na kuweka epoxy floor zenye ubora na zenye mapambo ya aina mbalimbali pia nina uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi hizi
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
8 years
Mimi ni fundi umeme wa majumbani na maofisini katika kufanya wiring, kurekebisha penye tatizo na kufunga taa za aina zote
Electrical Troubleshooting Electricity Safety Wiring
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
14 years
A skilled mason with extensive experience in both mechanical engineering and masonry. He began his training at Msimbazi Garage, later transitioning to masonry, where his competence and dedication quickly earned him the trust of his superiors. Over the years, Hildman has worked on significant projects, including building government structures like the Ubungo Communication Building and collaborating with JKT trainees. As an independent mason, he specializes in tile construction and general house building, consistently delivering high-quality results. His expertise and dedication have also enabled him to train many individuals who have gone on to become successful independent masons.
Masonry Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Kibaha
15 years
4 months
Mimi ni fundi niliye bobea katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia vipimo na ubora wa kisasa zaidi nina fanya kazi zenye viwango pia nabadilika kulingana na mitindo ya ujenzi inavyo badilika, pia nina uzoefu usio pungua miaka 13 nikiwa nafanya finishing za uwekaji wa tiles hivyo nina muhakikishia mteja wangu hawezi kujutia kufanya kazi na mimi ,pia nina fika popote pale tanzania na nchi jiranina africa.
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
20 years
4 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la kupaua Mapaa Kwani Nina uzoefu wa kutosha na nime fanya kazi nyingi hapa Tanzania na nchi jirani za Tanzania na gharama zangu ni nafuu kabisa na pia mteja anasikilizwa kwa kile anacho kihitaji na kuhakikisha anaridhika kabisa na upauaji wangu.
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
10 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la upakaji wa rangi, uwekaji wa gypsum board na urembo (decoration) nime fanya kazi nyingi na sehemu tofauti tofauti hivyo nina ubunifu wa kila aina kwenye kazi hizi na ninaifanya nyumba yako iweze kuwa na mvuto wa kisasa zaidi
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 10,000/day
kariakoo
10 years
mimi ni fundi wa kufanya wiring katika nyumba yako kabla ya tanesco kuja kufunga umeme nyumbani kwa ufungaji mzuri wa umeme na kwa kutumia vifaa vya kisasa kabisa na vya bei nafuu kutoka kwa maduka ya kuaminika na vyenye ubora na uzoefu wa muda mrefu
Wiring
TZ
From TZS 90,000/day
Madale
10 years
Dynamic and creative engineer with over 6 years’ hands-on experience in overseeing all aspects of civil infrastructural engineering projects from inception to completion. Adept at leveraging expertise in process optimization and project management to facilitate safe and cost-effective operations.
architectural Bricklaying Carpentry civil_engineer concrete_work exterior_painting Flooring foundation_repair guttering interior_painting Landscaping Masonry Plastering Plumbing project_manager repairs roofing septic_systems Stonework Tiling Waterproofing Welding Wiring woodworking
TZ
From TZS 50,000/day
Ukonga
20 years
Fundi hamisi fundi wa dizaini kwenye nyumba yako finishing ya kibabe finishing aina yote ya gypsum painting ya rangi kwa nje wall decoration
Gypsum Decoration Drywall Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Mpwapwa
7 years
Natengeneza gypsum board kwenye nyumba pamoja na urembo mbalimbali wa nyumba mahali popote Tanzania.
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 20,000/day
Njombe mji
7 years
Mimi ni fundi welding mwenye uzoefu wa miaka saba katika kazi ya welding, na miaka minne maalum katika PVC na alumini. Nimebobea katika ufungaji, matengenezo, na ukarabati wa vifaa vya PVC na alumini kwa uangalifu wa hali ya juu. Uzoefu wangu unaniwezesha kutoa suluhisho za ubora, kuhakikisha usalama wa kazi, na kutatua matatizo kwa ufanisi. Nina dhamira ya kutoa huduma bora na kuhakikisha kuridhika kwa wateja kwa matokeo yenye nguvu na ya kudumu.
Welding Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
16 years
Natengeneza madirisha na milango ya aluminium pamoja na vioo kwa gharama nafuu katika nyumba na maofisi
Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Mufindi
9 years
mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kufanya kazi kuweka masinki chooni na kuweka tailis kwa ubora wa hali ya juu kabisa na kwa kusingatia ubora wa nyumba pamija na choo chako bila ya kusahau majikoni nako tunaweka
Flooring Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
24 years
Mtaalamu wa kujenga na kurekebisha mapaa ya nyumba mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 23, anayepatikana Tanzania. Anajulikana kwa ustadi wake katika ujenzi wa mapaa ya nyumba, kupiga dari, pamoja na uwekaji kuta na mapambo ya gypsum. Ally amekuwa akitoa huduma kwa uaminifu mkubwa na amepata mafunzo maalum katika kuweka vigae vya Decra, hivyo kuhakikisha ubora katika kazi zake.
Brandering Ceiling Gypsum Decoration Sheet Roofing Gutter Installation Shingle Roofing Tile Roofing Timber Trussing