Author: Athuman Mochiwa
Mimi ni fundi niliye bobea katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia vipimo na ubora wa kisasa zaidi nina fanya kazi zenye viwango pia nabadilika kulingana na mitindo ya ujenzi inavyo badilika, pia nina uzoefu usio pungua miaka 13 nikiwa nafanya finishing za uwekaji wa tiles hivyo nina muhakikishia mteja wangu hawezi kujutia kufanya kazi na mimi ,pia nina fika popote pale tanzania na nchi jiranina africa.
