Author: Rashid Madongo
Mimi ni fundi ninaye husika na ujenzi wa nyumba katika nynja ya kupandisha matofali na kufunga lenta na pia nafanya gypsum designing na kupaua nyumba yako kwa mabati aina zote na nafanya kazi hizi kwa uaminifu na ubora mkubwa kabisa na kwa bei ambayo ni nafuu kabisa
