Hire Builders

TZ
From TZS 15,000/day
Mto wa mbu
5 months
Mini ni fundi wakutrmgeneza mashimo ya majitaka Kwa njia ya kisasa amabayo itamfanya mtumiaji asiingie garama Zaid baada ya kutengeneza Kwan Lina tengenezwa Kwa matofali ya kisasa na maalumu kwaajili ya mashimo hayo ya maji taka
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
mwanza
7 years
Mimi ni fundi wa kufanya plumbing kwenye nyumba yako kwa kuzingatia matumizi mazuri ya vifaa ambavyo viatakuhakikishia ubora na kudumu kwa muda mrefu nina uzoefu wa zaidi ya miaka 7 na nimefanya kazi nyingi mwanaza na nje ya mkoa wa mwanza na pia katika taasisi za serekeli kwenye majumb na maofisini na kazi zilikuwa ora kabisa kwa beipoa kabisa
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Kwimba
6 years
Mimi ni fundi mwenye ujuzi wa kisasa na niliye bobea katika swala zima la kufunga mifumo ya umeme majumbani na maofisini, pia nina funga mifumo ya ulinzi kama vile cctv camera pamoja na fensi ya umeme pia mteja wangu anapatiwa ushauri kwa kile kilicho bora.
Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 30,000/day
Nyakato
9 years
Fundi wa bomba za maji safi na maji taka katika nyumba aina zote.
Plumbing
TZ
From TZS 100,000/day
Ilala
10 years
Experienced Building/ Bridge/ Structural Engineer with over 7 years in designing and supervising large-scale infrastructure projects. Expertise includes feasibility studies, detailed engineering designs, and technical audits for World Bank-funded projects. Adept at managing complex bridge and drainage structures across Tanzania, with a proven track record of delivering high-quality, cost-effective solutions.
Building Designing Cost Estimation Project Management Project Planning Structural Designing Technical Drafting
TZ
From TZS 100,000/day
Ubungo
10 years
A skilled Registered Graduate Civil Engineer with a B.Sc. in Civil Engineering from the University of Dar es Salaam. His practical building trades include site supervision, material testing, construction safety management, quantity surveying, cost estimation, and structural analysis. With extensive experience in project management and technical report writing, Yona is committed to delivering reliable and high-quality outputs.
Concrete Curing Concrete Mixing Concrete Work Formworking Steel Fixing Project Management Project Planning Carpentry Welding Wiring Flooring Tiling Building Setting Out Foundation Installation Building Inspection Demolition Maintenance Planning Workplace Safety Painting Plumbing Rain Harvesting Steel Trussing Steelwork security-system-installation smart-home-installation Blocklaying Bricklaying Drywall Installation Masonry Plastering Stonework Septic Installation Glass Tinting Glazing Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
34 years
Ninahusika na kazi za Upigaji wa plasta pamoja na uwekaji wa urembo kwenye Kuta kwa kutumia cement na mchanga Ninauzoefu wa kufanya kazi ndani ya Dar es Salaam,mikoa mbali mbali ndani ya Tanzania
Tailoring Plastering
TZ
From TZS 50,000/day
Nyamagana
4 years
Mtaalamu wa kuchora ramani za nyumba za kisasa, kujenga na kuzisimamia.
Building Designing Cost Estimation
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
19 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha nina ujuzi wa kuweka Mapaa kwa kutumia mabati ya Msouth na nina mafundi ambao Wana uzoefu na kazi hii na kulifanya paa lako likiwa lina vutia,tuna fika mikoa yote hapa Tanzania Kwa ajili ya kazi hii na mteja kwetu anapewa kipaumbele cha kusikilizwa
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
9 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha na ujuzi wa kisasa nina tumia ubunifu ambao inanisaidia kumpatia mteja kile anacho kihitaji pia nina tumia vifaa vyangu ambavyo vina nisaidia kwenye swala la ukataji wa tiles.
Tiling
TZ
From TZS 200,000/day
Dat
15 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu nishafanya kazi sehemu tofauti tofauti katika uwekaji wa gesi mfumo wa gesi nyumbani kwako gesi hii ni mbadala inatumia maji taka ya aina yoyote ambayo yanaweza paka mwisho na maji yake huweza kutumika kama mbadala wa maji ya kufurashia chuoni nakufanyia usafi rishaji kushika maji tukufungie kwa bei nafuu kabisa na kwa uzoefu wa muda mrefu na uzoefu wa takribani miaka 16
Biogas Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Gairo
6 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa miaka saba katika ufanyaji wa roofing kwenye nyumba. Nimebobea katika ufungaji, matengenezo, na ukarabati wa paa, nikitumia mbinu za kisasa na vifaa vya ubora. Uzoefu wangu unahakikisha kazi bora na kudumu, huku nikizingatia usalama na viwango vya hali ya juu. Nina ujuzi mzuri wa kuboresha ufanisi wa paa na kuridhisha wateja kwa matokeo ya kuaminika na ya muda mrefu.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 10,000/day
Town
15 years
Kwa uzoefu wa zaidi ya miaka 7 Kwa uwekaji gypsum kwenye nyumba pamoja na urembo kwajili ya sehemu ya kiweka tv jikoni na kwenye vyumba vya kulala
Gypsum Decoration Drywall Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
3 years
Fundi wa kupanga na kutengeneza maua kwa kutumia paving blocks
Paving
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
16 years
Mimi nifundi mwenye uzoefu wa kutosha kwenye kazi hiizi za utengenezaji wa madirisha,milango ya aluminium pamoja na magrili Kwa ubora na umakini wa hali ya juu nina fika mikoa yote hapa Tanzania na nchi jirani za Africa
Door Installation Welding Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
16 years
Natengeneza madirisha na milango ya aluminium pamoja na vioo kwa gharama nafuu katika nyumba na maofisi
Window Installation
TZ
From TZS 20,000/day
Ubungo
7 years
Mimi ni mtaalam wa kutengeneza picha mbao kali na zenye mvuto kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi natengeneza size zote A4,A3,A2 pamoja na A1 na nina fanya deliver kwa wateja wangu wote waliopo dar es salaam na mikoani pia mteja kwangu ni mfalume hivyo anasikilizwa kwa umakini ili apate kile kilicho bora na usalama wa kazi ni wakutosha kabisa
Wood Work
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
30 years
Mimi ni fundi ujenzi wa biogas natengeneza bio gesi kwa muda mrefu na uzoefu zaidi ya miaka thelathini katika kazi yangu kwa hiyo usisite kuja kutengeneza bayo gesi na mimi kwa uzoefu rafiki wa mazingira tunafika popote na bei ni nafuu kabisa
Biogas Installation
TZ
From TZS 10,000/day
Town
15 years
Ustadi na uzoefu wa Hali ya juu kuhakikisha nyumba Yako haito vuja Kwa upauaji Bora kutoka kwetu tuna paua mabayi ya Sina tofauti tofauti Kwa nyumba zote
Sheet Roofing Shingle Roofing Wood Work
TZ
From TZS 100,000/day
Temeke
18 years
Naitwa Linus Malekela ni fundi wa kuezeka mapaa aina zote na nyumba aina zote ghorofa, nyumba za kawaida, godown, makanisa NK: pia ninautaalamu wa kuezeka kwa kutumia materials aina zote Mbao, chuma, bati za Msouth migongo mipana, migongo midogo na bati za vigae
Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
30 years
Mimi ni fundi wa kuweka painting na gypsum design skimming painting s kwenye nyumba kubwa huu ubora wa hali ya juu na kukuzingatia nguvu vinavyohitajika na kwa bei nafu u
Gypsum Decoration Painting Plastering Wallpaper Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala CBD
10 years
Mimi ni mtaalam wa ufungaji wa taa za umeme wa jua majumbani na kwenye uzio wa nyumba(dance) pia nina funga taa kwenye bustani ambazo Zina tumika kama mapambo pia tuna kuuzia vifaa ambavyo ni imara kabisa na vinavyo dumu Kwa muda mrefu
Solar Electricity
TZ
From TZS 40,000/day
Mafinga
11 years
Mimi ni fundi ninayehusikana nimekufanya ujenzi wa nyumba yako kuanzia kwenye msingi mpaka mwisho wa kupauwa kufanya skiming kwa ubora kabisa
Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 15,000/day
Mufindi
8 years
Mimi ni fundi wa kufanya welding madirisha kwa ajili ya nyumba yako na uzoefu zaidi ya miaka tisa nafanya kazi hii kwa ubora kabisa na kwa kuzingatia vipimo
Welding
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
8 years
3 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha katika swala zima la uchomeleaji wa mageti,magrili, madirisha na vitanda nina uzoefu wa kutosha na nina tumia vifaa vilivyo Bora na vinavyo niwezesha kufanya kazi Kwa ufanisi, pia kwa huduma hii naweza kuku fikia popote pale Tanzania na tuna hakikisha mteja wetu anapata kile kilicho bora na kufurahia kazi zetu.
Steel Fixing Door Installation Gate Installation Welding Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mimi ni mtaalam wa kuweka tiles majumbani Kwa kuzingatia ubora wa kisasa na niko na uzoefu wa kutosha katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani na maofisini pia nina msikiliza mteja Kwa kile anacho kihitaji na nina hakikisha kazi inakuwa ya viwango vya hali ya juu.
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
10 years
Fundi wa kuweka tiles katika nyumba kwa maua yote, pamoja na kujenga nyumba kwa matofali.
Tiling Masonry
TZ
From TZS 40,000/day
Morogor...
7 years
Mimi ni fundi ninayefanya plastering skimming na uwekaji wa urembo kwenye nyumba yako kwakutumia mchanga na simenti pia nafanya painting kwenye nyumba yako na nina uzoefu wa zaidi ya miaka minane katika kazi na nimefanya kazi ndani na nje ya mkoa wa Morogoro
Paving Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
12 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye utengenezaji wa mageti,milango ya chuma, madirisha na aluminium pamoja na kumuwekea mteja kwenye nyumba yake Nina uzoefu wa kutosha kwenye kazi hii.
Steel Fixing Door Installation Gate Installation Metal Work Welding Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Mpwapwa
7 years
Natengeneza gypsum board kwenye nyumba pamoja na urembo mbalimbali wa nyumba mahali popote Tanzania.
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
5 years
Fundi wa kupanga na kutengeneza maua kwa kutumia paving blocks
Paving
TZ
From TZS 40,000/day
Karatu
7 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala Zima la ufungaji wa mabomba ya nyumbani Kwa kuzingatia ubora na umakini wa hali ya juu, pia niko na mafundi wenzangu walio bobea kwenye kazi hii hivyo kazi ina fanyika Kwa ubora zaidi
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha
14 years
Mimi ni fundi wa kupaua nyumbani yaani kufanya roofingi kwa kutumia mabati aina zote kama msauzi na mabati ya kawaida kwenye nyumba aina zote
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 100,000/day
Ilala
7 years
Abdallah Idd Wachaka, born and educated in Dar es Salaam, specializes in designing and constructing houses. With a keen eye for detail and a commitment to quality, he has established a reputation for creating innovative and durable residential structures that meet the needs of modern living.
Concrete Curing Concrete Mixing Concrete Work Building Setting Out Blocklaying Bricklaying Masonry Plastering Stonework Septic Installation House Building
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
11 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye utengenezaji wa fremu na milango Kwa kutumia mbao ngumu kama vile mninga na mkongo kwa njia ya kisasa na Kwa gharama na fuu sana
Wood Work
TZ
From TZS 50,000/day
Goba
6 years
Mimi ni fundi ninaye husika na finishing ya nyumba yako kwanzia kwenye plastering simmimg painting na urembo kwenye nyumbba yako kwa bei nafuu na kwa ubora na uzoefu mkubwa kabisa katika kazi hii ninauzoefu za miaka 6 katika kazi hizi pia nimefanya kazi nyingi na watu na watu wamezikubali kazi zangu
Painting Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Gongola...
13 years
3 months
Nina jihusisha na uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa pia kazi zangu zina zingatia vipimo na zina mvuto mzuri na nina uzoefu wa muda mrefu kwani nime fanya kazi na watu wengi tofauti tofauti pia namfikia mteja wangu popote pale Tanzania.
Tiling Plastering
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
15 years
Mimi ni fundi nina ujuzi wa ujenzi kama vile kupiga plasta, kuweka urembo( decoration) za kibunifu za nje na ndani ya nyumba na Ku design dari Kwa gypsum (gypsum ceiling design) kazi hizi tuna zifanya kwa umakini na kisasa zaidi kwani tuna uzoefu wa muda mrefu
Gypsum Decoration Building Designing Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Ilemela
6 years
Ninatengeneza gypsum board katika nyumba kwa maua mbalimbali kupendezesha nyumba katika maeneo yote nchini
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
5 years
Natengeneza milango na madirisha ya aluminium kwa ajili ya nyumba na maofisi mbalimbali popote nchini
Window Installation
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la utengenezaji wa gypsum board na uwekaji wa urembo kwenye gypsum board nyumbani na mahotelini Kwa kutumia mbao na gypsum,nina tengeneza sehemu kama vile sebuleni(sitting room), jikoni(kitchen),chumbani,TV show cases pia na fika mikoa yote kutoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa na toa ushauri bure kabisa.
Gypsum Decoration Structural Designing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
14 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha Nina ujuzi wa kuezeka Mapaa kwenye nyumba Kwa kutumia mabati ya aina tofauti tofauti na kuacha paa lako likiwa na mvuto mzuri.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
9 years
Mimi nifundi ninaye jihusisha na swala zima la uwekaji urembo kwenye nyumba Kwa kutumia mchanganyiko wa cement na mchanga Kwa ubunifu wa hali ya juu na nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya kazi hii.
Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha CBD
10 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu katika swala zima la kuweka mifumo ya bomba kwenye nyumba,naweka mifumo iliyo ya kisasa ya maji Safi na maji taka kwenye nyumba na vyooni pia nina mafundi ambao wamebobea katika kazi hii na ushauri mteja ana patiwa bure kabisa.
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
9 years
Fundi wa kutengeneza milango na vifaa vyote vya samani.
Carpentry
TZ
From TZS 40,000/day
Chunya
23 years
Mimi ni fundi ujenzi mwenye uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya kazi hizi nina badilika kulingana na mazingira ya kazi pia nina tumia ubunifu na njia za kisasa ili kuhakikisha kazi ina fanyika Kwa ubora wa hali ya juu na Kwa aajili ya huduma hii naweza kukufikia popote pale Tanzania na nchi jirani za Africa
Flooring Plastering
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la uezekaji wa Mapaa ya aina mbalimbali natoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la uezekaji wa Mapaa ya aina mbalimbali natoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa na pia na toa ushauri bure kabisa.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
9 years
Fundi wa kupaua nyumba mabati ya msauzi pamoja na kufanya brandering
Brandering Sheet Roofing
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
10 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye uwekaji wa tiles pamoja na urembo Kwa kutumia tiles, Nina uzoefu wa kutosha pia nina tumia vipimo ili kuhakikisha nyumba ina kuwa na muonekano mzuri na ushauri ni bure kabisa Kwa wateja wangu kuhusiana na aina ya tiles mteja anayotaka kutumia
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
10 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la upakaji wa rangi, uwekaji wa gypsum board na urembo (decoration) nime fanya kazi nyingi na sehemu tofauti tofauti hivyo nina ubunifu wa kila aina kwenye kazi hizi na ninaifanya nyumba yako iweze kuwa na mvuto wa kisasa zaidi
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
Nina paka rangi kwa kuzingatia ubora wa kisasa na kwa kuzingatia ubunifu wa hali ya juu, pia nina uzoefu wa kufanya brandering, gypsum setting board, skiming na kupaka rangi pamoja na kutumia rangi za drewa na conmix na kuifanya nyumba ipendeze zaidi.
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
3 months
Nina toa huduma za ununuzi, ujenzi Kwa kutumia tangastone na burning bricks na ubunifu wa nyumba(House design) ndani ya nchi na nchi jirani za Africa, tumesha fanya kazi sehemu nyingi na tuna uzoefu wa kutosha usio pungua Miaka sita pia tuna fanya kazi zenye viwango na kuhakikisha mteja ana ridhika na kazi zetu na kwa wale wateja wanao hitaji ushauri tunatoa ushauri bure kabisa kabla ya mteja kuchukua hatua yakujenga ili kuhakikisha kazi ina kuwa yenye viwango na mvuto mzuri.
Building Designing Bricklaying Stonework
TZ
From TZS 40,000/day
Kwimba
6 years
Mimi ni fundi urembo pamoja na kupaka rangi kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa pia nina fika mikoa yote pamoja na nchi jirani za Afrika pia nina msikiliza mteja wangu kwa kile ana cho kihitaji na ushauri ni bure kabisa kwa wateja wangu
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 20,000/day
Goba
5 months
Mini ni fundi wakupiga finishing Kwa nyumba zote Kwa kutumia ujuzi na uzoefu mkubwa kutoka kwetu
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Mbezi m...
7 years
2 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la upauaji wa Mapaa Kwa kutumia vifaa vyangu bora na vya kisasa na Nina hakikisha mteja wangu ana ridhika Kwa uaminifu alio nipatia
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 25,000/day
Dar es ...
5 months
Mimi ni Mkami fundi wa kutengeneza biodigester ambao ni mbadala wa septic tank ambazo hutumia pesa kidogo na hudumu Kwa mda mrefu bila yakujaa
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
kigamboni
4 years
Fundi wa kuweka paving blocks katika nyumba mbalimbali nchini Tanzania na nje ya nchi kwa gharama nzuri.
Paving
TZ
From TZS 30,000/day
Mafinga...
8 years
Mimi ni fundi ninayofanya tailing kwenye nyumba yako naweka tyles chuoni kwenye kuta kwenye sakafu kwa kuzingatia ubora za kuweka namna nzuri ya kuweka urembo na uzoefu zaidi ya imekaa saba
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
8 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha na nime bobea kwenye uezekaji wa mapaa Kwa kutumia ubunifu na kuzingatia njia za kisasa na kuliacha paa lako liki pendeza kabisa.
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ludewa
9 years
fundi plastering kwa nyumba yako kwa ustadi na uzoefu wa miaka tisa katika kazi hii ya plastering pamoja na uwekaji wa urembo kwenye nyumba yako kwa uaminifu na kwa bei ambayo ni rafiki
Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Makambako
3 years
Mimi ni fundi ninaye jihusisha na plastering boarding kuweka gypsum pamoja na finishing kwenye nyumba yako kwa ubora na uzoefu zaidi ya miaka minne nimefanya kazi nyingi tena mgonjwa na njia ya mkwaju wa mbili fanya skimming kwenye madaha zake shule ya serikali na popote tunafika na bei zetu ninafuu
Ceiling Painting Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
dar
11 years
mim ni fundi wa ufungaji wa mabomba maofisini majumbani na hata kwenye makampuni mbalimbali kwa kuzingatia ubora ulio na uaminifu mkubwa kama ilivyo kauli mbiu yetu
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
24 years
Mtaalamu wa kujenga na kurekebisha mapaa ya nyumba mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 23, anayepatikana Tanzania. Anajulikana kwa ustadi wake katika ujenzi wa mapaa ya nyumba, kupiga dari, pamoja na uwekaji kuta na mapambo ya gypsum. Ally amekuwa akitoa huduma kwa uaminifu mkubwa na amepata mafunzo maalum katika kuweka vigae vya Decra, hivyo kuhakikisha ubora katika kazi zake.
Brandering Ceiling Gypsum Decoration Sheet Roofing Gutter Installation Shingle Roofing Tile Roofing Timber Trussing
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
12 years
3 months
Fundi wa gypsum natengeneza maua ya aina zote kupendezesha nyumba
Gypsum Decoration Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
15 years
3 months
Mimi ni fundi ninaye jishunghulisha na swala zima la upauaji wa Mapaa ya nyumba kwa kutumia mabati ya aina mbali mbali kama vile Msouth migongo mipana na midogo pia tuna ezeka Mapaa ya kuchimbia (hidden roof) kwa njia ya kisasa na ubora wa hali ya juu.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
15 years
Mimi ni mtaalam niliye bobea kwenye swala Zima la ufungaji wa solar majumbani na maofisini Kwa kutumia vifaa vilivyo imara na ubunifu wa kisasa zaidi pia nina ambatana na mafundi wenzangu ambao nao wame bobea kwenye kazi hii lengo ni kumtengenezea mteja wetu kile kilicho bora kabisa
Solar Electricity
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
11 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kufanya finishing za majumbani Kwa kuweka fance za umeme, kufunga geti, kufunga video door phone pamoja na alarm za majumbani Kwa umakini na ubora wa hali yajuu,pia tuna zingatia ubora wa kazi na mabadiliko ya ki technologia.
Gate Installation Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 30,000/day
Kahama
6 years
Naweka tiles katika nyumba kwa njia ya kisasa kabisa na kufanya nyumba ipendeze kwa maua mbalimbali.
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
20 years
3 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la kupaua Mapaa Kwani Nina uzoefu wa kutosha na nime fanya kazi nyingi hapa Tanzania na nchi jirani za Tanzania na gharama zangu ni nafuu kabisa na pia mteja anasikilizwa kwa kile anacho kihitaji na kuhakikisha anaridhika kabisa na upauaji wangu.
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
8 years
Ninapaka na kupendezesha nyumba aina zote kwa rangi nzuri na za kudumu ndani na nje ya nchi kwa gharama nzuri
Painting
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
14 years
A skilled mason with extensive experience in both mechanical engineering and masonry. He began his training at Msimbazi Garage, later transitioning to masonry, where his competence and dedication quickly earned him the trust of his superiors. Over the years, Hildman has worked on significant projects, including building government structures like the Ubungo Communication Building and collaborating with JKT trainees. As an independent mason, he specializes in tile construction and general house building, consistently delivering high-quality results. His expertise and dedication have also enabled him to train many individuals who have gone on to become successful independent masons.
Masonry Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
30 years
Mimi ni fundi wa kuweka tiels na kufanya plastering kwenye nyumba yako nyumba ya aina zote magorofa nyumba za kawaida mashuleni kwenye makampuni na nyumba za nyumbani pamoja na kuweka urembo kwenye nyumba yako
Biogas Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Mwanza
9 years
Mimi nina uzoefu wa zaidi ya miaka 9 katika ufanyaji wa plumbingi katika nyumba na kwa ustadi wa hali ya juu kabisa na kuzingatia ubora nimefanya kazi nyingi mkoa wa mwanz na dar es salaam
Plumbing
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
10 years
Mtaalamu mzoefu katika ujenzi nyumba, haswa ktk ufundi uashi na ujenzi matofali, aliyehitimu kutoka Chuo cha Ufundi Arusha. Tangu utotoni, alifundishwa na familia yake, ambao pia wanahusika katika ujenzi wa makazi. Akiwa Ubungo, Tanzania, Charles anafanikiwa katika ujenzi wa makazi kwa ujumla, akitoa ubora na uimara katika kila mradi. Ujuzi wake unajumuisha uwekaji wa matofali, kazi za zege, uwekaji wa sakafu, upakaji wa plasta, mabomba, paa, na zaidi, kuhakikisha utoaji wa huduma kamili. Charles anaunganisha uzoefu wa vitendo na mafunzo rasmi, akiwa na dhamira ya kutoa ubora katika ujenzi wa makazi kote Tanzania.
Flooring Tiling Plumbing Bricklaying Masonry Plastering
TZ
From TZS 60,000/day
Mwanza ...
20 years
Ni fundi ninayetengeneza nyumba kuanzia mwanzo mpaka mwisho painting plastering ruffin zote nafanya kwa bei nafuu na kwa kuzingatia ubora unaotakiwa na uzoefu wasaidia miaka ishirini katika kazi hii
Painting Sheet Roofing