Fahamu zaidi unapotaka kujenga nyumba bati zisizoonekana (Contemporary houses za Kitanzania)

CONTEMPOARY HOUSES nini?
– Contemporary maana yake ni MODERN. Hivyo hizi ni nyumba za kisasa zaidi (zinazo-trend)
– Zinasifa za kuwa simple, smart, minimalistic, clear. Zina sura bapa(planes), box style, nyuzi pembe nne, straightness, rangi chache zaidi nyeupe na gray, open space, less privacy as freedom, madirisha na milango mikubwa
– Zinatabia ya kutumia vifaa aina ya: zege, metal zaidi, vioo zaidi. Zimekuja katika zama hizi za matumizi makubwa ya viwanda na computer!
– Maghorofa mengi yanayojengwa siku hizi posta yana tabia hizi maana ni za kisasa
– Google picha: CONTEMPORARY HOUSES –> utapata jibu
– Watu wengi wanazipenda sana haswa. Nje ya nchi wanazijenga sana ila Tanzania watu bado hawana mwongozo zaidi

Tumekuandalia contempoary houses ambazo unaweza kujenga Tanzania huku tukiwa tumeangalia UCHUMI, TAMADUNI, HALI, UFUNDI… ambao upo katika mazingira yetu TANZANIA lakini pia bila kuharibu ladha, utamu, ubora… wa contemporary ili Mtanzania uweze uweze kupata maximum satsfaction na kutimiza hamu yako
– Tumeziweka zitumie bati la kawaida tuu ili kuepuka gharama za zege na nondo
– Bati limefichwa vizuri lisionekane ili lisiharibu ladha za muonekano
– Bati linakusanya maji na kumwaga ktk pembe zake nje bila kuvuja (kama nyumba za kawaida) [ila bati limefichwa vyema halionekani]
– Kutokana na kuziba bati lisionekane basi idadi ya tofali, cement imeongezeka kidogo. Hivyo gharama ipo kikawaida tuu
– Actually ni nyumba ya kawaida hivyo fundi wako anaweza kujenga vyema bila shida yoyote [cha msingi tu ajenge kulingana na ramani inavyosema]
– Watanzania tunajenga kwa awamu kidogo-kidogo, hata hizi waweza jenga kidogo-kidogo kwa awamu
– Mpangilio wa nyumba na layout ya vyumba umekaa katika tamaduni ya Kitanzania kwa welfare ya familia
– Ukubwa wa nyumba na vyumba ni wa kawaida katika kutosha katika viwanja vyetu

Kuziona zaidi nyumba hizi basi bofya hapa na uone nyumba kibao zenye makisio ya gharama na vifaa.

6 responses

  1. I will be glad to receive design of a contemporary house of three bedroomsi.e one master bedroom bigger than the rest of rooms, two normal bedrooms, kitchen, dining room, public toilet, and a sitting room.

  2. Nimejenga nyumba ya vyoma vitatu ipo kwenye upauaji naomba jinsi ya kupaua na kuezeka

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

ID-17733
3
198 sqm
20 Pcs
16 m
7,040 Pcs
11 m
2,070 Pcs
ID-33691
2
77 sqm
60 Pcs
10 m
1,600 Pcs
9 m
900 Pcs
ID-27508
3
160 sqm
130 Pcs
14 m
2,864 Pcs
13 m
1,424 Pcs
ID-15336
5
440 sqm
125 Pcs
19 m
8,921 Pcs
16 m
2,266 Pcs
ID-20942
5
278 sqm
115 Pcs
17 m
4,958 Pcs
13 m
2,215 Pcs
ID-16141
3
231 sqm
159 Pcs
19 m
4,135 Pcs
14 m
2,056 Pcs
ID-28086
3
195 sqm
163 Pcs
16 m
3,491 Pcs
14 m
1,736 Pcs
ID-28239
3
168 sqm
115 Pcs
14 m
3,001 Pcs
14 m
1,492 Pcs
ID-28152
4
159 sqm
110 Pcs
15 m
2,799 Pcs
15 m
1,400 Pcs
ID-17099
4
203 sqm
139 Pcs
16 m
3,616 Pcs
14 m
1,798 Pcs
ID-16818
2
239 sqm
164 Pcs
25 m
4,278 Pcs
10 m
2,127 Pcs
ID-18184
4
265 sqm
182 Pcs
20 m
4,744 Pcs
17 m
2,359 Pcs
Makazi Icon Blue

Join Membership

Join Membership to See Clear Floor Plans Before You Buy the Full Plan; See How Much MONEY is Needed to INVEST in Your Business In order to Get the Profit to Finance Construction of This House. What MORTGAGE to Borrow and Return Monthly to Your Bank. Also, See How Much it COSTS to Build the Foundation, Walling, Roofing, Ceiling, Painting, Doors, Windows… in All of Our Houses on This Platform so That You Can CHOOSE, COMPARE, PLAN & STRATEGIES on How to Approach Your Construction Rightly!