Fahamu zaidi unapotaka kujenga nyumba bati zisizoonekana (Contemporary houses za Kitanzania)

CONTEMPOARY HOUSES nini?
– Contemporary maana yake ni MODERN. Hivyo hizi ni nyumba za kisasa zaidi (zinazo-trend)
– Zinasifa za kuwa simple, smart, minimalistic, clear. Zina sura bapa(planes), box style, nyuzi pembe nne, straightness, rangi chache zaidi nyeupe na gray, open space, less privacy as freedom, madirisha na milango mikubwa
– Zinatabia ya kutumia vifaa aina ya: zege, metal zaidi, vioo zaidi. Zimekuja katika zama hizi za matumizi makubwa ya viwanda na computer!
– Maghorofa mengi yanayojengwa siku hizi posta yana tabia hizi maana ni za kisasa
– Google picha: CONTEMPORARY HOUSES –> utapata jibu
– Watu wengi wanazipenda sana haswa. Nje ya nchi wanazijenga sana ila Tanzania watu bado hawana mwongozo zaidi

Tumekuandalia contempoary houses ambazo unaweza kujenga Tanzania huku tukiwa tumeangalia UCHUMI, TAMADUNI, HALI, UFUNDI… ambao upo katika mazingira yetu TANZANIA lakini pia bila kuharibu ladha, utamu, ubora… wa contemporary ili Mtanzania uweze uweze kupata maximum satsfaction na kutimiza hamu yako
– Tumeziweka zitumie bati la kawaida tuu ili kuepuka gharama za zege na nondo
– Bati limefichwa vizuri lisionekane ili lisiharibu ladha za muonekano
– Bati linakusanya maji na kumwaga ktk pembe zake nje bila kuvuja (kama nyumba za kawaida) [ila bati limefichwa vyema halionekani]
– Kutokana na kuziba bati lisionekane basi idadi ya tofali, cement imeongezeka kidogo. Hivyo gharama ipo kikawaida tuu
– Actually ni nyumba ya kawaida hivyo fundi wako anaweza kujenga vyema bila shida yoyote [cha msingi tu ajenge kulingana na ramani inavyosema]
– Watanzania tunajenga kwa awamu kidogo-kidogo, hata hizi waweza jenga kidogo-kidogo kwa awamu
– Mpangilio wa nyumba na layout ya vyumba umekaa katika tamaduni ya Kitanzania kwa welfare ya familia
– Ukubwa wa nyumba na vyumba ni wa kawaida katika kutosha katika viwanja vyetu

Kuziona zaidi nyumba hizi basi bofya hapa na uone nyumba kibao zenye makisio ya gharama na vifaa.

6 responses

  1. I will be glad to receive design of a contemporary house of three bedroomsi.e one master bedroom bigger than the rest of rooms, two normal bedrooms, kitchen, dining room, public toilet, and a sitting room.

  2. Nimejenga nyumba ya vyoma vitatu ipo kwenye upauaji naomba jinsi ya kupaua na kuezeka

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

ID-8243
3
112 sqm
70 Pcs
13 m
1,404 Pcs
10 m
929 Pcs
ID-32953
4
439 sqm
0 Pcs
14 m
8,790 Pcs
14 m
2,099 Pcs
ID-17733
3
198 sqm
20 Pcs
16 m
7,040 Pcs
11 m
2,070 Pcs
ID-27508
3
160 sqm
130 Pcs
14 m
2,864 Pcs
13 m
1,424 Pcs
ID-27256
3
91 sqm
39 Pcs
12 m
2,299 Pcs
9 m
853 Pcs
ID-21027
4
303 sqm
208 Pcs
20 m
5,424 Pcs
19 m
2,697 Pcs
ID-33346
3
205 sqm
84 Pcs
15 m
4,920 Pcs
20 m
1,825 Pcs
ID-26508
1
35 sqm
26 Pcs
7 m
700 Pcs
6 m
315 Pcs
ID-21003
3
118 sqm
81 Pcs
14 m
2,112 Pcs
9 m
1,050 Pcs
ID-15038
3
178 sqm
100 Pcs
17 m
3,600 Pcs
15 m
1,800 Pcs
ID-26328
4
248 sqm
102 Pcs
21 m
5,952 Pcs
15 m
2,207 Pcs
ID-19135
2
121 sqm
83 Pcs
12 m
2,167 Pcs
11 m
1,077 Pcs
Makazi Icon Blue

Join Membership

Join Membership to See Clear Floor Plans Before You Buy the Full Plan; See How Much MONEY is Needed to INVEST in Your Business In order to Get the Profit to Finance Construction of This House. What MORTGAGE to Borrow and Return Monthly to Your Bank. Also, See How Much it COSTS to Build the Foundation, Walling, Roofing, Ceiling, Painting, Doors, Windows… in All of Our Houses on This Platform so That You Can CHOOSE, COMPARE, PLAN & STRATEGIES on How to Approach Your Construction Rightly!

Eng. Lwifunyo Mangula
Payment Challenges? WhatsApp Admin