Fahamu zaidi unapotaka kujenga nyumba bati zisizoonekana (Contemporary houses za Kitanzania)

CONTEMPOARY HOUSES nini?
– Contemporary maana yake ni MODERN. Hivyo hizi ni nyumba za kisasa zaidi (zinazo-trend)
– Zinasifa za kuwa simple, smart, minimalistic, clear. Zina sura bapa(planes), box style, nyuzi pembe nne, straightness, rangi chache zaidi nyeupe na gray, open space, less privacy as freedom, madirisha na milango mikubwa
– Zinatabia ya kutumia vifaa aina ya: zege, metal zaidi, vioo zaidi. Zimekuja katika zama hizi za matumizi makubwa ya viwanda na computer!
– Maghorofa mengi yanayojengwa siku hizi posta yana tabia hizi maana ni za kisasa
– Google picha: CONTEMPORARY HOUSES –> utapata jibu
– Watu wengi wanazipenda sana haswa. Nje ya nchi wanazijenga sana ila Tanzania watu bado hawana mwongozo zaidi

Tumekuandalia contempoary houses ambazo unaweza kujenga Tanzania huku tukiwa tumeangalia UCHUMI, TAMADUNI, HALI, UFUNDI… ambao upo katika mazingira yetu TANZANIA lakini pia bila kuharibu ladha, utamu, ubora… wa contemporary ili Mtanzania uweze uweze kupata maximum satsfaction na kutimiza hamu yako
– Tumeziweka zitumie bati la kawaida tuu ili kuepuka gharama za zege na nondo
– Bati limefichwa vizuri lisionekane ili lisiharibu ladha za muonekano
– Bati linakusanya maji na kumwaga ktk pembe zake nje bila kuvuja (kama nyumba za kawaida) [ila bati limefichwa vyema halionekani]
– Kutokana na kuziba bati lisionekane basi idadi ya tofali, cement imeongezeka kidogo. Hivyo gharama ipo kikawaida tuu
– Actually ni nyumba ya kawaida hivyo fundi wako anaweza kujenga vyema bila shida yoyote [cha msingi tu ajenge kulingana na ramani inavyosema]
– Watanzania tunajenga kwa awamu kidogo-kidogo, hata hizi waweza jenga kidogo-kidogo kwa awamu
– Mpangilio wa nyumba na layout ya vyumba umekaa katika tamaduni ya Kitanzania kwa welfare ya familia
– Ukubwa wa nyumba na vyumba ni wa kawaida katika kutosha katika viwanja vyetu

Kuziona zaidi nyumba hizi basi bofya hapa na uone nyumba kibao zenye makisio ya gharama na vifaa.

5 Responses

  1. I will be glad to receive design of a contemporary house of three bedroomsi.e one master bedroom bigger than the rest of rooms, two normal bedrooms, kitchen, dining room, public toilet, and a sitting room.

  2. Nimejenga nyumba ya vyoma vitatu ipo kwenye upauaji naomba jinsi ya kupaua na kuezeka

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

mangula
Eng. Makazi Team
Makazi.ne.tz ni mtandao mahususi Afrika Mashariki wenye lengo ...
ID-13488
4
217 sqm
149 Pcs
17 m
3,876 Pcs
15 m
1,927 Pcs
ID-26198
4
254 sqm
175 Pcs
19 m
4,547 Pcs
17 m
2,261 Pcs
ID-26509
3
70 sqm
51 Pcs
11 m
1,246 Pcs
8 m
619 Pcs
ID-26278
2
77 sqm
32 Pcs
10 m
1,848 Pcs
9 m
685 Pcs
ID-26528
3
180 sqm
74 Pcs
16 m
4,320 Pcs
15 m
1,602 Pcs
ID-8174
4
135 sqm
95 Pcs
15 m
2,496 Pcs
12 m
1,273 Pcs
ID-17145
4
262 sqm
108 Pcs
19 m
6,228 Pcs
16 m
2,335 Pcs
ID-17023
4
232 sqm
95 Pcs
18 m
5,568 Pcs
13 m
2,065 Pcs
ID-27889
4
288 sqm
179 Pcs
18 m
7,643 Pcs
14 m
2,734 Pcs
ID-26540
4
215 sqm
148 Pcs
17 m
3,849 Pcs
16 m
1,914 Pcs
ID-18132
4
206 sqm
142 Pcs
16 m
3,687 Pcs
15 m
1,833 Pcs
ID-15020
3
160 sqm
95 Pcs
15 m
2,500 Pcs
15 m
1,500 Pcs
Makazi Icon Blue

Join Membership

Join Membership to See Clear Floor Plans Before You Buy the Full Plan; See How Much MONEY is Needed to INVEST in Your Business In order to Get the Profit to Finance Construction of This House. What MORTGAGE to Borrow and Return Monthly to Your Bank. Also, See How Much it COSTS to Build the Foundation, Walling, Roofing, Ceiling, Painting, Doors, Windows… in All of Our Houses on This Platform so That You Can CHOOSE, COMPARE, PLAN & STRATEGIES on How to Approach Your Construction Rightly!