Hire Builders

TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
9 years
Nina toa huduma ya kutengeneza mabanda ya kuku ,Bata ,kanga, sungura, ng’ombe,mbuzi na mifugo ya aina yeyote ile kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi pia gharama zangu ni nafuu kabisa pia mteja wangu ataweza kupata kile anacho stahili kukiona kwenye banda lake.
Building Designing
TZ
From TZS 40,000/day
Morogor...
7 years
Mimi ni fundi ninayefanya plastering skimming na uwekaji wa urembo kwenye nyumba yako kwakutumia mchanga na simenti pia nafanya painting kwenye nyumba yako na nina uzoefu wa zaidi ya miaka minane katika kazi na nimefanya kazi ndani na nje ya mkoa wa Morogoro
Paving Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Hai
9 years
Nina ujuzi wa kufanya skiming pamoja na kupaka rangi majumbani kwa kuzingatia ubora wa kisasa kwa ubunifu wa kisasa zaidi,pia nina toa ushauri bure kabisa kwa mteja wangu na kumfanya aridhike na kazi zangu
Painting
TZ
From TZS 90,000/day
Madale
10 years
Dynamic and creative engineer with over 6 years’ hands-on experience in overseeing all aspects of civil infrastructural engineering projects from inception to completion. Adept at leveraging expertise in process optimization and project management to facilitate safe and cost-effective operations.
architectural Bricklaying Carpentry civil_engineer concrete_work exterior_painting Flooring foundation_repair guttering interior_painting Landscaping Masonry Plastering Plumbing project_manager repairs roofing septic_systems Stonework Tiling Waterproofing Welding Wiring woodworking
TZ
From TZS 40,000/day
Kwimba
6 years
Mimi ni fundi urembo pamoja na kupaka rangi kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa pia nina fika mikoa yote pamoja na nchi jirani za Afrika pia nina msikiliza mteja wangu kwa kile ana cho kihitaji na ushauri ni bure kabisa kwa wateja wangu
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 40,000/day
Mbeya CBD
14 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala zima la ujenzi Nina uzoefu wa kutosha,na fanya setting ya ramani kwenye majengo aina zote,pia naezeka Mapaa ,natoa huduma bora na ushauri ni bure kabisa kwa wateja wangu na nina piga mahesabu ya gharama zitakazo tumika kwenye ujenzi.
Building Designing Building Setting Out Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
10 years
Nina ujuzi wa kutengeneza milango na madirisha ya aluminium pamoja na kuweka majumbani kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa hali ya juu pia nina tumia vipimo na vifaa ambavyo ni imara ambavyo vina uwezo wa kufanya nyumba yako iweze kupendeza na kuwa na mvuto wa kisasa zaidi.
Building Designing
TZ
From TZS 40,000/day
Mkuranga
17 years
Mimi ni fundi ujenzi mwenye uzoefu na niliye bobea kwenye swala zima la kuchimba msingi wa nyumba na kujenga hadi kwenye linta pamoja na kupiga plaster Kwa kutumia vipimo na vifaa pia nina toa ushauri bure Kwa mteja wangu kulingana na aina ya nyumba anayo itaka Kwa kuzingatia ukubwa wa eneo lake
Building Setting Out Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Ludewa
9 years
fundi plastering kwa nyumba yako kwa ustadi na uzoefu wa miaka tisa katika kazi hii ya plastering pamoja na uwekaji wa urembo kwenye nyumba yako kwa uaminifu na kwa bei ambayo ni rafiki
Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
5 years
Ninajenga vyoo vya kisasa visivyojaa wala kunyonywa kwa muda mrefu katika nyumba zote nchini Tanzania.
Masonry
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
7 years
Naweka tiles katika nyumba kwa maua tofauti tofauti kupendezesha nyumba na kuimarisha uwanja wakati wa mvua.
Paving
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mimi ni fundi mkongwe ambaye nime bobea katika swala zima la uwekaji wa tiles pia nina toa huduma bora kabisa na kisasa Zaidi, mteja kwetu ni mfalume na nina hakikisha ana ridhika na kazi zangu
Tiling
TZ
From TZS 35,000/day
Ubungo
7 years
Naezeka mapaa ya msauzi katika dizaini tofauti kulingana na maelekezo ya mteja mikoa yote Tanzania
Sheet Roofing
TZ
From TZS 50,000/day
Mkuranga
18 years
Mimi ni fundi ninaye ji shughulisha na uwekaji wa Mapaa ya kisasa Kwa kutumia mabati ya aina zote kama vile Msouth na vigae kwa ubora wa hali ya juu na Nina uzoefu mkubwa kwani nimefanya kazi nyingi na zote niza viwango na kisasa zaidi hapa nchini na nchi jirani za Africa
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 50,000/day
Ilala
15 years
Mimi ni fundi niliye na ujuzi kwenye swala zima la finishing ya tiles na marble, Nina zingatia ubora na viwango vya kisasa zaidi ili kuhakikisha nyumba ina pendeza na pia huduma hii inapatikana popote pale Tanzania na nchi jirani.
Tiling
TZ
From TZS 20,000/day
Makambako
4 years
Mimi ni fundi umeme mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka minne, nikiwa na utaalamu katika ufungaji, matengenezo, na ukarabati wa mifumo ya umeme. Nimebobea katika kuunda miundombinu salama na yenye ufanisi kwa nyumba na majengo ya kibiashara. Elimu yangu na uzoefu wangu unaniwezesha kutatua matatizo ya umeme kwa usahihi, kuzingatia viwango vya usalama, na kutoa huduma bora kwa wateja. Ninasimamia miradi kwa umakini, nikihakikisha kuwa kila kitu kinafanywa kwa ubora wa juu na ndani ya muda uliopangwa.
Wiring
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
8 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala zima la upakaji wa rangi Nina uzoefu mkubwa nikiwa na fanya kazi hii nina tumia vifaa Bora na rangi zinazo pendeza kulingana na mteja anavyo taka na nina badilika kulingana na mazingira
Painting
TZ
From TZS 20,000/day
Dar es ...
8 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa miaka nane katika uwekaji na fanyaji wa plumbing katika nyumba maofisi na makampuni kazi ya kuzingatia viwango na kwa ustadi mkubwa kwa bei nafuu kabisa
Tiling Plumbing Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
4 months
Nina toa huduma za ununuzi, ujenzi Kwa kutumia tangastone na burning bricks na ubunifu wa nyumba(House design) ndani ya nchi na nchi jirani za Africa, tumesha fanya kazi sehemu nyingi na tuna uzoefu wa kutosha usio pungua Miaka sita pia tuna fanya kazi zenye viwango na kuhakikisha mteja ana ridhika na kazi zetu na kwa wale wateja wanao hitaji ushauri tunatoa ushauri bure kabisa kabla ya mteja kuchukua hatua yakujenga ili kuhakikisha kazi ina kuwa yenye viwango na mvuto mzuri.
Building Designing Bricklaying Stonework
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
20 years
4 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la kupaua Mapaa Kwani Nina uzoefu wa kutosha na nime fanya kazi nyingi hapa Tanzania na nchi jirani za Tanzania na gharama zangu ni nafuu kabisa na pia mteja anasikilizwa kwa kile anacho kihitaji na kuhakikisha anaridhika kabisa na upauaji wangu.
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
8 years
Ninapaka na kupendezesha nyumba aina zote kwa rangi nzuri na za kudumu ndani na nje ya nchi kwa gharama nzuri
Painting
MN
From TZS 20,000/day
Town
1 Years
No Skill Listed
TZ
From TZS 40,000/day
Ilemela
15 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakuweka mabomba Kwa ubora wa kisasa na Kwa kutumia vipimo, pia nina mafundi ambao wana ujuzi wa kuweka mapomba na wamesha fanya kazi sehemu nyingi hapa Tanzania.
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
9 years
Fundi wa kupaua nyumba mabati ya msauzi pamoja na kufanya brandering
Brandering Sheet Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
9 years
Mimi ni msambazaji wa mbao za aina zote za ujenzi zenye dawa Kwa bei nafuu Sana kutoka mafinga na Njombe pamoja na mkoa wa Dar es salaam,Tabora, kahama, mkoa wa pwani unafikishiwa Hadi ulipo
Wood Work
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
3 years
Ninatengeneza mabomba ya maji safi ya moto na baridi katika nyumba mbalimbali pamoja na mabomba ya maji taka katika nchi nzima.
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
ubungo
10 years
Fundi wa kutengeneza madirisha na milango ya aluminium, pia tunabuni na kutengeneza vyumba kutumia aluminium ndani ya nyumba
Door Installation Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Ilemela
6 years
Ninatengeneza gypsum board katika nyumba kwa maua mbalimbali kupendezesha nyumba katika maeneo yote nchini
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 100,000/day
Ilala
7 years
Abdallah Idd Wachaka, born and educated in Dar es Salaam, specializes in designing and constructing houses. With a keen eye for detail and a commitment to quality, he has established a reputation for creating innovative and durable residential structures that meet the needs of modern living.
Concrete Curing Concrete Mixing Concrete Work Building Setting Out Blocklaying Bricklaying Masonry Plastering Stonework Septic Installation House Building
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
30 years
Mimi ni fundi wa kupauwa nyumba aina zote ana nyumba za kawaida mna uzoefu wa zaidi ya miaka kumi na tano nipo dar es salaam nimefanya kazi hii nyingi sana ya dar es salaam kasi nzuri na pia dar es salaam tunafika
Gypsum Decoration Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la utengenezaji wa gypsum board na uwekaji wa urembo kwenye gypsum board nyumbani na mahotelini Kwa kutumia mbao na gypsum,nina tengeneza sehemu kama vile sebuleni(sitting room), jikoni(kitchen),chumbani,TV show cases pia na fika mikoa yote kutoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa na toa ushauri bure kabisa.
Gypsum Decoration Structural Designing
TZ
From TZS 20,000/day
Town
1 Years
No Skill Listed
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
5 years
Fundi wa kupanga na kutengeneza maua kwa kutumia paving blocks
Paving
TZ
From TZS 10,000/day
Town
15 years
Kwa uwekaji wa njia za maji kwenye nyumba Yako au Kwa ubora wa Hali juu Kwa kitumia vifaa inara na njia za kisasa kabisa
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
34 years
Ninahusika na kazi za Upigaji wa plasta pamoja na uwekaji wa urembo kwenye Kuta kwa kutumia cement na mchanga Ninauzoefu wa kufanya kazi ndani ya Dar es Salaam,mikoa mbali mbali ndani ya Tanzania
Tailoring Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Kwimba
6 years
Mimi ni fundi mwenye ujuzi wa kisasa na niliye bobea katika swala zima la kufunga mifumo ya umeme majumbani na maofisini, pia nina funga mifumo ya ulinzi kama vile cctv camera pamoja na fensi ya umeme pia mteja wangu anapatiwa ushauri kwa kile kilicho bora.
Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
13 years
7 days
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye utengenezaji wa mageti,milango ya chuma, madirisha na aluminium pamoja na kumuwekea mteja kwenye nyumba yake Nina uzoefu wa kutosha kwenye kazi hii.
Steel Fixing Door Installation Gate Installation Metal Work Welding Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mtaalamu wa urembo wa nyumba na bustani anayeishi Temeke, Dar es Salaam. Ameanza kazi za decorations mwaka 2014 na anajishughulisha na plasta decorations, gypsum board design, ujenzi wa mabwawa ya kuogelea, chemchemi za maji, maporomoko ya maji, kuweka tiles, kupaka rangi, na kubuni bustani. Pia anatengeneza sanamu za wanyama, ndege, majabali, na magogo.
Gardening Landscaping
TZ
From TZS 50,000/day
Nyamagana
4 years
Mtaalamu wa kuchora ramani za nyumba za kisasa, kujenga na kuzisimamia.
Building Designing Cost Estimation
TZ
From TZS 30,000/day
Mpwapwa
7 years
Natengeneza gypsum board kwenye nyumba pamoja na urembo mbalimbali wa nyumba mahali popote Tanzania.
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 10,000/day
Town
15 years
Kwa uzoefu wa zaidi ya miaka 7 Kwa uwekaji gypsum kwenye nyumba pamoja na urembo kwajili ya sehemu ya kiweka tv jikoni na kwenye vyumba vya kulala
Gypsum Decoration Drywall Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
8 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala Zima la ufungaji wa umeme wa jua ,nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya Kazi hii na nina toa ushauri bure kabisa Kwa wateja wangu
Solar Electricity
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
9 years
Mimi nifundi ninaye jihusisha na swala zima la uwekaji urembo kwenye nyumba Kwa kutumia mchanganyiko wa cement na mchanga Kwa ubunifu wa hali ya juu na nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya kazi hii.
Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Monduli
23 years
Mimi ni mtaalam wa kuweka tiles majumbani Kwa ubora wa kisasa na kwakuzingatia vipimo vilivyo nyooka pia nina toa ushauri bure Kwa mteja wangu na kumfanya aweze kuridhika na kazi zangu.
Tiling
TZ
From TZS 15,000/day
Mufindi
8 years
Mimi ni fundi wa kufanya welding madirisha kwa ajili ya nyumba yako na uzoefu zaidi ya miaka tisa nafanya kazi hii kwa ubora kabisa na kwa kuzingatia vipimo
Welding
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha
14 years
Mimi ni mtaalamu wa mifumo ya umeme nina uzoefu wa kutosha nikiwa nafanya kazi hii na nina ambatana na mafundi walio bobea kuhakikisha kazi ina kuwa ya ubora na ya viwango vya hali ya juu pia nina toa hudu kama vile kuchimbia bomba za umeme, kufanya wiring pamoja na kuweka cctv camera
Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 40,000/day
Irugus
5 years
Mimi ni fundi wa kuweka tilis katika nyumba yako kwa kuzingztia ubora wa kweli na kwa uzoefu na uaminifu mkubwa na kwa kuzingatia ubora na uzoefu wa zaidi ya miaka mitano
Tiling
TZ
From TZS 100,000/day
Kinondoni
10 years
Mtaalamu wa mambo ya ujenzi wa makazi aliyesomea na mwenye uzoefu wa muda mrefu, kutoka kwenye kusanifu ramani za nyumba, usanifu wa nadharia ya nje ya nyumba na bustani, pamoja na mambo ya makisio na mahesabu ya gharama za ujenzi. Lengo letu ni kukuwezesha kutimiza nyumba ya ndoto yako sasa, bila kujalisha kama ni ya gharama nafuu au mjengo wa heshima.
3D Rendering Building Designing Cost Estimation Landscape Designing Project Management Project Planning Technical Drafting
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
24 years
Mtaalamu wa kujenga na kurekebisha mapaa ya nyumba mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 23, anayepatikana Tanzania. Anajulikana kwa ustadi wake katika ujenzi wa mapaa ya nyumba, kupiga dari, pamoja na uwekaji kuta na mapambo ya gypsum. Ally amekuwa akitoa huduma kwa uaminifu mkubwa na amepata mafunzo maalum katika kuweka vigae vya Decra, hivyo kuhakikisha ubora katika kazi zake.
Brandering Ceiling Gypsum Decoration Sheet Roofing Gutter Installation Shingle Roofing Tile Roofing Timber Trussing
TZ
From TZS 30,000/day
Mbarali
4 years
Mimi ni fundi ninaye husika na upigaji wa mabati katika nyumba yako ni kwa mabati aina zote kam vile mgongo mpana na vigae na tunafika popote ndan ya tanzania na bei zetu ni nafuu kabisa na uaminifu ndo kipaombele chetu tukiwa kazini
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Gairo
6 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa miaka saba katika ufanyaji wa roofing kwenye nyumba. Nimebobea katika ufungaji, matengenezo, na ukarabati wa paa, nikitumia mbinu za kisasa na vifaa vya ubora. Uzoefu wangu unahakikisha kazi bora na kudumu, huku nikizingatia usalama na viwango vya hali ya juu. Nina ujuzi mzuri wa kuboresha ufanisi wa paa na kuridhisha wateja kwa matokeo ya kuaminika na ya muda mrefu.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
15 years
4 months
Mimi ni mtaalam wa kutengeneza vyoo vya kisasa usisumbuke na karo la Maji Taka kamwe! Tuna mfumo bora wa kisasa wa choo usiojaa (BIODIGESTERS) ambao ni mfumo badala wa Mashimo ya kawaida ya choo! (septics and soakpits) Mfumo huu wa kisasa una sifa zifuatazo :- 1. haujai kamwe 2. hakivutwi – hakiitaji kunyonywa na motokaa (boza) 3. hakina harufu 4. Kinatumia eneo ndogo (small space) 4. Vina guarantee na vinafanywa na wataalam 5. Vinafanya vyema hata kwenye chemi chemi 6. Vina muonekano mzuri (vinapendeza kweli) 7. Unafanya vyema hata kwa manyumba makubwa yenye idadi kubwa ya watu. Tunatoa huduma kwa kila mtanzania kokote uliko tunakufikia.
Biogas Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
13 years
Mimi ni fundi ninaye jishunghulisha na utengenezaji pamoja na uwekaji wa milango ya aluminium Kwa ubora na kisasa zaidi ,Nina uzoefu mkubwa wa kufanya kazi hii na Nina fika mikoa yote ya Tanzania na nchi jirani za Africa
Door Installation Glass Tinting Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Mufindi
9 years
mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kufanya kazi kuweka masinki chooni na kuweka tailis kwa ubora wa hali ya juu kabisa na kwa kusingatia ubora wa nyumba pamija na choo chako bila ya kusahau majikoni nako tunaweka
Flooring Tiling
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
11 years
A skilled landscape designer and builder known for his exceptional work on residential projects. With a background in landscape architecture from Ardhi University, he brings the best touch and hands-on expertise to create stunning and sustainable outdoor spaces. Based in Dar es Salaam, Tanzania.
fencing fireplace_installation gazebo_construction landscape_architect Landscaping
TZ
From TZS 10,000/day
Town
15 years
Ustadi na uzoefu wa Hali ya juu kuhakikisha nyumba Yako haito vuja Kwa upauaji Bora kutoka kwetu tuna paua mabayi ya Sina tofauti tofauti Kwa nyumba zote
Sheet Roofing Shingle Roofing Wood Work
TZ
From TZS 25,000/day
Dar es ...
6 months
Mimi ni Mkami fundi wa kutengeneza biodigester ambao ni mbadala wa septic tank ambazo hutumia pesa kidogo na hudumu Kwa mda mrefu bila yakujaa
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha CBD
10 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu katika swala zima la kuweka mifumo ya bomba kwenye nyumba,naweka mifumo iliyo ya kisasa ya maji Safi na maji taka kwenye nyumba na vyooni pia nina mafundi ambao wamebobea katika kazi hii na ushauri mteja ana patiwa bure kabisa.
Plumbing
TZ
From TZS 50,000/day
Kinondoni
5 years
A developer with expertise in designing, developing, and installing smart home systems. He specializes in creating IoT solutions tailored to real-world challenges, ensuring practical and efficient operation. As the founder of Quantum Intelligence, Mgasa applies his skills to innovate in the smart home industry, delivering advanced and customized automation systems.
Wiring Smart Homes
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
9 years
Fundi wa kutengeneza milango na vifaa vyote vya samani.
Carpentry
TZ
From TZS 40,000/day
Mafinga
11 years
Mimi ni fundi ninayehusikana nimekufanya ujenzi wa nyumba yako kuanzia kwenye msingi mpaka mwisho wa kupauwa kufanya skiming kwa ubora kabisa
Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 30,000/day
Amani
15 years
Mimi ni fundi ninaye yanya upauaji wa nyumba kwa kutumia bati ainazote na nina uzoefu wa zaidi ya miaka 14 katika ufanyaji wa kazi hii na nimefanya kazi nyingi mkoa wa Dar es slaam na mkoani Morogoro na baei zetu ni poa kabisa
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Kibaha
15 years
4 months
Mimi ni fundi niliye bobea katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia vipimo na ubora wa kisasa zaidi nina fanya kazi zenye viwango pia nabadilika kulingana na mitindo ya ujenzi inavyo badilika, pia nina uzoefu usio pungua miaka 13 nikiwa nafanya finishing za uwekaji wa tiles hivyo nina muhakikishia mteja wangu hawezi kujutia kufanya kazi na mimi ,pia nina fika popote pale tanzania na nchi jiranina africa.
Tiling
TZ
From TZS 20,000/day
Ubungo
7 years
Mimi ni mtaalam wa kutengeneza picha mbao kali na zenye mvuto kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi natengeneza size zote A4,A3,A2 pamoja na A1 na nina fanya deliver kwa wateja wangu wote waliopo dar es salaam na mikoani pia mteja kwangu ni mfalume hivyo anasikilizwa kwa umakini ili apate kile kilicho bora na usalama wa kazi ni wakutosha kabisa
Wood Work
TZ
From TZS 45,000/day
Ubungo
10 years
Fundi mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 9 katika ufundi bomba na uashi. Amepata mafunzo katika vyuo vya VETA na Arusha Technical College. Ana sifa kubwa kwa ubora wa kazi zake Dar es Salaam.
Plumbing Masonry Drainage Installation Septic Installation
TZ
From TZS 200,000/day
Dat
15 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu nishafanya kazi sehemu tofauti tofauti katika uwekaji wa gesi mfumo wa gesi nyumbani kwako gesi hii ni mbadala inatumia maji taka ya aina yoyote ambayo yanaweza paka mwisho na maji yake huweza kutumika kama mbadala wa maji ya kufurashia chuoni nakufanyia usafi rishaji kushika maji tukufungie kwa bei nafuu kabisa na kwa uzoefu wa muda mrefu na uzoefu wa takribani miaka 16
Biogas Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Nyamagana
16 years
Mimi ni fundi wa kuweka rangi za aina mbali mbali kwenye nyumba na kuacha ikiwa na mvuto mzuri wa kuvutia nina tumia rangi aina ya drewa, decor,Niko tekx pia na paka rangi za kawaida kwenye nyumba na kuacha nyumba ikipendeza
Color Mixing Plastering
TZ
From TZS 25,000/day
Nyamagana
6 years
Fundi wa kuweka mapambo katika nyumba
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
30 years
Mimi ni fundi wa kuweka tiels na kufanya plastering kwenye nyumba yako nyumba ya aina zote magorofa nyumba za kawaida mashuleni kwenye makampuni na nyumba za nyumbani pamoja na kuweka urembo kwenye nyumba yako
Biogas Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
9 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha na nime bobea kwenye uezekaji wa mapaa Kwa kutumia ubunifu na kuzingatia njia za kisasa na kuliacha paa lako liki pendeza kabisa.
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 15,000/day
songea ...
10 years
mimi Egno tembo ni fundi umeme mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka sita katika ufungaji wa maswala ya umeme napatikana songea mjini ila mikoani nako nafika
Wiring
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
5 years
Natengeneza milango na madirisha ya aluminium kwa ajili ya nyumba na maofisi mbalimbali popote nchini
Window Installation
TZ
From TZS 75,000/day
Ubungo
10 years
An accomplished designer, Quantity Surveyor, and builder based in Dar es Salaam, Tanzania, specializing in residential construction. With a background in designing and quantity surveying, he brings a wealth of expertise to crafting bespoke homes that seamlessly blend functionality with aesthetic appeal. His commitment to quality craftsmanship and innovative design solutions has earned him recognition in the industry. From modern villas to traditional residences, he excels in delivering projects that exceed client expectations and elevate living spaces
architectural construction_manager fencing foundation_repair framing guttering project_manager quantity_surveyor repairs roofing Welding