Hire Builders

TZ
From TZS 40,000/day
Irugus
5 years
Mimi ni fundi wa kuweka tilis katika nyumba yako kwa kuzingztia ubora wa kweli na kwa uzoefu na uaminifu mkubwa na kwa kuzingatia ubora na uzoefu wa zaidi ya miaka mitano
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
12 years
Mimi ni fundi ninaye jishunghulisha na utengenezaji pamoja na uwekaji wa milango ya aluminium Kwa ubora na kisasa zaidi ,Nina uzoefu mkubwa wa kufanya kazi hii na Nina fika mikoa yote ya Tanzania na nchi jirani za Africa
Door Installation Glass Tinting Window Installation
TZ
From TZS 100,000/day
Temeke
18 years
Naitwa Linus Malekela ni fundi wa kuezeka mapaa aina zote na nyumba aina zote ghorofa, nyumba za kawaida, godown, makanisa NK: pia ninautaalamu wa kuezeka kwa kutumia materials aina zote Mbao, chuma, bati za Msouth migongo mipana, migongo midogo na bati za vigae
Tile Roofing
TZ
From TZS 15,000/day
Goba
1 month
Imani kilumule ni fundi mwenye uzoefu wa mda mrefu katika ujenzi na ustadi katika kupiga nyumba rangi Kwa kutumia stadi na uzoefu wa muda mrefu
Tiling Painting
TZ
From TZS 50,000/day
Goba
5 years
Mimi ni fundi ninaye husika na finishing ya nyumba yako kwanzia kwenye plastering simmimg painting na urembo kwenye nyumbba yako kwa bei nafuu na kwa ubora na uzoefu mkubwa kabisa katika kazi hii ninauzoefu za miaka 6 katika kazi hizi pia nimefanya kazi nyingi na watu na watu wamezikubali kazi zangu
Painting Plastering
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
15 years
Mimi ni fundi nina ujuzi wa ujenzi kama vile kupiga plasta, kuweka urembo( decoration) za kibunifu za nje na ndani ya nyumba na Ku design dari Kwa gypsum (gypsum ceiling design) kazi hizi tuna zifanya kwa umakini na kisasa zaidi kwani tuna uzoefu wa muda mrefu
Gypsum Decoration Building Designing Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
7 years
Natengeneza vyungu vya maua, pamoja nakutengeneza bustani katika nyumba, ofisi, hotel na maeneo mbalimbali.
Gardening
TZ
From TZS 20,000/day
Town
1 Years
No Skill Listed
TZ
From TZS 40,000/day
Mkuranga
16 years
Mimi ni fundi ujenzi mwenye uzoefu na niliye bobea kwenye swala zima la kuchimba msingi wa nyumba na kujenga hadi kwenye linta pamoja na kupiga plaster Kwa kutumia vipimo na vifaa pia nina toa ushauri bure Kwa mteja wangu kulingana na aina ya nyumba anayo itaka Kwa kuzingatia ukubwa wa eneo lake
Building Setting Out Plastering
TZ
From TZS 45,000/day
Ubungo
10 years
Fundi mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 9 katika ufundi bomba na uashi. Amepata mafunzo katika vyuo vya VETA na Arusha Technical College. Ana sifa kubwa kwa ubora wa kazi zake Dar es Salaam.
Plumbing Masonry Drainage Installation Septic Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
9 years
Fundi wa kutengeneza maua katika ceiling board na kupendezesha nyumba.
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 35,000/day
Njombe ...
8 years
Civil Engineer πŸ‘· Building design & Drawing Construction services | consultancy | Exterior | Interior designing.
architectural Bricklaying building_inspector cabinetry Carpentry civil_engineer closet_design concrete_work construction_manager cost_estimator exterior_painting fencing Flooring inspection_services interior_designer interior_painting Landscaping Masonry Painting Plastering Plumbing project_manager repairs roofing woodworking
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
14 years
Nina ujuzi wa kutengeneza mabanda ya mifugo yanayo hamishika kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine pia nina zingatia ubora wa kisasa na mabanda haya ni kwa mifugo kama vile kuku,Bata, sungura, njiwa, na mbwa nina tengeneza kwa ubora na kwa umakini wa hali ya juu na kuhakikisha mteja wangu ana pata kile anacho kihitaji pia nina fika mikoa yote kwa huduma hizi.
Building Designing
TZ
From TZS 50,000/day
Kinondoni
4 years
A developer with expertise in designing, developing, and installing smart home systems. He specializes in creating IoT solutions tailored to real-world challenges, ensuring practical and efficient operation. As the founder of Quantum Intelligence, Mgasa applies his skills to innovate in the smart home industry, delivering advanced and customized automation systems.
Wiring Smart Homes
TZ
From TZS 90,000/day
Madale
10 years
Dynamic and creative engineer with over 6 years’ hands-on experience in overseeing all aspects of civil infrastructural engineering projects from inception to completion. Adept at leveraging expertise in process optimization and project management to facilitate safe and cost-effective operations.
architectural Bricklaying Carpentry civil_engineer concrete_work exterior_painting Flooring foundation_repair guttering interior_painting Landscaping Masonry Plastering Plumbing project_manager repairs roofing septic_systems Stonework Tiling Waterproofing Welding Wiring woodworking
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
3 years
Fundi wa kupanga na kutengeneza maua kwa kutumia paving blocks
Paving
TZ
From TZS 30,000/day
Makambako
3 years
Mimi ni fundi ninaye jihusisha na plastering boarding kuweka gypsum pamoja na finishing kwenye nyumba yako kwa ubora na uzoefu zaidi ya miaka minne nimefanya kazi nyingi tena mgonjwa na njia ya mkwaju wa mbili fanya skimming kwenye madaha zake shule ya serikali na popote tunafika na bei zetu ninafuu
Ceiling Painting Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala CBD
10 years
Mtaalam wa ufungaji wa taa za umeme wa jua majumbani na kwenye uzio wa nyumba(fence) pia nina funga taa kwenye bustani ambazo Zina tumika kama mapambo pia tuna kuuzia vifaa ambavyo ni imara kabisa na vinavyo dumu Kwa muda mrefu
Welding Wiring Waterproofing
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
8 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha katika swala zima la uchomeleaji wa mageti,magrili, madirisha na vitanda nina uzoefu wa kutosha na nina tumia vifaa vilivyo Bora na vinavyo niwezesha kufanya kazi Kwa ufanisi.
Steel Fixing Door Installation Gate Installation Welding Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
20 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la kupaua Mapaa Kwani Nina uzoefu wa kutosha na nime fanya kazi nyingi hapa Tanzania na nchi jirani za Tanzania na gharama zangu ni nafuu kabisa na pia mteja anasikilizwa kwa kile anacho kihitaji na kuhakikisha anaridhika kabisa na upauaji wangu.
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Ilemela
14 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakuweka mabomba Kwa ubora wa kisasa na Kwa kutumia vipimo, pia nina mafundi ambao wana ujuzi wa kuweka mapomba na wamesha fanya kazi sehemu nyingi hapa Tanzania.
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha CBD
9 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu katika swala zima la kuweka mifumo ya bomba kwenye nyumba,naweka mifumo iliyo ya kisasa ya maji Safi na maji taka kwenye nyumba na vyooni pia nina mafundi ambao wamebobea katika kazi hii na ushauri mteja ana patiwa bure kabisa.
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
14 years
Mimi ni mtaalam wa ufungaji wa umeme wa jua na ufungaji wa mifumo mbalimbali ya security pamoja na CCTV camera Kwa kutumia ubunifu wa kisasa na wa hali ya juu na vifaa vya kisasa na niko na mafundi wenye uzoefu wa hali ya juu.
Solar Electricity
TZ
From TZS 10,000/day
Town
14 years
Kwa uwekaji wa njia za maji kwenye nyumba Yako au Kwa ubora wa Hali juu Kwa kitumia vifaa inara na njia za kisasa kabisa
Plumbing
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la uezekaji wa Mapaa ya aina mbalimbali natoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa na pia na toa ushauri bure kabisa.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
8 years
Naweka tiles katika nyumba aina zote kwa kutengeneza maua tofauti tofauti kulingana na mteja apendavyo
Tiling
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la utengenezaji wa gypsum board na uwekaji wa urembo kwenye gypsum board nyumbani na mahotelini Kwa kutumia mbao na gypsum,nina tengeneza sehemu kama vile sebuleni(sitting room), jikoni(kitchen),chumbani,TV show cases pia na fika mikoa yote kutoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa na toa ushauri bure kabisa.
Gypsum Decoration Structural Designing
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
5 years
Natengeneza milango na madirisha ya aluminium kwa ajili ya nyumba na maofisi mbalimbali popote nchini
Window Installation
TZ
From TZS 200,000/day
Dat
15 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu nishafanya kazi sehemu tofauti tofauti katika uwekaji wa gesi mfumo wa gesi nyumbani kwako gesi hii ni mbadala inatumia maji taka ya aina yoyote ambayo yanaweza paka mwisho na maji yake huweza kutumika kama mbadala wa maji ya kufurashia chuoni nakufanyia usafi rishaji kushika maji tukufungie kwa bei nafuu kabisa na kwa uzoefu wa muda mrefu na uzoefu wa takribani miaka 16
Biogas Installation
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
10 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye uwekaji wa tiles pamoja na urembo Kwa kutumia tiles, Nina uzoefu wa kutosha pia nina tumia vipimo ili kuhakikisha nyumba ina kuwa na muonekano mzuri na ushauri ni bure kabisa Kwa wateja wangu kuhusiana na aina ya tiles mteja anayotaka kutumia
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Amani
15 years
Mimi ni fundi ninaye yanya upauaji wa nyumba kwa kutumia bati ainazote na nina uzoefu wa zaidi ya miaka 14 katika ufanyaji wa kazi hii na nimefanya kazi nyingi mkoa wa Dar es slaam na mkoani Morogoro na baei zetu ni poa kabisa
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
16 years
Mimi nifundi mwenye uzoefu wa kutosha kwenye kazi hiizi za utengenezaji wa madirisha,milango ya aluminium pamoja na magrili Kwa ubora na umakini wa hali ya juu nina fika mikoa yote hapa Tanzania na nchi jirani za Africa
Door Installation Welding Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Mafinga
10 years
Mimi ni fundi ninayehusikana nimekufanya ujenzi wa nyumba yako kuanzia kwenye msingi mpaka mwisho wa kupauwa kufanya skiming kwa ubora kabisa
Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
10 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la upakaji wa rangi, uwekaji wa gypsum board na urembo (decoration) nime fanya kazi nyingi na sehemu tofauti tofauti hivyo nina ubunifu wa kila aina kwenye kazi hizi na ninaifanya nyumba yako iweze kuwa na mvuto wa kisasa zaidi
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
11 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kupiga plasta za nyumba na kuweka urembo Kwa kutumia cement na mchanga Kwa ubora wa hali ya juu na kisasa zaidi
Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
9 years
Mimi nifundi ninaye jihusisha na swala zima la uwekaji urembo kwenye nyumba Kwa kutumia mchanganyiko wa cement na mchanga Kwa ubunifu wa hali ya juu na nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya kazi hii.
Plastering
TZ
From TZS 100,000/day
Kinondoni
10 years
Mtaalamu wa mambo ya ujenzi wa makazi aliyesomea na mwenye uzoefu wa muda mrefu, kutoka kwenye kusanifu ramani za nyumba, usanifu wa nadharia ya nje ya nyumba na bustani, pamoja na mambo ya makisio na mahesabu ya gharama za ujenzi. Lengo letu ni kukuwezesha kutimiza nyumba ya ndoto yako sasa, bila kujalisha kama ni ya gharama nafuu au mjengo wa heshima.
3D Rendering Building Designing Cost Estimation Landscape Designing Project Management Project Planning Technical Drafting
TZ
From TZS 50,000/day
Temeke
15 years
Mtaalamu wa kudili na fangasi za kuta pamoja na kufanya water proof ndani na nje ya Tanzania. Jafari ana uzoefu wa zaidi ya miaka 14 katika tasnia hii na amekuwa akitoa huduma bora kwa wateja wetu. Kwa huduma bora na ya kuaminika, Jafari ndiye chaguo sahihi kwako! Ana utaalamu katika waterproofing kwenye concrete slabs, steel tanks, gutters, swimming pools, hidden roofs, expansion joints, na pia kushughulikia epoxy floors na matibabu ya fangasi kwenye kuta. #JafariHamisi #FundiBora #Waterproofing #Tanzania
Flooring
TZ
From TZS 20,000/day
Kigamboni
6 years
Bustani nzuri ya maua inapendezesha nyumba kuwa na muonekano mzuri na wa kuvutia kwa maua mbalimbali
Gardening
TZ
From TZS 40,000/day
Kwimba
6 years
Mimi ni fundi urembo pamoja na kupaka rangi kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa pia nina fika mikoa yote pamoja na nchi jirani za Afrika pia nina msikiliza mteja wangu kwa kile ana cho kihitaji na ushauri ni bure kabisa kwa wateja wangu
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
5 years
Fundi wa kupanga na kutengeneza maua kwa kutumia paving blocks
Paving
TZ
From TZS 50,000/day
Ukonga
20 years
Fundi hamisi fundi wa dizaini kwenye nyumba yako finishing ya kibabe finishing aina yote ya gypsum painting ya rangi kwa nje wall decoration
Gypsum Decoration Drywall Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Karatu
6 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala Zima la ufungaji wa mabomba ya nyumbani Kwa kuzingatia ubora na umakini wa hali ya juu, pia niko na mafundi wenzangu walio bobea kwenye kazi hii hivyo kazi ina fanyika Kwa ubora zaidi
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha nina ujuzi wa kuweka Mapaa kwa kutumia mabati ya Msouth na nina mafundi ambao Wana uzoefu na kazi hii na kulifanya paa lako likiwa lina vutia,tuna fika mikoa yote hapa Tanzania Kwa ajili ya kazi hii na mteja kwetu anapewa kipaumbele cha kusikilizwa
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
11 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kufanya finishing za majumbani Kwa kuweka fance za umeme, kufunga geti, kufunga video door phone pamoja na alarm za majumbani Kwa umakini na ubora wa hali yajuu,pia tuna zingatia ubora wa kazi na mabadiliko ya ki technologia.
Gate Installation Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
8 years
Mimi ni msambazaji wa mbao za aina zote za ujenzi zenye dawa Kwa bei nafuu Sana kutoka mafinga na Njombe pamoja na mkoa wa Dar es salaam,Tabora, kahama, mkoa wa pwani unafikishiwa Hadi ulipo
Wood Work
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
11 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala Zima la uwekaji wa mabomba majumbani na maofisini Kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi, pia nipo na mafundi wenzangu ambao Wana ujuzi wakutosha hivyo kazi yako ina kuwa kwenye viwango vizuri kabisa na tuna zingatia vipimo wakati wa kuweka mabomba.
Plumbing
TZ
From TZS 20,000/day
Ubungo
6 years
Mimi ni mtaalam wa kutengeneza picha mbao Kwa ubora na ubunifu wa hali ya juu na kufanya picha yako iwe nzuri kabisa na yenye mvuto mzuri,pia picha hizi unaweza kuziweka kwenye ofisi yako au nyumbani kwako na kuongeza mvuto wa ofisi au nyumba yako
Solar Electricity
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha
14 years
Mimi ni mtaalamu wa mifumo ya umeme nina uzoefu wa kutosha nikiwa nafanya kazi hii na nina ambatana na mafundi walio bobea kuhakikisha kazi ina kuwa ya ubora na ya viwango vya hali ya juu pia nina toa hudu kama vile kuchimbia bomba za umeme, kufanya wiring pamoja na kuweka cctv camera
Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 100,000/day
Ilala
7 years
Abdallah Idd Wachaka, born and educated in Dar es Salaam, specializes in designing and constructing houses. With a keen eye for detail and a commitment to quality, he has established a reputation for creating innovative and durable residential structures that meet the needs of modern living.
Concrete Curing Concrete Mixing Concrete Work Building Setting Out Blocklaying Bricklaying Masonry Plastering Stonework Septic Installation House Building
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
18 years
FAABI electrical device provider ltd tuna jihusisha na uwekaji wa mifumo ya umeme Kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa na kuhakikisha nyumba ina kuwa na mifumo bora ya umeme pia tuna zingatia mabadiliko ya ki technologia kwani tuna mafundi mahiri ambao wana badilika kulingana na mazingira ya kitechnologia.
Gate Installation Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
16 years
Natengeneza madirisha na milango ya aluminium pamoja na vioo kwa gharama nafuu katika nyumba na maofisi
Window Installation
TZ
From TZS 25,000/day
Dar es ...
1 month
Mimi ni Mkami fundi wa kutengeneza biodigester ambao ni mbadala wa septic tank ambazo hutumia pesa kidogo na hudumu Kwa mda mrefu bila yakujaa
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
6 years
Nina jenga mabanda ya kuku kwa kuzingatia ubora wa hali ya juu pia nina uzoefu wakutosha katika swala zima la ujenzi wa mabanda na kuhakikisha mteja wangu ana ridhika na kazi yangu pia nina tumia vipimo ambavyo vina niwezesha katika ujenzi wa banda.
Building Designing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la upauaji wa Mapaa Kwa kutumia vifaa vyangu bora na vya kisasa na Nina hakikisha mteja wangu ana ridhika Kwa uaminifu alio nipatia
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Mbarali
4 years
Mimi ni fundi ninaye husika na upigaji wa mabati katika nyumba yako ni kwa mabati aina zote kam vile mgongo mpana na vigae na tunafika popote ndan ya tanzania na bei zetu ni nafuu kabisa na uaminifu ndo kipaombele chetu tukiwa kazini
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
7 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala zima la upakaji wa rangi Nina uzoefu mkubwa nikiwa na fanya kazi hii nina tumia vifaa Bora na rangi zinazo pendeza kulingana na mteja anavyo taka na nina badilika kulingana na mazingira
Painting
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
7 years
Mimi ni fundi umeme wa majumbani na maofisini katika kufanya wiring, kurekebisha penye tatizo na kufunga taa za aina zote
Electrical Troubleshooting Electricity Safety Wiring
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha
14 years
Mimi ni fundi wa kupaua nyumbani yaani kufanya roofingi kwa kutumia mabati aina zote kama msauzi na mabati ya kawaida kwenye nyumba aina zote
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Mbeya CBD
14 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala zima la ujenzi Nina uzoefu wa kutosha,na fanya setting ya ramani kwenye majengo aina zote,pia naezeka Mapaa ,natoa huduma bora na ushauri ni bure kabisa kwa wateja wangu na nina piga mahesabu ya gharama zitakazo tumika kwenye ujenzi.
Building Designing Building Setting Out Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
11 years
Najenga mapaa ya aina mbalimbali katika nyumba zote pamoja na kufanya brandaring popote nchini Tanzania
Sheet Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Mpwapwa
23 years
Mimi ni mtaalam wa kupaka rangi majumbani kwa kuzingatia ubora wa kisasa na kwa kuzingatia umakini wa hali ya juu pia nina ambatana na mafundi wenye uzoefu na walio bobea kwenye swala zima la upakaji wa rangi na kuhakikisha mteja ana ridhishwa na kazi zetu pia tuna zingatia muda wa kuanza na kukabidhi kazi kama tulivyo kubaliana na mteja wetu.
Painting
TZ
From TZS 60,000/day
Mwanza ...
20 years
Ni fundi ninayetengeneza nyumba kuanzia mwanzo mpaka mwisho painting plastering ruffin zote nafanya kwa bei nafuu na kwa kuzingatia ubora unaotakiwa na uzoefu wasaidia miaka ishirini katika kazi hii
Painting Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 40,000/day
Monduli
23 years
Mimi ni mtaalam wa kuweka tiles majumbani Kwa ubora wa kisasa na kwakuzingatia vipimo vilivyo nyooka pia nina toa ushauri bure Kwa mteja wangu na kumfanya aweze kuridhika na kazi zangu.
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
8 years
Ninapaka na kupendezesha nyumba aina zote kwa rangi nzuri na za kudumu ndani na nje ya nchi kwa gharama nzuri
Painting
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala CBD
10 years
Mimi ni mtaalam wa ufungaji wa taa za umeme wa jua majumbani na kwenye uzio wa nyumba(dance) pia nina funga taa kwenye bustani ambazo Zina tumika kama mapambo pia tuna kuuzia vifaa ambavyo ni imara kabisa na vinavyo dumu Kwa muda mrefu
Solar Electricity
TZ
From TZS 40,000/day
mwanza
7 years
Mimi ni fundi wa kufanya plumbing kwenye nyumba yako kwa kuzingatia matumizi mazuri ya vifaa ambavyo viatakuhakikishia ubora na kudumu kwa muda mrefu nina uzoefu wa zaidi ya miaka 7 na nimefanya kazi nyingi mwanaza na nje ya mkoa wa mwanza na pia katika taasisi za serekeli kwenye majumb na maofisini na kazi zilikuwa ora kabisa kwa beipoa kabisa
Plumbing
TZ
From TZS 50,000/day
Mvomero
4 years
Mimi ni fundi ninaye husika na ujenzi wa nyumba katika nynja ya kupandisha matofali na kufunga lenta na pia nafanya gypsum designing na kupaua nyumba yako kwa mabati aina zote na nafanya kazi hizi kwa uaminifu na ubora mkubwa kabisa na kwa bei ambayo ni nafuu kabisa
Gypsum Decoration Sheet Roofing Shingle Roofing House Building
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
8 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala Zima la ufungaji wa umeme wa jua ,nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya Kazi hii na nina toa ushauri bure kabisa Kwa wateja wangu
Solar Electricity
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
9 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la uwekaji wa mifumo ya umeme kwani nina uelewa wa kutosha kuhusu swala zima la ufungaji wa bomba za umeme na uwekaji wa box pamoja na kuweka wiring kwenye nyumba Kwa kutumia design za kisasa zaidi
Wiring
TZ
From TZS 20,000/day
Dar
14 years
Fundi mwenye uzoefu wa kufanya plumbing katika nyumba zote, ghorofa, na nyumba za kawaida. Nina uzoefu wa miaka mingi katika kazi hii ya uwekaji wa mabomba. Niko Dar es Salaam naweza kuweka mabomba ndani na nje kwa matumizi ya maji safi na maji machafu, pamoja na mashimo ya maji taka.
Heating Installation Plumbing
TZ
From TZS 10,000/day
Town
14 years
Tunahakikisha nyumba Yako haito vuja Kwa upauaji Bora kutoka kwetu tuna paua mabati ya aina tofauti tofauti Kwa nyumba zote na maghorofa
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 15,000/day
songea ...
10 years
mimi Egno tembo ni fundi umeme mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka sita katika ufungaji wa maswala ya umeme napatikana songea mjini ila mikoani nako nafika
Wiring
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
6 years
Naweka tiles katika nyumba kwa maua tofauti tofauti kupendezesha nyumba na kuimarisha uwanja wakati wa mvua.
Paving
TZ
From TZS 100,000/day
Ubungo
9 years
A skilled Registered Graduate Civil Engineer with a B.Sc. in Civil Engineering from the University of Dar es Salaam. His practical building trades include site supervision, material testing, construction safety management, quantity surveying, cost estimation, and structural analysis. With extensive experience in project management and technical report writing, Yona is committed to delivering reliable and high-quality outputs.
Concrete Curing Concrete Mixing Concrete Work Formworking Steel Fixing Project Management Project Planning Carpentry Welding Wiring Flooring Tiling Building Setting Out Foundation Installation Building Inspection Demolition Maintenance Planning Workplace Safety Painting Plumbing Rain Harvesting Steel Trussing Steelwork security-system-installation smart-home-installation Blocklaying Bricklaying Drywall Installation Masonry Plastering Stonework Septic Installation Glass Tinting Glazing Window Installation
TZ
From TZS 75,000/day
Ubungo
9 years
An accomplished designer, Quantity Surveyor, and builder based in Dar es Salaam, Tanzania, specializing in residential construction. With a background in designing and quantity surveying, he brings a wealth of expertise to crafting bespoke homes that seamlessly blend functionality with aesthetic appeal. His commitment to quality craftsmanship and innovative design solutions has earned him recognition in the industry. From modern villas to traditional residences, he excels in delivering projects that exceed client expectations and elevate living spaces
architectural construction_manager fencing foundation_repair framing guttering project_manager quantity_surveyor repairs roofing Welding
TZ
From TZS 35,000/day
Kigamboni
8 years
Nina tengeneza mabanda ya kuku ya kisasa na yanayo dumu kwa muda mrefu pia mabanda yangu yana uwezo wa kubeba kuku zaidi ya mia moja na nina tengeneza mabanda ya aina zote kama vile mabanda ya mbao na mabanda ya matofali na nina zingatia ubora na ubunifu wa kisasa
Building Designing
TZ
From TZS 40,000/day
Gairo
6 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa miaka saba katika ufanyaji wa roofing kwenye nyumba. Nimebobea katika ufungaji, matengenezo, na ukarabati wa paa, nikitumia mbinu za kisasa na vifaa vya ubora. Uzoefu wangu unahakikisha kazi bora na kudumu, huku nikizingatia usalama na viwango vya hali ya juu. Nina ujuzi mzuri wa kuboresha ufanisi wa paa na kuridhisha wateja kwa matokeo ya kuaminika na ya muda mrefu.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
6 years
Nina paka rangi kwa kuzingatia ubora wa kisasa na kwa kuzingatia ubunifu wa hali ya juu, pia nina uzoefu wa kufanya brandering, gypsum setting board, skiming na kupaka rangi pamoja na kutumia rangi za drewa na conmix na kuifanya nyumba ipendeze zaidi.
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 50,000/day
Goba
4 years
Fundi joseph mfanyakazi decoration kwenye nyumba yako nje na ndani kwenye kuta kwa kutumia sementi na mchanga painting kwenye nyumba ya kuweka tailis kuhusu zaidi ya miaka minne
Tiling Painting Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mimi ni fundi mkongwe ambaye nime bobea katika swala zima la uwekaji wa tiles pia nina toa huduma bora kabisa na kisasa Zaidi, mteja kwetu ni mfalume na nina hakikisha ana ridhika na kazi zangu
Tiling
TZ
From TZS 25,000/day
Nyamagana
6 years
Fundi wa kuweka mapambo katika nyumba
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 50,000/day
Mkuranga
18 years
Mimi ni fundi ninaye ji shughulisha na uwekaji wa Mapaa ya kisasa Kwa kutumia mabati ya aina zote kama vile Msouth na vigae kwa ubora wa hali ya juu na Nina uzoefu mkubwa kwani nimefanya kazi nyingi na zote niza viwango na kisasa zaidi hapa nchini na nchi jirani za Africa
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
14 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha Nina ujuzi wa kuezeka Mapaa kwenye nyumba Kwa kutumia mabati ya aina tofauti tofauti na kuacha paa lako likiwa na mvuto mzuri.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 35,000/day
Ubungo
6 years
Naezeka mapaa ya msauzi katika dizaini tofauti kulingana na maelekezo ya mteja mikoa yote Tanzania
Sheet Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
3 years
Ninatengeneza mabomba ya maji safi ya moto na baridi katika nyumba mbalimbali pamoja na mabomba ya maji taka katika nchi nzima.
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
Tuna toa huduma za ununuzi, ujenzi Kwa kutumia tangastone na burning bricks na ubunifu wa nyumba(House design) ndani ya nchi na nchi jirani za Africa, tumesha fanya kazi sehemu nyingi na tuna uzoefu wa kutosha usio pungua Miaka sita
Building Designing Bricklaying Stonework
TZ
From TZS 10,000/day
Town
14 years
Ustadi na uzoefu wa Hali ya juu kuhakikisha nyumba Yako haito vuja Kwa upauaji Bora kutoka kwetu tuna paua mabayi ya Sina tofauti tofauti Kwa nyumba zote
Sheet Roofing Shingle Roofing Wood Work
TZ
From TZS 20,000/day
Goba
1 month
Mini ni fundi wakutengeneza nyumba Kwa ujuz na Kwa mda mfupi huku ustadi ukitumika na mbinu na uzoefu wa mda mrefu
Foundation Installation Masonry
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
12 years
Fundi wa gypsum natengeneza maua ya aina zote kupendezesha nyumba
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
29 years
Mimi ni fundi wa kuweka painting na gypsum design skimming painting s kwenye nyumba kubwa huu ubora wa hali ya juu na kukuzingatia nguvu vinavyohitajika na kwa bei nafu u
Gypsum Decoration Painting Plastering Wallpaper Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Mafinga
10 years
Mimi ni fundi ninayehusikana nimekufanya ujenzi wa nyumba yako kuanzia kwenye msingi mpaka mwisho wa kupauwa kufanya skiming kwa ubora kabisa
Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
9 years
Fundi wa kupaua nyumba mabati ya msauzi pamoja na kufanya brandering
Brandering Sheet Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ilemela
6 years
Ninatengeneza gypsum board katika nyumba kwa maua mbalimbali kupendezesha nyumba katika maeneo yote nchini
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 40,000/day
Korogwe
14 years
Mimi ni fundi tiles mwenye uzoefu katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia ubora wa kisasa na nina weka tiles zenye ubora na kuacha nyumba yako iwe na mvuto wa kisasa zaidi.
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Kahama
5 years
Naweka tiles katika nyumba kwa njia ya kisasa kabisa na kufanya nyumba ipendeze kwa maua mbalimbali.
Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
9 years
Fundi wa kuweka tiles katika nyumba kwa maua yote, pamoja na kujenga nyumba kwa matofali.
Tiling Masonry
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
15 years
Mimi ni fundi ninaye jishunghulisha na swala zima la upauaji wa Mapaa ya nyumba kwa kutumia mabati ya aina mbali mbali kama vile Msouth migongo mipana na midogo pia tuna ezeka Mapaa ya kuchimbia (hidden roof) kwa njia ya kisasa na ubora wa hali ya juu
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
29 years
Mimi ni fundi ujenzi wa biogas natengeneza bio gesi kwa muda mrefu na uzoefu zaidi ya miaka thelathini katika kazi yangu kwa hiyo usisite kuja kutengeneza bayo gesi na mimi kwa uzoefu rafiki wa mazingira tunafika popote na bei ni nafuu kabisa
Biogas Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Morogor...
12 years
Nina husika na ujenzi kuhakikisha unajengewa nyumba mpaka hatua ya kuhamia pia natengeneza milango ya mbao pamoja na kuchomelea mageti na madirisha ya kisasa (all metal work).
Carpentry Metal Work Welding Tiling House Building
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
8 years
Mimi ni mtaalamu wa kufunga mabomba majumbani na sehemu yeyote Ile ambayo ina hitaji ufungaji wa mabomba ya maji, pia nina msikiliza mteja na kumpatia ushauri bure kabisa na pia kazi zangu ni za uhakika na ubora wa viwango vya juu kabisa.
Plumbing
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mimi ni mtaalam wa kuweka tiles majumbani Kwa kuzingatia ubora wa kisasa na niko na uzoefu wa kutosha katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani na maofisini pia nina msikiliza mteja Kwa kile anacho kihitaji na nina hakikisha kazi inakuwa ya viwango vya hali ya juu.
Tiling
TZ
From TZS 10,000/day
Town
14 years
Ustadi na uzoefu wa Hali ya juu kuhakikisha nyumba Yako haito vuja Kwa upauaji Bora kutoka kwetu tuna paua mabayi ya Sina tofauti tofauti Kwa nyumba zote
Sheet Roofing Shingle Roofing Wood Work
TZ
From TZS 30,000/day
ubungo
9 years
Fundi wa kutengeneza madirisha na milango ya aluminium, pia tunabuni na kutengeneza vyumba kutumia aluminium ndani ya nyumba
Door Installation Window Installation
TZ
From TZS 20,000/day
Dar es ...
7 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa miaka nane katika uwekaji na fanyaji wa plumbing katika nyumba maofisi na makampuni kazi ya kuzingatia viwango na kwa ustadi mkubwa kwa bei nafuu kabisa
Tiling Plumbing Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala CBD
10 years
Mimi ni mtaalam wa ufungaji wa taa za umeme wa jua majumbani na kwenye uzio wa nyumba(dance) pia nina funga taa kwenye bustani ambazo Zina tumika kama mapambo pia tuna kuuzia vifaa ambavyo ni imara kabisa na vinavyo dumu Kwa muda mrefu
Solar Electricity
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
29 years
Mimi ni fundi wa kuweka tiels na kufanya plastering kwenye nyumba yako nyumba ya aina zote magorofa nyumba za kawaida mashuleni kwenye makampuni na nyumba za nyumbani pamoja na kuweka urembo kwenye nyumba yako
Biogas Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
9 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha na ujuzi wa kisasa nina tumia ubunifu ambao inanisaidia kumpatia mteja kile anacho kihitaji pia nina tumia vifaa vyangu ambavyo vina nisaidia kwenye swala la ukataji wa tiles.
Tiling
TZ
From TZS 15,000/day
dar
5 years
mimi ni fundi mwenye uzoefu katika uwekaji wa njia za maji taka pamoja na njia za maji safi kwa ajili ya jikoni au majia kwaajili ya kuflashi chooni nina uzoezo wa miaka zaidi ya mitano
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
11 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye utengenezaji wa fremu na milango Kwa kutumia mbao ngumu kama vile mninga na mkongo kwa njia ya kisasa na Kwa gharama na fuu sana
Wood Work
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
34 years
Ninahusika na kazi za Upigaji wa plasta pamoja na uwekaji wa urembo kwenye Kuta kwa kutumia cement na mchanga Ninauzoefu wa kufanya kazi ndani ya Dar es Salaam,mikoa mbali mbali ndani ya Tanzania
Tailoring Plastering
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la uezekaji wa Mapaa ya aina mbalimbali natoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Gongola...
12 years
Mimi ni fundi wa kufanya tailizi nafanya tailizi nin uzoefu wazaidi ya miaka kumi na mbili katika kazi yangu hii ya kufanya tailizingi nimefanya kazi na watu mbalimbali pia nina ujuzi wa kufunga mabomba ya kufanya plastaring kwenye nyumba yako
Tiling Plumbing Plastering
TZ
From TZS 10,000/day
Town
14 years
Kwa uzoefu wa zaidi ya miaka 7 Kwa uwekaji gypsum kwenye nyumba pamoja na urembo kwajili ya sehemu ya kiweka tv jikoni na kwenye vyumba vya kulala
Gypsum Decoration Drywall Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
7 years
Mimi ni fundi ujenzi niliye bobea katika swala zima la uwekaji wa urembo kwenye nyumba kwa kutumia mchanganyiko wa mchanga na cement, Nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya hii kazi na Nina tengeneza urembo wowote ule kulingana na mteja wangu anavyo taka.
Building Designing Plastering
TZ
From TZS 15,000/day
Mufindi
8 years
Mimi ni fundi wa kufanya welding madirisha kwa ajili ya nyumba yako na uzoefu zaidi ya miaka tisa nafanya kazi hii kwa ubora kabisa na kwa kuzingatia vipimo
Welding
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
11 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kuezeka Mapaa Kwa kutumia mabati ya aina mbali mbali kama vile Msouth migongo mipana na migongo,Simba dumu pamoja na mabati ya vigae(versatile).
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ludewa
9 years
fundi plastering kwa nyumba yako kwa ustadi na uzoefu wa miaka tisa katika kazi hii ya plastering pamoja na uwekaji wa urembo kwenye nyumba yako kwa uaminifu na kwa bei ambayo ni rafiki
Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Morogor...
7 years
Mimi ni fundi ninayefanya plastering skimming na uwekaji wa urembo kwenye nyumba yako kwakutumia mchanga na simenti pia nafanya painting kwenye nyumba yako na nina uzoefu wa zaidi ya miaka minane katika kazi na nimefanya kazi ndani na nje ya mkoa wa Morogoro
Paving Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
8 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha na nime bobea kwenye uezekaji wa mapaa Kwa kutumia ubunifu na kuzingatia njia za kisasa na kuliacha paa lako liki pendeza kabisa.
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
9 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa muda mrefu Nina ujuzi wa kuweka tiles na urembo Kwa kutumia tiles kwenye nyumba yako, Nimesha fanya kazi sehemu nyingi hapa Tanzania na zote zimekuwa katika ubora wa hali ya juu pia gharama ni nafuu kabisa Kwa wanao hitaji huduma hii
Tiling
TZ
From TZS 20,000/day
Town
1 Years
No Skill Listed
TZ
From TZS 50,000/day
Nyamagana
4 years
Mtaalamu wa kuchora ramani za nyumba za kisasa, kujenga na kuzisimamia.
Building Designing Cost Estimation
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
29 years
Mimi ni fundi wa kupauwa nyumba aina zote ana nyumba za kawaida mna uzoefu wa zaidi ya miaka kumi na tano nipo dar es salaam nimefanya kazi hii nyingi sana ya dar es salaam kasi nzuri na pia dar es salaam tunafika
Gypsum Decoration Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 15,000/day
Kinondon
1 month
Fundi mwenye uzoefu katika uwekaji wa madirusha milango na UPVC kwenye nyumba Yako Kwa ubora wa Hali ya juu na Kwa kutumia vifaa vya kisas kabisa
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Mwanza
9 years
Mimi nina uzoefu wa zaidi ya miaka 9 katika ufanyaji wa plumbingi katika nyumba na kwa ustadi wa hali ya juu kabisa na kuzingatia ubora nimefanya kazi nyingi mkoa wa mwanz na dar es salaam
Plumbing
TZ
From TZS 50,000/day
Ilala
15 years
Mimi ni fundi niliye na ujuzi kwenye swala zima la finishing ya tiles na marble, Nina zingatia ubora na viwango vya kisasa zaidi ili kuhakikisha nyumba ina pendeza na pia huduma hii inapatikana popote pale Tanzania na nchi jirani.
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Chunya
23 years
Mimi ni fundi ujenzi mwenye uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya kazi hizi nina badilika kulingana na mazingira ya kazi pia nina tumia ubunifu na njia za kisasa ili kuhakikisha kazi ina fanyika Kwa ubora wa hali ya juu na Kwa aajili ya huduma hii naweza kukufikia popote pale Tanzania na nchi jirani za Africa
Flooring Plastering
TZ
From TZS 75,000/day
Ubungo
13 years
As a professional quantity surveyor, I lead a team of designers and builders to construct modern, high-quality homes in Tanzania and across East Africa. We use the most suitable technology to ensure construction meets the required drawings with high quality and accuracy. Our goal is to provide safe and comfortable residences for our clients, completing projects on time and within budget.
Bricklaying building_inspector concrete_work cost_estimator drainage_systems exterior_painting fencing Flooring interior_painting Landscaping Masonry Painting Plastering quantity_surveyor septic_systems Stonework Tiling Waterproofing
TZ
From TZS 40,000/day
Mafinga
10 years
Mimi ni fundi ninayehusikana nimekufanya ujenzi wa nyumba yako kuanzia kwenye msingi mpaka mwisho wa kupauwa kufanya skiming kwa ubora kabisa
Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 30,000/day
dar
10 years
mim ni fundi wa ufungaji wa mabomba maofisini majumbani na hata kwenye makampuni mbalimbali kwa kuzingatia ubora ulio na uaminifu mkubwa kama ilivyo kauli mbiu yetu
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Kogwa
6 years
Nina toa huduma ya kupaua mapaa Kwa kutumia mabati ya kisasa na kuzingatia ubora zaidi, pia nina zingatia vipimo na tuna hakikisha mteja ana pata kile kilicho bora pia ushauri Kwa wateja wetu ni bure kabisa
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 20,000/day
Goba
1 month
Mini ni fundi wakupiga finishing Kwa nyumba zote Kwa kutumia ujuzi na uzoefu mkubwa kutoka kwetu
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
23 years
Mtaalamu wa kujenga na kurekebisha mapaa ya nyumba mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 23, anayepatikana Tanzania. Anajulikana kwa ustadi wake katika ujenzi wa mapaa ya nyumba, kupiga dari, pamoja na uwekaji kuta na mapambo ya gypsum. Ally amekuwa akitoa huduma kwa uaminifu mkubwa na amepata mafunzo maalum katika kuweka vigae vya Decra, hivyo kuhakikisha ubora katika kazi zake.
Brandering Ceiling Gypsum Decoration Sheet Roofing Gutter Installation Shingle Roofing Tile Roofing Timber Trussing
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
9 years
Nina toa huduma ya kutengeneza mabanda ya kuku ,Bata ,kanga, sungura, ng’ombe,mbuzi na mifugo ya aina yeyote ile kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi pia gharama zangu ni nafuu kabisa pia mteja wangu ataweza kupata kile anacho stahili kukiona kwenye banda lake.
Building Designing
TZ
From TZS 30,000/day
kigamboni
3 years
Fundi wa kuweka paving blocks katika nyumba mbalimbali nchini Tanzania na nje ya nchi kwa gharama nzuri.
Paving
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
15 years
Nime bobea kwenye swala zima la upakaji wa rangi pamoja na kuweka epoxy floor zenye ubora na zenye mapambo ya aina mbalimbali pia nina uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi hizi
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 20,000/day
Makambako
4 years
Mimi ni fundi umeme mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka minne, nikiwa na utaalamu katika ufungaji, matengenezo, na ukarabati wa mifumo ya umeme. Nimebobea katika kuunda miundombinu salama na yenye ufanisi kwa nyumba na majengo ya kibiashara. Elimu yangu na uzoefu wangu unaniwezesha kutatua matatizo ya umeme kwa usahihi, kuzingatia viwango vya usalama, na kutoa huduma bora kwa wateja. Ninasimamia miradi kwa umakini, nikihakikisha kuwa kila kitu kinafanywa kwa ubora wa juu na ndani ya muda uliopangwa.
Wiring
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
4 years
Ninajenga vyoo vya kisasa visivyojaa wala kunyonywa kwa muda mrefu katika nyumba zote nchini Tanzania.
Masonry
TZ
From TZS 20,000/day
Njombe mji
7 years
Mimi ni fundi welding mwenye uzoefu wa miaka saba katika kazi ya welding, na miaka minne maalum katika PVC na alumini. Nimebobea katika ufungaji, matengenezo, na ukarabati wa vifaa vya PVC na alumini kwa uangalifu wa hali ya juu. Uzoefu wangu unaniwezesha kutoa suluhisho za ubora, kuhakikisha usalama wa kazi, na kutatua matatizo kwa ufanisi. Nina dhamira ya kutoa huduma bora na kuhakikisha kuridhika kwa wateja kwa matokeo yenye nguvu na ya kudumu.
Welding Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Kwimba
6 years
Mimi ni fundi mwenye ujuzi wa kisasa na niliye bobea katika swala zima la kufunga mifumo ya umeme majumbani na maofisini, pia nina funga mifumo ya ulinzi kama vile cctv camera pamoja na fensi ya umeme pia mteja wangu anapatiwa ushauri kwa kile kilicho bora.
Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
10 years
Mtaalamu mzoefu katika ujenzi nyumba, haswa ktk ufundi uashi na ujenzi matofali, aliyehitimu kutoka Chuo cha Ufundi Arusha. Tangu utotoni, alifundishwa na familia yake, ambao pia wanahusika katika ujenzi wa makazi. Akiwa Ubungo, Tanzania, Charles anafanikiwa katika ujenzi wa makazi kwa ujumla, akitoa ubora na uimara katika kila mradi. Ujuzi wake unajumuisha uwekaji wa matofali, kazi za zege, uwekaji wa sakafu, upakaji wa plasta, mabomba, paa, na zaidi, kuhakikisha utoaji wa huduma kamili. Charles anaunganisha uzoefu wa vitendo na mafunzo rasmi, akiwa na dhamira ya kutoa ubora katika ujenzi wa makazi kote Tanzania.
Flooring Tiling Plumbing Bricklaying Masonry Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
8 years
Mimi ni fundi ni liye bobea kwenye nyanja tofauti tofauti katika swala zima la ujenzi nina fanya upauaji wa nyumba pamoja na kufanya finishing ya gypsum pia nina ambatana na mafundi waliyo bobea ili kuhakikisha kazi inakuwa nzuri kabisa na yenye mvuto
Gypsum Decoration Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
10 years
Mimi ni muuzaji wa vifaa vya majumbani pamoja na kuvifunga nina toa huduma ya kufunga geti linalo tumia remote(automatic sliding gate motor), pia nina weka kengele za milangoni zenye camera na kufunga uzio wa umeme kwenye nyumba na sehemu yeyote Ile inayo hitaji ulinzi,Kwa huduma hii tunafika mikoa yote hapa Tanzania na nchi jirani za Africa
Door Installation Gate Installation Security Systems
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
11 years
A skilled landscape designer and builder known for his exceptional work on residential projects. With a background in landscape architecture from Ardhi University, he brings the best touch and hands-on expertise to create stunning and sustainable outdoor spaces. Based in Dar es Salaam, Tanzania.
fencing fireplace_installation gazebo_construction landscape_architect Landscaping
TZ
From TZS 10,000/day
Ubungo
14 years
Mtaalamu wa Samani na mapambo ndani ya nyumba yako mwenye uzoefu madhubuti Kwa utoaji wa Samani Bora na mapambo ya gypsum Kwa ubora katika Kazi yake
Gypsum Decoration Furniture Designing Door Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
14 years
A skilled mason with extensive experience in both mechanical engineering and masonry. He began his training at Msimbazi Garage, later transitioning to masonry, where his competence and dedication quickly earned him the trust of his superiors. Over the years, Hildman has worked on significant projects, including building government structures like the Ubungo Communication Building and collaborating with JKT trainees. As an independent mason, he specializes in tile construction and general house building, consistently delivering high-quality results. His expertise and dedication have also enabled him to train many individuals who have gone on to become successful independent masons.
Masonry Tiling
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la uwekaji wa urembo wa nyumba na hotelini Kwa kutumia mbao na gypsum (gypsum decoration) Nina tengeneza sehemu kama vile sebuleni, jikoni,chumbani,TV show cases pia na fika mikoa yote kutoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa na toa ushauri bure kabisa.
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 15,000/day
Mto wa mbu
1 month
Mini ni fundi wakutrmgeneza mashimo ya majitaka Kwa njia ya kisasa amabayo itamfanya mtumiaji asiingie garama Zaid baada ya kutengeneza Kwan Lina tengenezwa Kwa matofali ya kisasa na maalumu kwaajili ya mashimo hayo ya maji taka
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
14 years
Mimi ni mtaalam niliye bobea kwenye swala Zima la ufungaji wa solar majumbani na maofisini Kwa kutumia vifaa vilivyo imara na ubunifu wa kisasa zaidi pia nina ambatana na mafundi wenzangu ambao nao wame bobea kwenye kazi hii lengo ni kumtengenezea mteja wetu kile kilicho bora kabisa
Solar Electricity
TZ
From TZS 40,000/day
Nyamagana
16 years
Mimi ni fundi wa kuweka rangi za aina mbali mbali kwenye nyumba na kuacha ikiwa na mvuto mzuri wa kuvutia nina tumia rangi aina ya drewa, decor,Niko tekx pia na paka rangi za kawaida kwenye nyumba na kuacha nyumba ikipendeza
Color Mixing Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Chemba
11 years
Nina toa huduma ya ujenzi wa mabanda ya kuku wa kienyeji na kuku wa kisasa kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa na kufanya banda lako livutie pia nina uzoefu wa kutosha kwani nimesha tengeneza mabanda ya aina nyingi sehemu nyingi na kwa kuzingatia ubora na mabanda yana dumu kwa muda mrefu.
Building Designing
TZ
From TZS 30,000/day
Dar
1 month
Mimi Alibert ni fundi ninaye tengeneza biodigester zenye ubora na kidumu Kwa muda mrefu Kwa kutumia uzoefu nilio nao na teknolojia ambayo itasaidia kuaankwa muda mrefu na kutoka garama zingine
Biogas Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Nyakato
9 years
Fundi wa bomba za maji safi na maji taka katika nyumba aina zote.
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Mafinga...
8 years
Mimi ni fundi ninayofanya tailing kwenye nyumba yako naweka tyles chuoni kwenye kuta kwenye sakafu kwa kuzingatia ubora za kuweka namna nzuri ya kuweka urembo na uzoefu zaidi ya imekaa saba
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Kibaha
15 years
Mimi ni fundi mkali wa finishing ya tiles kwenye nyumba na kwenye vyoo nina uzoefu usiopungua miaka 13 Una pigiwa tiles Kwa kiwango na ubunifu wa Hali ya juu pia nafika sehemu yoyote kote Tanzania.
Building Designing Bricklaying Stonework
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi ninaye jihusisha na swala zima la uchimbaji wa mashimo ya maji taka yasiyo jaa maji Kwa njia ya kisasa na Kwa kutumia eneo dogo, na mashimo Yana jegwa Kwa ubora hayatoi harufu, pia tuna weza kujenga sehemu zote za chemchem na miamba bila tatizo na technologia yetu imedhibitishwa kitaalamu na inafaa Kwa matumizi ya jamii pia tuna toa huduma hii mikoa yote ya Tanzania.
Soil Excavation Bricklaying
TZ
From TZS 100,000/day
Ilala
10 years
Experienced Building/ Bridge/ Structural Engineer with over 7 years in designing and supervising large-scale infrastructure projects. Expertise includes feasibility studies, detailed engineering designs, and technical audits for World Bank-funded projects. Adept at managing complex bridge and drainage structures across Tanzania, with a proven track record of delivering high-quality, cost-effective solutions.
Building Designing Cost Estimation Project Management Project Planning Structural Designing Technical Drafting
TZ
From TZS 30,000/day
Hai
8 years
Nina ujuzi wa kufanya skiming pamoja na kupaka rangi majumbani kwa kuzingatia ubora wa kisasa kwa ubunifu wa kisasa zaidi,pia nina toa ushauri bure kabisa kwa mteja wangu na kumfanya aridhike na kazi zangu
Painting
TZ
From TZS 30,000/day
Mpwapwa
6 years
Natengeneza gypsum board kwenye nyumba pamoja na urembo mbalimbali wa nyumba mahali popote Tanzania.
Gypsum Decoration
TZ
From TZS 30,000/day
Morogoro
14 years
Fundi mwenye uzoefu katika ujenzi pia nime pitia mafunzo ya veta na kupata ujuzi wa hali ya juu na kwa kupitia elimu hii nimeweza kuwa na ubunifu wa hali ya juu katika swala zima la ujenzi na pia kwa kazi hizi naweza kukifikia popote pale nchini.
Gypsum Decoration Building Designing
TZ
From TZS 30,000/day
Mufindi
9 years
mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kufanya kazi kuweka masinki chooni na kuweka tailis kwa ubora wa hali ya juu kabisa na kwa kusingatia ubora wa nyumba pamija na choo chako bila ya kusahau majikoni nako tunaweka
Flooring Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
9 years
Fundi wa kutengeneza milango na vifaa vyote vya samani.
Carpentry
TZ
From TZS 10,000/day
kariakoo
10 years
mimi ni fundi wa kufanya wiring katika nyumba yako kabla ya tanesco kuja kufunga umeme nyumbani kwa ufungaji mzuri wa umeme na kwa kutumia vifaa vya kisasa kabisa na vya bei nafuu kutoka kwa maduka ya kuaminika na vyenye ubora na uzoefu wa muda mrefu
Wiring
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mtaalamu wa urembo wa nyumba na bustani anayeishi Temeke, Dar es Salaam. Ameanza kazi za decorations mwaka 2014 na anajishughulisha na plasta decorations, gypsum board design, ujenzi wa mabwawa ya kuogelea, chemchemi za maji, maporomoko ya maji, kuweka tiles, kupaka rangi, na kubuni bustani. Pia anatengeneza sanamu za wanyama, ndege, majabali, na magogo.
Gardening Landscaping
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
12 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye utengenezaji wa mageti,milango ya chuma, madirisha na aluminium pamoja na kumuwekea mteja kwenye nyumba yake Nina uzoefu wa kutosha kwenye kazi hii.
Steel Fixing Door Installation Gate Installation Metal Work Welding Window Installation

Join Membership

Join our membership to become a part of our expansive platform dedicated to residential development in Africa. Gain access to house plans, informative articles, vetted builders, plot listings and construction materials!

Eng. Lwifunyo Mangula
Payment Challenges? WhatsApp Admin