Hire Builders

TZ
From TZS 75,000/day
Ubungo
13 years
2 months
As a professional quantity surveyor, I lead a team of designers and builders to construct modern, high-quality homes in Tanzania and across East Africa. We use the most suitable technology to ensure construction meets the required drawings with high quality and accuracy. Our goal is to provide safe and comfortable residences for our clients, completing projects on time and within budget.
Flooring Tiling Landscaping Painting Waterproofing Bricklaying Masonry Plastering Stonework
TZ
From TZS 30,000/day
Ilala
3 years
Ninatengeneza mabomba ya maji safi ya moto na baridi katika nyumba mbalimbali pamoja na mabomba ya maji taka katika nchi nzima.
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
8 years
Ninapaka na kupendezesha nyumba aina zote kwa rangi nzuri na za kudumu ndani na nje ya nchi kwa gharama nzuri
Painting
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la utengenezaji wa gypsum board na uwekaji wa urembo kwenye gypsum board nyumbani na mahotelini Kwa kutumia mbao na gypsum,nina tengeneza sehemu kama vile sebuleni(sitting room), jikoni(kitchen),chumbani,TV show cases pia na fika mikoa yote kutoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa na toa ushauri bure kabisa.
Gypsum Decoration Structural Designing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
30 years
Mimi ni fundi wa kupauwa nyumba aina zote ana nyumba za kawaida mna uzoefu wa zaidi ya miaka kumi na tano nipo dar es salaam nimefanya kazi hii nyingi sana ya dar es salaam kasi nzuri na pia dar es salaam tunafika
Gypsum Decoration Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
14 years
4 months
Nina ujuzi wa kutengeneza mabanda ya mifugo yanayo hamishika kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine pia nina zingatia ubora wa kisasa na mabanda haya ni kwa mifugo kama vile kuku,Bata, sungura, njiwa, na mbwa nina tengeneza kwa ubora na kwa umakini wa hali ya juu na kuhakikisha mteja wangu ana pata kile anacho kihitaji pia nina fika mikoa yote kwa huduma hizi.
Building Designing
TZ
From TZS 30,000/day
ubungo
10 years
Fundi wa kutengeneza madirisha na milango ya aluminium, pia tunabuni na kutengeneza vyumba kutumia aluminium ndani ya nyumba
Door Installation Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Mufindi
9 years
mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kufanya kazi kuweka masinki chooni na kuweka tailis kwa ubora wa hali ya juu kabisa na kwa kusingatia ubora wa nyumba pamija na choo chako bila ya kusahau majikoni nako tunaweka
Flooring Tiling
TZ
From TZS 30,000/day
Ludewa
9 years
fundi plastering kwa nyumba yako kwa ustadi na uzoefu wa miaka tisa katika kazi hii ya plastering pamoja na uwekaji wa urembo kwenye nyumba yako kwa uaminifu na kwa bei ambayo ni rafiki
Plastering
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
9 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa muda mrefu Nina ujuzi wa kuweka tiles na urembo Kwa kutumia tiles kwenye nyumba yako, Nimesha fanya kazi sehemu nyingi hapa Tanzania na zote zimekuwa katika ubora wa hali ya juu pia gharama ni nafuu kabisa Kwa wanao hitaji huduma hii
Tiling
TZ
From TZS 10,000/day
kariakoo
10 years
mimi ni fundi wa kufanya wiring katika nyumba yako kabla ya tanesco kuja kufunga umeme nyumbani kwa ufungaji mzuri wa umeme na kwa kutumia vifaa vya kisasa kabisa na vya bei nafuu kutoka kwa maduka ya kuaminika na vyenye ubora na uzoefu wa muda mrefu
Wiring
TZ
From TZS 40,000/day
Kwimba
6 years
Mimi ni fundi mwenye ujuzi wa kisasa na niliye bobea katika swala zima la kufunga mifumo ya umeme majumbani na maofisini, pia nina funga mifumo ya ulinzi kama vile cctv camera pamoja na fensi ya umeme pia mteja wangu anapatiwa ushauri kwa kile kilicho bora.
Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mtaalamu wa urembo wa nyumba na bustani anayeishi Temeke, Dar es Salaam. Ameanza kazi za decorations mwaka 2014 na anajishughulisha na plasta decorations, gypsum board design, ujenzi wa mabwawa ya kuogelea, chemchemi za maji, maporomoko ya maji, kuweka tiles, kupaka rangi, na kubuni bustani. Pia anatengeneza sanamu za wanyama, ndege, majabali, na magogo.
Gardening Landscaping
TZ
From TZS 40,000/day
Mbeya CBD
14 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala zima la ujenzi Nina uzoefu wa kutosha,na fanya setting ya ramani kwenye majengo aina zote,pia naezeka Mapaa ,natoa huduma bora na ushauri ni bure kabisa kwa wateja wangu na nina piga mahesabu ya gharama zitakazo tumika kwenye ujenzi.
Building Designing Building Setting Out Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
7 years
Naweka tiles katika nyumba kwa maua tofauti tofauti kupendezesha nyumba na kuimarisha uwanja wakati wa mvua.
Paving
TZ
From TZS 25,000/day
Dar es ...
6 months
Mimi ni Mkami fundi wa kutengeneza biodigester ambao ni mbadala wa septic tank ambazo hutumia pesa kidogo na hudumu Kwa mda mrefu bila yakujaa
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 50,000/day
Mvomero
5 years
Mimi ni fundi ninaye husika na ujenzi wa nyumba katika nynja ya kupandisha matofali na kufunga lenta na pia nafanya gypsum designing na kupaua nyumba yako kwa mabati aina zote na nafanya kazi hizi kwa uaminifu na ubora mkubwa kabisa na kwa bei ambayo ni nafuu kabisa
Gypsum Decoration Sheet Roofing Shingle Roofing House Building
TZ
From TZS 50,000/day
Mkuranga
18 years
Mimi ni fundi ninaye ji shughulisha na uwekaji wa Mapaa ya kisasa Kwa kutumia mabati ya aina zote kama vile Msouth na vigae kwa ubora wa hali ya juu na Nina uzoefu mkubwa kwani nimefanya kazi nyingi na zote niza viwango na kisasa zaidi hapa nchini na nchi jirani za Africa
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
7 years
Nina paka rangi kwa kuzingatia ubora wa kisasa na kwa kuzingatia ubunifu wa hali ya juu, pia nina uzoefu wa kufanya brandering, gypsum setting board, skiming na kupaka rangi pamoja na kutumia rangi za drewa na conmix na kuifanya nyumba ipendeze zaidi.
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 100,000/day
Ilala
11 years
Experienced Building/ Bridge/ Structural Engineer with over 7 years in designing and supervising large-scale infrastructure projects. Expertise includes feasibility studies, detailed engineering designs, and technical audits for World Bank-funded projects. Adept at managing complex bridge and drainage structures across Tanzania, with a proven track record of delivering high-quality, cost-effective solutions.
Building Designing Cost Estimation Project Management Project Planning Structural Designing Technical Drafting
TZ
From TZS 40,000/day
Mbezi m...
7 years
2 months
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la upauaji wa Mapaa Kwa kutumia vifaa vyangu bora na vya kisasa na Nina hakikisha mteja wangu ana ridhika Kwa uaminifu alio nipatia
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
3 years
Fundi wa kupanga na kutengeneza maua kwa kutumia paving blocks
Paving
TZ
From TZS 100,000/day
Temeke
18 years
Naitwa Linus Malekela ni fundi wa kuezeka mapaa aina zote na nyumba aina zote ghorofa, nyumba za kawaida, godown, makanisa NK: pia ninautaalamu wa kuezeka kwa kutumia materials aina zote Mbao, chuma, bati za Msouth migongo mipana, migongo midogo na bati za vigae
Tile Roofing
TZ
From TZS 20,000/day
Goba
6 months
Mini ni fundi wakupiga finishing Kwa nyumba zote Kwa kutumia ujuzi na uzoefu mkubwa kutoka kwetu
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Karatu
7 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala Zima la ufungaji wa mabomba ya nyumbani Kwa kuzingatia ubora na umakini wa hali ya juu, pia niko na mafundi wenzangu walio bobea kwenye kazi hii hivyo kazi ina fanyika Kwa ubora zaidi
Plumbing
TZ
From TZS 50,000/day
Kinondoni
5 years
A developer with expertise in designing, developing, and installing smart home systems. He specializes in creating IoT solutions tailored to real-world challenges, ensuring practical and efficient operation. As the founder of Quantum Intelligence, Mgasa applies his skills to innovate in the smart home industry, delivering advanced and customized automation systems.
Wiring Smart Homes
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha
14 years
Mimi ni fundi wa kupaua nyumbani yaani kufanya roofingi kwa kutumia mabati aina zote kama msauzi na mabati ya kawaida kwenye nyumba aina zote
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Gairo
6 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa miaka saba katika ufanyaji wa roofing kwenye nyumba. Nimebobea katika ufungaji, matengenezo, na ukarabati wa paa, nikitumia mbinu za kisasa na vifaa vya ubora. Uzoefu wangu unahakikisha kazi bora na kudumu, huku nikizingatia usalama na viwango vya hali ya juu. Nina ujuzi mzuri wa kuboresha ufanisi wa paa na kuridhisha wateja kwa matokeo ya kuaminika na ya muda mrefu.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 20,000/day
Kigamboni
7 years
Bustani nzuri ya maua inapendezesha nyumba kuwa na muonekano mzuri na wa kuvutia kwa maua mbalimbali
Gardening
TZ
From TZS 40,000/day
Morogor...
12 years
Nina husika na ujenzi kuhakikisha unajengewa nyumba mpaka hatua ya kuhamia pia natengeneza milango ya mbao pamoja na kuchomelea mageti na madirisha ya kisasa (all metal work).
Carpentry Metal Work Welding Tiling House Building
TZ
From TZS 40,000/day
Mwanza
9 years
Mimi nina uzoefu wa zaidi ya miaka 9 katika ufanyaji wa plumbingi katika nyumba na kwa ustadi wa hali ya juu kabisa na kuzingatia ubora nimefanya kazi nyingi mkoa wa mwanz na dar es salaam
Plumbing
TZ
From TZS 50,000/day
Nyamagana
4 years
Mtaalamu wa kuchora ramani za nyumba za kisasa, kujenga na kuzisimamia.
Building Designing Cost Estimation
TZ
From TZS 30,000/day
Kinondoni
5 years
Natengeneza milango na madirisha ya aluminium kwa ajili ya nyumba na maofisi mbalimbali popote nchini
Window Installation
TZ
From TZS 15,000/day
dar
5 years
mimi ni fundi mwenye uzoefu katika uwekaji wa njia za maji taka pamoja na njia za maji safi kwa ajili ya jikoni au majia kwaajili ya kuflashi chooni nina uzoezo wa miaka zaidi ya mitano
Plumbing
TZ
From TZS 50,000/day
Goba
4 years
Fundi joseph mfanyakazi decoration kwenye nyumba yako nje na ndani kwenye kuta kwa kutumia sementi na mchanga painting kwenye nyumba ya kuweka tailis kuhusu zaidi ya miaka minne
Tiling Painting Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Morogoro
15 years
Fundi mwenye uzoefu katika ujenzi pia nime pitia mafunzo ya veta na kupata ujuzi wa hali ya juu na kwa kupitia elimu hii nimeweza kuwa na ubunifu wa hali ya juu katika swala zima la ujenzi na pia kwa kazi hizi naweza kukifikia popote pale nchini.
Gypsum Decoration Building Designing
TZ
From TZS 40,000/day
Ubungo
11 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala Zima la uwekaji wa mabomba majumbani na maofisini Kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi, pia nipo na mafundi wenzangu ambao Wana ujuzi wakutosha hivyo kazi yako ina kuwa kwenye viwango vizuri kabisa na tuna zingatia vipimo wakati wa kuweka mabomba.
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Mafinga...
9 years
Mimi ni fundi ninayofanya tailing kwenye nyumba yako naweka tyles chuoni kwenye kuta kwenye sakafu kwa kuzingatia ubora za kuweka namna nzuri ya kuweka urembo na uzoefu zaidi ya imekaa saba
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
18 years
4 months
Mimi ni fundi ninaye jihusisha na swala zima la uchimbaji wa mashimo ya maji taka yasiyo jaa maji Kwa njia ya kisasa na Kwa kutumia eneo dogo, na mashimo Yana jegwa Kwa ubora hayatoi harufu, pia tuna weza kujenga sehemu zote za chemchem na miamba bila tatizo na technologia yetu imedhibitishwa kitaalamu na inafaa Kwa matumizi ya jamii pia tuna toa huduma hii mikoa yote ya Tanzania.
Soil Excavation Bricklaying
TZ
From TZS 10,000/day
Town
15 years
Kwa uzoefu wa zaidi ya miaka 7 Kwa uwekaji gypsum kwenye nyumba pamoja na urembo kwajili ya sehemu ya kiweka tv jikoni na kwenye vyumba vya kulala
Gypsum Decoration Drywall Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Mbarali
4 years
Mimi ni fundi ninaye husika na upigaji wa mabati katika nyumba yako ni kwa mabati aina zote kam vile mgongo mpana na vigae na tunafika popote ndan ya tanzania na bei zetu ni nafuu kabisa na uaminifu ndo kipaombele chetu tukiwa kazini
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 100,000/day
Kinondoni
10 years
Mtaalamu wa mambo ya ujenzi wa makazi aliyesomea na mwenye uzoefu wa muda mrefu, kutoka kwenye kusanifu ramani za nyumba, usanifu wa nadharia ya nje ya nyumba na bustani, pamoja na mambo ya makisio na mahesabu ya gharama za ujenzi. Lengo letu ni kukuwezesha kutimiza nyumba ya ndoto yako sasa, bila kujalisha kama ni ya gharama nafuu au mjengo wa heshima.
3D Rendering Building Designing Cost Estimation Landscape Designing Project Management Project Planning Technical Drafting
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
13 years
Mimi ni fundi ninaye jishunghulisha na utengenezaji pamoja na uwekaji wa milango ya aluminium Kwa ubora na kisasa zaidi ,Nina uzoefu mkubwa wa kufanya kazi hii na Nina fika mikoa yote ya Tanzania na nchi jirani za Africa
Door Installation Glass Tinting Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Kinondoni
8 years
Mimi ni mtaalamu wa kufunga mabomba majumbani na sehemu yeyote Ile ambayo ina hitaji ufungaji wa mabomba ya maji, pia nina msikiliza mteja na kumpatia ushauri bure kabisa na pia kazi zangu ni za uhakika na ubora wa viwango vya juu kabisa.
Plumbing
TZ
From TZS 100,000/day
Ubungo
10 years
A skilled Registered Graduate Civil Engineer with a B.Sc. in Civil Engineering from the University of Dar es Salaam. His practical building trades include site supervision, material testing, construction safety management, quantity surveying, cost estimation, and structural analysis. With extensive experience in project management and technical report writing, Yona is committed to delivering reliable and high-quality outputs.
Concrete Curing Concrete Mixing Concrete Work Formworking Steel Fixing Project Management Project Planning Carpentry Welding Wiring Flooring Tiling Building Setting Out Foundation Installation Building Inspection Demolition Maintenance Planning Workplace Safety Painting Plumbing Rain Harvesting Steel Trussing Steelwork security-system-installation smart-home-installation Blocklaying Bricklaying Drywall Installation Masonry Plastering Stonework Septic Installation Glass Tinting Glazing Window Installation
TZ
From TZS 100,000/day
Ilala
7 years
Abdallah Idd Wachaka, born and educated in Dar es Salaam, specializes in designing and constructing houses. With a keen eye for detail and a commitment to quality, he has established a reputation for creating innovative and durable residential structures that meet the needs of modern living.
Concrete Curing Concrete Mixing Concrete Work Building Setting Out Blocklaying Bricklaying Masonry Plastering Stonework Septic Installation House Building
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
10 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye uwekaji wa tiles pamoja na urembo Kwa kutumia tiles, Nina uzoefu wa kutosha pia nina tumia vipimo ili kuhakikisha nyumba ina kuwa na muonekano mzuri na ushauri ni bure kabisa Kwa wateja wangu kuhusiana na aina ya tiles mteja anayotaka kutumia
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Temeke
11 years
Mimi ni mtaalam wa kuweka tiles majumbani Kwa kuzingatia ubora wa kisasa na niko na uzoefu wa kutosha katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani na maofisini pia nina msikiliza mteja Kwa kile anacho kihitaji na nina hakikisha kazi inakuwa ya viwango vya hali ya juu.
Tiling
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
18 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa kutosha katika swala zima la uezekaji wa Mapaa ya aina mbalimbali natoa huduma hii ndani ya Tanzania na nchi jirani za Africa Kwa ubora na ubunifu wa kisasa
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
8 years
Mimi ni fundi niliye bobea kwenye swala Zima la ufungaji wa umeme wa jua ,nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya Kazi hii na nina toa ushauri bure kabisa Kwa wateja wangu
Solar Electricity
TZ
From TZS 75,000/day
Ubungo
10 years
An accomplished designer, Quantity Surveyor, and builder based in Dar es Salaam, Tanzania, specializing in residential construction. With a background in designing and quantity surveying, he brings a wealth of expertise to crafting bespoke homes that seamlessly blend functionality with aesthetic appeal. His commitment to quality craftsmanship and innovative design solutions has earned him recognition in the industry. From modern villas to traditional residences, he excels in delivering projects that exceed client expectations and elevate living spaces
architectural construction_manager fencing foundation_repair framing guttering project_manager quantity_surveyor repairs roofing Welding
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
9 years
Mimi ni fundi ni liye bobea kwenye nyanja tofauti tofauti katika swala zima la ujenzi nina fanya upauaji wa nyumba pamoja na kufanya finishing ya gypsum pia nina ambatana na mafundi waliyo bobea ili kuhakikisha kazi inakuwa nzuri kabisa na yenye mvuto
Gypsum Decoration Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 30,000/day
Amani
15 years
Mimi ni fundi ninaye yanya upauaji wa nyumba kwa kutumia bati ainazote na nina uzoefu wa zaidi ya miaka 14 katika ufanyaji wa kazi hii na nimefanya kazi nyingi mkoa wa Dar es slaam na mkoani Morogoro na baei zetu ni poa kabisa
Sheet Roofing Shingle Roofing
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
10 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wakutosha kwenye swala zima la upakaji wa rangi, uwekaji wa gypsum board na urembo (decoration) nime fanya kazi nyingi na sehemu tofauti tofauti hivyo nina ubunifu wa kila aina kwenye kazi hizi na ninaifanya nyumba yako iweze kuwa na mvuto wa kisasa zaidi
Gypsum Decoration Painting
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
7 years
Nina jenga mabanda ya kuku kwa kuzingatia ubora wa hali ya juu pia nina uzoefu wakutosha katika swala zima la ujenzi wa mabanda na kuhakikisha mteja wangu ana ridhika na kazi yangu pia nina tumia vipimo ambavyo vina niwezesha katika ujenzi wa banda.
Building Designing
TZ
From TZS 40,000/day
Kigamboni
15 years
4 months
Mimi ni fundi ninaye jishunghulisha na swala zima la upauaji wa Mapaa ya nyumba kwa kutumia mabati ya aina mbali mbali kama vile Msouth migongo mipana na midogo pia tuna ezeka Mapaa ya kuchimbia (hidden roof) kwa njia ya kisasa na ubora wa hali ya juu.
Sheet Roofing Shingle Roofing Tile Roofing
TZ
From TZS 20,000/day
Njombe mji
7 years
Mimi ni fundi welding mwenye uzoefu wa miaka saba katika kazi ya welding, na miaka minne maalum katika PVC na alumini. Nimebobea katika ufungaji, matengenezo, na ukarabati wa vifaa vya PVC na alumini kwa uangalifu wa hali ya juu. Uzoefu wangu unaniwezesha kutoa suluhisho za ubora, kuhakikisha usalama wa kazi, na kutatua matatizo kwa ufanisi. Nina dhamira ya kutoa huduma bora na kuhakikisha kuridhika kwa wateja kwa matokeo yenye nguvu na ya kudumu.
Welding Window Installation
TZ
From TZS 30,000/day
Ubungo
15 years
4 months
Mimi ni mtaalam wa kutengeneza vyoo vya kisasa usisumbuke na karo la Maji Taka kamwe! Tuna mfumo bora wa kisasa wa choo usiojaa (BIODIGESTERS) ambao ni mfumo badala wa Mashimo ya kawaida ya choo! (septics and soakpits) Mfumo huu wa kisasa una sifa zifuatazo :- 1. haujai kamwe 2. hakivutwi – hakiitaji kunyonywa na motokaa (boza) 3. hakina harufu 4. Kinatumia eneo ndogo (small space) 4. Vina guarantee na vinafanywa na wataalam 5. Vinafanya vyema hata kwenye chemi chemi 6. Vina muonekano mzuri (vinapendeza kweli) 7. Unafanya vyema hata kwa manyumba makubwa yenye idadi kubwa ya watu. Tunatoa huduma kwa kila mtanzania kokote uliko tunakufikia.
Biogas Installation
TZ
From TZS 20,000/day
Dar es ...
8 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu wa miaka nane katika uwekaji na fanyaji wa plumbing katika nyumba maofisi na makampuni kazi ya kuzingatia viwango na kwa ustadi mkubwa kwa bei nafuu kabisa
Tiling Plumbing Plastering
TZ
From TZS 50,000/day
Kigamboni
15 years
Mimi ni mtaalam niliye bobea kwenye swala Zima la ufungaji wa solar majumbani na maofisini Kwa kutumia vifaa vilivyo imara na ubunifu wa kisasa zaidi pia nina ambatana na mafundi wenzangu ambao nao wame bobea kwenye kazi hii lengo ni kumtengenezea mteja wetu kile kilicho bora kabisa
Solar Electricity
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
10 years
Mtaalamu mzoefu katika ujenzi nyumba, haswa ktk ufundi uashi na ujenzi matofali, aliyehitimu kutoka Chuo cha Ufundi Arusha. Tangu utotoni, alifundishwa na familia yake, ambao pia wanahusika katika ujenzi wa makazi. Akiwa Ubungo, Tanzania, Charles anafanikiwa katika ujenzi wa makazi kwa ujumla, akitoa ubora na uimara katika kila mradi. Ujuzi wake unajumuisha uwekaji wa matofali, kazi za zege, uwekaji wa sakafu, upakaji wa plasta, mabomba, paa, na zaidi, kuhakikisha utoaji wa huduma kamili. Charles anaunganisha uzoefu wa vitendo na mafunzo rasmi, akiwa na dhamira ya kutoa ubora katika ujenzi wa makazi kote Tanzania.
Flooring Tiling Plumbing Bricklaying Masonry Plastering
TZ
From TZS 50,000/day
Ubungo
11 years
A skilled landscape designer and builder known for his exceptional work on residential projects. With a background in landscape architecture from Ardhi University, he brings the best touch and hands-on expertise to create stunning and sustainable outdoor spaces. Based in Dar es Salaam, Tanzania.
fencing fireplace_installation gazebo_construction landscape_architect Landscaping
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha
14 years
Mimi ni mtaalamu wa mifumo ya umeme nina uzoefu wa kutosha nikiwa nafanya kazi hii na nina ambatana na mafundi walio bobea kuhakikisha kazi ina kuwa ya ubora na ya viwango vya hali ya juu pia nina toa hudu kama vile kuchimbia bomba za umeme, kufanya wiring pamoja na kuweka cctv camera
Electricity Safety Security Systems
TZ
From TZS 15,000/day
Mto wa mbu
6 months
Mini ni fundi wakutrmgeneza mashimo ya majitaka Kwa njia ya kisasa amabayo itamfanya mtumiaji asiingie garama Zaid baada ya kutengeneza Kwan Lina tengenezwa Kwa matofali ya kisasa na maalumu kwaajili ya mashimo hayo ya maji taka
Door Installation Gate Installation Glazing Window Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Mafinga
11 years
Mimi ni fundi ninayehusikana nimekufanya ujenzi wa nyumba yako kuanzia kwenye msingi mpaka mwisho wa kupauwa kufanya skiming kwa ubora kabisa
Sheet Roofing Plastering House Building
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
8 years
Naweka tiles katika nyumba aina zote kwa kutengeneza maua tofauti tofauti kulingana na mteja apendavyo
Tiling
TZ
From TZS 40,000/day
Arusha CBD
10 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu katika swala zima la kuweka mifumo ya bomba kwenye nyumba,naweka mifumo iliyo ya kisasa ya maji Safi na maji taka kwenye nyumba na vyooni pia nina mafundi ambao wamebobea katika kazi hii na ushauri mteja ana patiwa bure kabisa.
Plumbing
TZ
From TZS 30,000/day
Kigamboni
9 years
Nina toa huduma ya kutengeneza mabanda ya kuku ,Bata ,kanga, sungura, ng’ombe,mbuzi na mifugo ya aina yeyote ile kwa kuzingatia ubora na ubunifu wa kisasa zaidi pia gharama zangu ni nafuu kabisa pia mteja wangu ataweza kupata kile anacho stahili kukiona kwenye banda lake.
Building Designing
TZ
From TZS 200,000/day
Dat
15 years
Mimi ni fundi mwenye uzoefu nishafanya kazi sehemu tofauti tofauti katika uwekaji wa gesi mfumo wa gesi nyumbani kwako gesi hii ni mbadala inatumia maji taka ya aina yoyote ambayo yanaweza paka mwisho na maji yake huweza kutumika kama mbadala wa maji ya kufurashia chuoni nakufanyia usafi rishaji kushika maji tukufungie kwa bei nafuu kabisa na kwa uzoefu wa muda mrefu na uzoefu wa takribani miaka 16
Biogas Installation
TZ
From TZS 40,000/day
Ilala
15 years
2 months
Mimi ni fundi tiles mwenye uzoefu katika swala zima la uwekaji wa tiles majumbani kwa kuzingatia ubora wa kisasa na nina weka tiles zenye ubora na kuacha nyumba yako iwe na mvuto wa kisasa zaidi.
Tiling
TZ
From TZS 50,000/day
Goba
6 years
Mimi ni fundi ninaye husika na finishing ya nyumba yako kwanzia kwenye plastering simmimg painting na urembo kwenye nyumbba yako kwa bei nafuu na kwa ubora na uzoefu mkubwa kabisa katika kazi hii ninauzoefu za miaka 6 katika kazi hizi pia nimefanya kazi nyingi na watu na watu wamezikubali kazi zangu
Painting Plastering
TZ
From TZS 30,000/day
Temeke
9 years
Mimi nifundi ninaye jihusisha na swala zima la uwekaji urembo kwenye nyumba Kwa kutumia mchanganyiko wa cement na mchanga Kwa ubunifu wa hali ya juu na nina uzoefu wa kutosha nikiwa na fanya kazi hii.
Plastering