Fahamu zaidi unapotaka kujenga nyumba bati zisizoonekana (Contemporary houses za Kitanzania)

CONTEMPOARY HOUSES nini?
– Contemporary maana yake ni MODERN. Hivyo hizi ni nyumba za kisasa zaidi (zinazo-trend)
– Zinasifa za kuwa simple, smart, minimalistic, clear. Zina sura bapa(planes), box style, nyuzi pembe nne, straightness, rangi chache zaidi nyeupe na gray, open space, less privacy as freedom, madirisha na milango mikubwa
– Zinatabia ya kutumia vifaa aina ya: zege, metal zaidi, vioo zaidi. Zimekuja katika zama hizi za matumizi makubwa ya viwanda na computer!
– Maghorofa mengi yanayojengwa siku hizi posta yana tabia hizi maana ni za kisasa
– Google picha: CONTEMPORARY HOUSES –> utapata jibu
– Watu wengi wanazipenda sana haswa. Nje ya nchi wanazijenga sana ila Tanzania watu bado hawana mwongozo zaidi

Tumekuandalia contempoary houses ambazo unaweza kujenga Tanzania huku tukiwa tumeangalia UCHUMI, TAMADUNI, HALI, UFUNDI… ambao upo katika mazingira yetu TANZANIA lakini pia bila kuharibu ladha, utamu, ubora… wa contemporary ili Mtanzania uweze uweze kupata maximum satsfaction na kutimiza hamu yako
– Tumeziweka zitumie bati la kawaida tuu ili kuepuka gharama za zege na nondo
– Bati limefichwa vizuri lisionekane ili lisiharibu ladha za muonekano
– Bati linakusanya maji na kumwaga ktk pembe zake nje bila kuvuja (kama nyumba za kawaida) [ila bati limefichwa vyema halionekani]
– Kutokana na kuziba bati lisionekane basi idadi ya tofali, cement imeongezeka kidogo. Hivyo gharama ipo kikawaida tuu
– Actually ni nyumba ya kawaida hivyo fundi wako anaweza kujenga vyema bila shida yoyote [cha msingi tu ajenge kulingana na ramani inavyosema]
– Watanzania tunajenga kwa awamu kidogo-kidogo, hata hizi waweza jenga kidogo-kidogo kwa awamu
– Mpangilio wa nyumba na layout ya vyumba umekaa katika tamaduni ya Kitanzania kwa welfare ya familia
– Ukubwa wa nyumba na vyumba ni wa kawaida katika kutosha katika viwanja vyetu

Kuziona zaidi nyumba hizi basi bofya hapa na uone nyumba kibao zenye makisio ya gharama na vifaa.

6 responses

  1. I will be glad to receive design of a contemporary house of three bedroomsi.e one master bedroom bigger than the rest of rooms, two normal bedrooms, kitchen, dining room, public toilet, and a sitting room.

  2. Nimejenga nyumba ya vyoma vitatu ipo kwenye upauaji naomba jinsi ya kupaua na kuezeka

Leave a Reply to Barakael Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

ID-27395
4
271 sqm
182 Pcs
19 m
4,726 Pcs
17 m
2,350 Pcs
ID-18569
5
232 sqm
135 Pcs
19 m
4,253 Pcs
14 m
1,751 Pcs
ID-22610
2
208 sqm
0 Pcs
14 m
6,406 Pcs
12 m
1,630 Pcs
ID-17018
4
205 sqm
140 Pcs
16 m
3,652 Pcs
15 m
1,816 Pcs
ID-15450
4
209 sqm
144 Pcs
16 m
3,741 Pcs
15 m
1,860 Pcs
ID-21360
3
223 sqm
91 Pcs
16 m
5,352 Pcs
15 m
1,985 Pcs
ID-28086
3
195 sqm
163 Pcs
16 m
3,491 Pcs
14 m
1,736 Pcs
ID-17177
4
244 sqm
124 Pcs
13 m
4,000 Pcs
12 m
1,902 Pcs
ID-16808
3
200 sqm
138 Pcs
18 m
3,580 Pcs
16 m
1,780 Pcs
ID-16551
3
142 sqm
51 Pcs
15 m
2,875 Pcs
11 m
1,263 Pcs
ID-33653
3
175 sqm
140 Pcs
13 m
2,500 Pcs
13 m
1,600 Pcs
ID-28462
4
230 sqm
192 Pcs
19 m
4,112 Pcs
15 m
2,044 Pcs
Makazi Icon Blue

Join Membership

Join Membership to See Clear Floor Plans Before You Buy the Full Plan; See How Much MONEY is Needed to INVEST in Your Business In order to Get the Profit to Finance Construction of This House. What MORTGAGE to Borrow and Return Monthly to Your Bank. Also, See How Much it COSTS to Build the Foundation, Walling, Roofing, Ceiling, Painting, Doors, Windows… in All of Our Houses on This Platform so That You Can CHOOSE, COMPARE, PLAN & STRATEGIES on How to Approach Your Construction Rightly!

Eng. Lwifunyo Mangula
Payment Challenges? WhatsApp Admin