Hapa tunachambua kuhusu gharama za ujenzi wa nyumba yako! Je, gharama hizi zinatoka wapi? Kwanini zifike hapo? Vipengere gani vya ujenzi vinaunda hizo gharama? Mgawanyiko wa hizo gharama upoje kwa kila steji ya ujenzi? Njia rahisi ya kufanya makadirio ya gharama ya ujenzi. Kumbuka hapa tunazungumzia kuhusu nyumba ya kuishi familia. Hapa utaweza kupata mwanga utakaokusaidia kucheza na uchumi wa ujenzi na uweze kuokoa gharama na pia mada hii itakupa ujasiri wa kujitoa kulipa gharama stahiki za ujenzi wako!

Kwanza gharama za nyumba ni thamani ambayo unapaswa kuilipa ili uweze kuipata nyumba hiyo unayoitaka! Sasa thamani unaweza ilipa kwa njia ya pesa, nguvu kazi yako, nguvu ya akili na pesa. Ina maana bila kulipa gharama stahiki huwezi pata thamani ya nyumba ile unayoitaka. Gharama hizi unaweza walipa watu wengine wanaokufanyia kazi au wanaokuuzia bidhaa, lakini pia waweza zilipa wewe mwenyewe kama muda na nguvu zako. Bila kulipa gharama stahiki huwezi pata nyumba hiyo.

Kiujumla gharama za ujenzi wa nyumba haswa zinajumuisha gharama za VIFAA + UFUNDI

Leo tutazungumzia haswa gharama za ujenzi kwa nyumba ya kuishi familia ya kawaida. Swala la ghorofa litadokezwa kidogo tuu.

 

Ghorofa kwa ufupi

 

Nyumba ya kawaida

 

 

Waweza uliza swala lako hapa chini ujibiwe zaidi

17 responses

  1. YOUR DOING A GREAT JOB. KINDLY ASKING FOR MORE HOUSE MAP SAMPLES ESPECIALLY FOR TWO ROOMS KIND OF HOUSES WITH CLASSICAL ROOF DESIGNS

      1. Kiukweli nimependa elimu yenu natumai nitajiandaa vyema kabla ya kuanza kujengaa

  2. Habari za wakati huu nataka kuamua kujenga sasa lakin nataka nyumba simple thu ya vyumba viwili kimoja self na kingne kawaida

    1. Ivi gharama ya ujenzi kuanzia tofari mpka finishing mpka kilaktu yan sijui nondo madrisha malumalu cjui gharama nzima nyumba yenye viumba vitano ya kulala uku ikiwa na daining room pia ni shingap

    1. Tumia mafundi local kwa namna hii
      – angalia ubora wa kazi zake ambazo amewahi kuzifanya na uridhike
      – fundi awe na nidhamu ya kazi yake na kipenda kazi
      – ajikite ktk ubora wa kazi zaidi
      – ajue kusoma ramani
      – mhakiki kama anaweza kujenga hicho kinachotakiwa

  3. Ahsante kwa maelekezo yenu mazuri. Natumai kandri ya mda unavoenda ntajifunza kitu kuhusu gharama za ujenzi wa nyumba Bora.

  4. Am delighted with your great work, am a third year studented pursuing my civil eng. Studies at MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY,am interested to work with you so as to gain competence and real exprrience of my career. Where can I get you. Am from Tanzania. Thanks

  5. Nilikua naomba kuuliza gharama za kujenga swimming pool kwa Tanzania ziko vipi?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *